Uchaguzi 2020 CCM Korogwe mlikuwa mnamdanganya nani? Kwanini mlijaza wanafunzi mkutanoni?

Uchaguzi 2020 CCM Korogwe mlikuwa mnamdanganya nani? Kwanini mlijaza wanafunzi mkutanoni?

Spana inazidi kubana, mwishowe magereza yote yanaweza kufungwa na wafungwa wote kusombwa kujaza hii mikutano. Kama na wao hawatatosha wagonjwa, wauguzi na madaktari nao wote wanaweza kubebwa wakahudhurie kuongeza vichwa. Si ajabu siku hiyo hata hospitali zikafungwa.
Wangeenda kuwaleta hata wale wanaowakamata kutoka Ethiopia wanao kimbia "uchumi wa kati" kwenda kufanya vibarua Malawi na Botswana.
Maana Ethiopia ndio tunafanana "uchumi wa kubumba wa kati"
 
Hebu tazameni jamani watoto wetu wanavyoteswa juani, kwa nini lakini?



Tafadhali sana CCM, kwa nini mnawahangaisha hivi watoto wetu? Waacheni hawa watoto wasome, tunawapeleka shule wasome na si kutumika kuongeza vichwa katika mikutano yenu. Kama watu wazima wamewasusia, msiwaadhibu watoto wetu. Sisi wazazi wao tuko na Mh. Tundu Antiphas Lissu!
Ndiyo akili za akina Polepole
 
CCM mmetia aibu ya mwaka huko Bagamoyo, Pwani jana na leo huko Korogwe, Tanga.

Shule zilifungwa na kuamuru wanafunzi na walimu wao kuhudhuria mikutano ya kampeni ya Magufuli.

Nawaulizeni CCM, lengo la kufanya ujinga huu ni nini hasa? Mnamdanganya nani?

Nafikiri serekali ilitumia jukwaa la kampeni kuwapa nafasi wanafunzi angalau na wao wakamuone Ally Kiba

#NI YEYE + PONDA 2020
 
wewe acha kupiga kelele.wewe nenda kajaze watu wazima.unaleta utoto sana mara ngap tunaona hatabkwa mgombea wetu TL anahaza watoto?? kwan shida ipo wap.tujikite kueleza sera.bado sana sisi wa Ufipa kusema sera tunekaa uanaharakat tuuu
Una umri gani?
Una elimu gani?
Umasikini na ujinga ni vitu vinavyoenda sambamba,na ni vipaji pia. Hongera kwa kuwa na vipaji viwili.
 
Samaki mkunje angali mbichi maana yangu CCM ni chama makini kinaandaa wanachama wake waangali wakiwa watoto sio nyie mnabebabeba tu makufi ambao hamuwajui kwa undani, kila siku mnaambiwa Usione vya elea vimeundwa.
 
CCM mmetia aibu ya mwaka huko Bagamoyo, Pwani jana na leo huko Korogwe, Tanga.

Shule zilifungwa na kuamuru wanafunzi na walimu wao kuhudhuria mikutano ya kampeni ya Magufuli.

Nawaulizeni CCM, lengo la kufanya ujinga huu ni nini hasa? Mnamdanganya nani?

Hawatumii akili, Mkutano ambao watu wote wana sare za CCM unafikirisha sana
 
Hapa Moshi Wanalazimisha Waalimu na Wanafunzi Saa Hii Eti Waende
 
CCM mmetia aibu ya mwaka huko Bagamoyo, Pwani jana na leo huko Korogwe, Tanga.

Shule zilifungwa na kuamuru wanafunzi na walimu wao kuhudhuria mikutano ya kampeni ya Magufuli.

Nawaulizeni CCM, lengo la kufanya ujinga huu ni nini hasa? Mnamdanganya nani?

Hizi ndizo kampeni za kwanza kuziona watu wanakaa kwenye viti kama wako kwenye Town Hall ........!!
 
Rashid Gwajimaa
 
Hebu tazameni jamani watoto wetu wanavyoteswa juani, kwa nini lakini?



Tafadhali sana CCM, kwa nini mnawahangaisha hivi watoto wetu? Waacheni hawa watoto wasome, tunawapeleka shule wasome na si kutumika kuongeza vichwa katika mikutano yenu. Kama watu wazima wamewasusia, msiwaadhibu watoto wetu. Sisi wazazi wao tuko na Mh. Tundu Antiphas Lissu!
hamna akili nyie nendeni tu mkahangaike na shoga lenu lissu tuachieni hao watoto tunawasomesha bure wacha wasikilize baba anasema nini
 
Hao wanafunzi hawataipenda ccm wakimaliza masomo na kukosa ajira njaa ikiingilia mlangoni penzi hutoroka dirishani
 
Back
Top Bottom