Tetesi: CCM kufukuza Wanachama 11 wakiwemo Vigogo hawa 3

Tetesi: CCM kufukuza Wanachama 11 wakiwemo Vigogo hawa 3

Taarifa kutoka chanzo cha ndani kabisa ndani ya CCM zinasema kwamba kuna uwezekano mkubwa katika Kikao kijacho cha CCM takribani Wanachama 11 wakafutiwa Uanachama ambapo ndani yao wapo Vigogo Watatu ambao ni Nape Nauye, Hussein Bashe na Msukuma.

Nape na Bashe wanafukuzwa baada ya kugundulika kuwa wanatumika na Chama cha Upinzani CHADEMA huku Msukuma anafukuzwa kwa kosa la kuwa mropokaji, mweneza chuki na mtu asiye mkweli kwa Wanachama wenzie.

Kama huna cha kuandika, soma endelea
 
Inamaaana kikao cha Dodoma kumbe mlikuwa mnaongerrea maamuzi ya chama dora CCM??

Kumbe hayo majembe yanawanyima usingiziiii.
 
CCM hawajawahi kuthubutu kumfukuza uanachama mbunge wa kuchaguliwa hasa nyakati hizi za upinzani mkubwa. Hivyo itabaki kuwatisha
Ni kweli mkuu kwamba CCM hawajawahi kufanya hivyo ila ktk wakati huu wa mawazo ya bashite kushika hatamu lolote laweza kutokea
 
Taarifa kutoka chanzo cha ndani kabisa ndani ya CCM zinasema kwamba kuna uwezekano mkubwa katika Kikao kijacho cha CCM takribani Wanachama 11 wakafutiwa Uanachama ambapo ndani yao wapo Vigogo Watatu ambao ni Nape Nauye, Hussein Bashe na Msukuma.

Nape na Bashe wanafukuzwa baada ya kugundulika kuwa wanatumika na Chama cha Upinzani CHADEMA huku Msukuma anafukuzwa kwa kosa la kuwa mropokaji, mweneza chuki na mtu asiye mkweli kwa Wanachama wenzie.
Kwani wakifukuzwa ndiyo ccm itasalimika?
 
Waende UDP maana mzee wao wa ccm B ameachwa mpweke huko Ole Medye ameacha nafasi kaamua kupumzika siasa., chadema hakuna nafasi iliyo wazi.
 
Magu asipoangalia atafukuza wanachama wote kisha atajifukuza na yeye mwenyewe. Kwa ambao hamjanielewa ni kwamba, chama ni wanachama. Sasa ukifukuza wanachama wote kutakuwa hakuna chama. Kwahiyo naye atakuwa amejifukuza toka ccm.
Huyo haitakii mema ccm
 
Taarifa kutoka chanzo cha ndani kabisa ndani ya CCM zinasema kwamba kuna uwezekano mkubwa katika Kikao kijacho cha CCM takribani Wanachama 11 wakafutiwa Uanachama ambapo ndani yao wapo Vigogo Watatu ambao ni Nape Nauye, Hussein Bashe na Msukuma.

Nape na Bashe wanafukuzwa baada ya kugundulika kuwa wanatumika na Chama cha Upinzani CHADEMA huku Msukuma anafukuzwa kwa kosa la kuwa mropokaji, mweneza chuki na mtu asiye mkweli kwa Wanachama wenzie.
Ubuyu kawaida si lazima uwe na mbegu
 
Waende UDP maana mzee wao wa ccm B ameachwa mpweke huko Ole Medye ameacha nafasi kaamua kupumzika siasa., chadema hakuna nafasi iliyo wazi.
Hebu nipe ubuyu mkuu. Ole Medeye amebwaga manyanga hata huko UDP ?? Si alipewa ukatibu wa chama huyu ??
 
Back
Top Bottom