Mgibeon
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 11,308
- 21,507
Nyuzi unazoitwa huendi, ILA nyuzi usizoitwa faster Tu ushatia maguu.Kwahiyo Dampo chadema limesha jipanga!!
Hahaha kazi kwelikweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyuzi unazoitwa huendi, ILA nyuzi usizoitwa faster Tu ushatia maguu.Kwahiyo Dampo chadema limesha jipanga!!
Hahaha kazi kwelikweli
Taarifa kutoka chanzo cha ndani kabisa ndani ya CCM zinasema kwamba kuna uwezekano mkubwa katika Kikao kijacho cha CCM takribani Wanachama 11 wakafutiwa Uanachama ambapo ndani yao wapo Vigogo Watatu ambao ni Nape Nauye, Hussein Bashe na Msukuma.
Nape na Bashe wanafukuzwa baada ya kugundulika kuwa wanatumika na Chama cha Upinzani CHADEMA huku Msukuma anafukuzwa kwa kosa la kuwa mropokaji, mweneza chuki na mtu asiye mkweli kwa Wanachama wenzie.
Chadema kipo imara kaka, haina ndoto hizoChadema bana ....mnasubiri maembe chini ya mstimu wa umeme!
Ni kweli mkuu kwamba CCM hawajawahi kufanya hivyo ila ktk wakati huu wa mawazo ya bashite kushika hatamu lolote laweza kutokeaCCM hawajawahi kuthubutu kumfukuza uanachama mbunge wa kuchaguliwa hasa nyakati hizi za upinzani mkubwa. Hivyo itabaki kuwatisha
Kwani wakifukuzwa ndiyo ccm itasalimika?Taarifa kutoka chanzo cha ndani kabisa ndani ya CCM zinasema kwamba kuna uwezekano mkubwa katika Kikao kijacho cha CCM takribani Wanachama 11 wakafutiwa Uanachama ambapo ndani yao wapo Vigogo Watatu ambao ni Nape Nauye, Hussein Bashe na Msukuma.
Nape na Bashe wanafukuzwa baada ya kugundulika kuwa wanatumika na Chama cha Upinzani CHADEMA huku Msukuma anafukuzwa kwa kosa la kuwa mropokaji, mweneza chuki na mtu asiye mkweli kwa Wanachama wenzie.
Ccm kwishaaaaaaChadema bana ....mnasubiri maembe chini ya mstimu wa umeme!
Nisawa na joka la kibisaCCM hawajawahi kuthubutu kumfukuza uanachama mbunge wa kuchaguliwa hasa nyakati hizi za upinzani mkubwa. Hivyo itabaki kuwatisha
Hao tulisha wahakikishia kuwalinda kwa kila haliingekuwa vyema wangefukuza na wale walioliingiza taifa katika mikataba ya kimangungo.....
Hivi nyakati hizi kuna upinzani mkubwa au kelele tu?
Ukiitishwa uchaguzi leo kubenea atarudi kweli?
Huyo haitakii mema ccmMagu asipoangalia atafukuza wanachama wote kisha atajifukuza na yeye mwenyewe. Kwa ambao hamjanielewa ni kwamba, chama ni wanachama. Sasa ukifukuza wanachama wote kutakuwa hakuna chama. Kwahiyo naye atakuwa amejifukuza toka ccm.
Ubuyu kawaida si lazima uwe na mbeguTaarifa kutoka chanzo cha ndani kabisa ndani ya CCM zinasema kwamba kuna uwezekano mkubwa katika Kikao kijacho cha CCM takribani Wanachama 11 wakafutiwa Uanachama ambapo ndani yao wapo Vigogo Watatu ambao ni Nape Nauye, Hussein Bashe na Msukuma.
Nape na Bashe wanafukuzwa baada ya kugundulika kuwa wanatumika na Chama cha Upinzani CHADEMA huku Msukuma anafukuzwa kwa kosa la kuwa mropokaji, mweneza chuki na mtu asiye mkweli kwa Wanachama wenzie.
Mbona wewe maisha yako unategemea kuokoteza kwenye dampo?rudi kwenu ukavue migebukaKwahiyo Dampo chadema limesha jipanga!!
Hahaha kazi kwelikweli
Sema magu atarudi kweli?Hivi nyakati hizi kuna upinzani mkubwa au kelele tu?
Ukiitishwa uchaguzi leo kubenea atarudi kweli?
Hutaki au?Kama huna cha kuandika, soma endelea
Hebu nipe ubuyu mkuu. Ole Medeye amebwaga manyanga hata huko UDP ?? Si alipewa ukatibu wa chama huyu ??Waende UDP maana mzee wao wa ccm B ameachwa mpweke huko Ole Medye ameacha nafasi kaamua kupumzika siasa., chadema hakuna nafasi iliyo wazi.