CCM kudai kuwa vyama vya upinzani bado havijawa tayari kukabidhiwa nchi, ni uzalendo au ubinafsi?

CCM kudai kuwa vyama vya upinzani bado havijawa tayari kukabidhiwa nchi, ni uzalendo au ubinafsi?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
1. Kwani TANU ilikuwa tayari kukabidhiwa nchi na Wazungu hasa ikizingatiwa kuwa ilikuwa ikiongozwa na "kijana" wa miaka thelathini na nane tu? Mbona aliweza kuiongoza kwa "mafanikio" makubwa?

2. Kwa kusema vyama vingine havijawa tayari, kunamaanisha nchi haina mifumo imara ya kiuongozi hadi itegemee ukomavu wa Chama cha Siasa?

3. Madai hayo ni ishara kuwa Tanzania haitakaa iruhusu mgombea binafsi? Kumbuka mgombea binafsi hana Chama.

Hayo madai ni ya kizalendo au ubinafsi?
 
Kwa mtizamo wangu naweza kusema bado upinzani hawako serious kwenye wanachokifanya wakiwa seriousl nchi niyakwao..
 
Back
Top Bottom