Uchaguzi 2020 CCM Korogwe mlikuwa mnamdanganya nani? Kwanini mlijaza wanafunzi mkutanoni?

Uchaguzi 2020 CCM Korogwe mlikuwa mnamdanganya nani? Kwanini mlijaza wanafunzi mkutanoni?

Hao wanafunzi hawataipenda ccm wakimaliza masomo na kukosa ajira njaa ikiingilia mlangoni penzi hutoroka dirishani
Hata sasa wanaenda kwa shinikizo tu. Akina mama wakikosa chumvi au hela ya nauli ya mwanafunzi kwenda shule wanamlaumu Magufuli na hawa watoto wanasikia. Wanajenga chuki dhidi ya Magufuli
 
wamempatia bosi wao yeye si anataka kuona idadi ya "vichwa" vingi ili aseme "Kologwe mmefunika kwerikweri, na nnajisikia laha sana!"
 
Hapo ndio ujue mikakati ya ccm sio ya muda mfupi haifikirii uchaguzi huu maana imeshinda tayar kwa sasa hivi ni sherehe sio kampeni maana mgombea wetu karelax na anajua watanzania sio wajinga wameona yaliyofanyika,hao unaowasema wanafunzi ndio wapiga kura wa baadae.

Na hapo wengi wana kadi ya mpiga kura sasa wewe dhania wapiga kura ni wazee na akina mama ila vijana ni Chadema tu na wanafunzi iwe ni Ccm utashangaa 28oct mbona siku sio mbali tutaelewana tu mdogo mdogo utajua kuwa wale ni wananchi kama wewe.
Mngekuwa mmefanya kitu msingekata majina ya wagombea wa CDM na kukataa kuwaapisha mawaka nilikuwa CCM ila unafiki na uonevu sintopiga kura kwenu never ever

KIZURI CHA JIUZA
 
CCM mmetia aibu ya mwaka huko Bagamoyo, Pwani jana na leo huko Korogwe, Tanga.

Shule zilifungwa na kuamuru wanafunzi na walimu wao kuhudhuria mikutano ya kampeni ya Magufuli.

Nawaulizeni CCM, lengo la kufanya ujinga huu ni nini hasa? Mnamdanganya nani?

Kwa sasa ccm haikubaliki popote na watanzania wenye maamuzi yao.
Hivyo wanalazimisha wanafunzi ambao kimsingi hawana uamuzi mbele ya walimu wao.

Hakuna mtanzania huru anaweza kuacha shughuli zake za kumuingizia kipato akaenda kwenye mikutano ya ccm
 
Mkuu lazima muheshimiwa aone umati kwamba ni wanafunzi au raia hatujui hilo tumewatoa wapi haiwahusu, wameacha masomo! ni sehemu ya elimu bure hawa inawahusu kwanza waalimu wanachoka sana tunataka wapumzike na tukiamua tutawaleta hata wafungwa waote jua [emoji23][emoji23]
in buku saba voice.

Hii vita ni kubwa sana walioletwa na waliokuja.
Ila tunacho furahi sana mwaka huu ni kuona mkulungwa anajionea kabisa kuwa watanzania hawamuungi mkono.

Hilo tu linatupatia faraja sana
 
Mi nadhani kila mtu abake na chama chake ili tuendelee kuheshimiana.
muheshimiwa jana kasema muache tabia zenu mbaya za kukopi na kupest, akiwa anamaanisha kuphotoshop picha ili muonekane kuwa mmejaza umati wa watu kumbe bosheni tuu.bora ata huyo anayejaza wanafunzi kuliko watu hewa.
 
Spana inazidi kubana, mwishowe magereza yote yanaweza kufungwa na wafungwa wote kusombwa kujaza hii mikutano. Kama na wao hawatatosha wagonjwa, wauguzi na madaktari nao wote wanaweza kubebwa wakahudhurie kuongeza vichwa. Si ajabu siku hiyo hata hospitali zikafungwa.
Kwani nyie mnakereka...Kama wanawachukua wanafunzi Kama mnavyosema nyie mnasumbuliwaje? Kama wanaokuja wamebebwa na malori nyie inawahusu...nyie shughulikieni ya kwenu..
Mnasema mikutano ya Lissu watu wanakuja wenyewe, hiyo ni sawa, hongereni...Mnasema CCM wanabebwa na malori na pia wanafunzi wamejaa Sasa nyie kitu gani kinawauma? Box la kura ndilo litakalozungumza...
 
CCM mmetia aibu ya mwaka huko Bagamoyo, Pwani jana na leo huko Korogwe, Tanga.

Shule zilifungwa na kuamuru wanafunzi na walimu wao kuhudhuria mikutano ya kampeni ya Magufuli.

Nawaulizeni CCM, lengo la kufanya ujinga huu ni nini hasa? Mnamdanganya nani?

18 ? kapige kura harafu watoto hawabadilishiki kilahisi
 
Ila leo pale himo na uwanja wa ushirika sijaona watoto sa sijui kimetokea nn hapo ngomeni.
 
Matokeo ya uchaguz huu yanaweza yakawadondosha watu kwa presha manaake kilichotekea hapo nyumbani hata siamini
 
Hili lichama limebaki kutegemea rafu na hila tu. Mbaya sana. Na litaendelea hivi hivi mpaka wananchi tuingie mtaani. Na kama hatutaki kuingia mtaani, CCM itaendelea hivi hivi kwa hila. Kaijage anakwenda kuwatangaza washindi, washindwe wasishindwe.
 
Ila leo pale himo na uwanja wa ushirika sijaona watoto sa sijui kimetokea nn hapo ngomeni.
Haiwezekani. Wamevishwa kofia na ma-Tshirt makubwa ndo maana macho hukuwaona vizuri
 
Mimi ni wa Moshi tokea enzi za marehemu Ndesamburo anamgalagaza mama minde shemeji yake Mkapa nilikua ktk izo kampeni nikiwa nasoma Moshi technical ccm haijawai pata mapokezi km haya safari hii chadema kuna sehemu imefanya makosa.
 
Back
Top Bottom