Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Kwahiyo Dampo chadema limesha jipanga!!
Hahaha kazi kwelikweli
na wakitimuliwa Chadema na ACT wanaenda CCM kukatwa mkia kama wewe ulivyokatwa mkia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo Dampo chadema limesha jipanga!!
Hahaha kazi kwelikweli
Kwenye dampo ndio kuna bio gas.Kwahiyo Dampo chadema limesha jipanga!!
Hahaha kazi kwelikweli
Mapenzi yana nguvu sana, hasa ukipewa vitu hadimu!!Bashite's Power.
Asilimia 66 ya waliotajwa hapo juu wametofautina tu na Bashite.....
Hivi Wasira alipotoka NCCR na kwenda CCM kisha akapewa Uwaziri inamaanisha nini mkuu? Hivi yule mzee aliyeondoka CCM mbona aliporudi alipokewa kwa shangwe!! Kilichotupwa dampo kinaporudi nyumbani hali yake inakuwaje na ukakipokea kwa shangwe tukufikirieje??? 😀😀😀Kwahiyo Dampo chadema limesha jipanga!!
Hahaha kazi kwelikweli
Mwanachama sahihi ni yule anaefuata itikadi za chama. Popote pale... Usipofuata katiba ya chama moja kwa moja umejivua uanachama.Magu asipoangalia atafukuza wanachama wote kisha atajifukuza na yeye mwenyewe. Kwa ambao hamjanielewa ni kwamba, chama ni wanachama. Sasa ukifukuza wanachama wote kutakuwa hakuna chama. Kwahiyo naye atakuwa amejifukuza toka ccm.
mkuu now days siioni quotation yako😀Mmmmmmmmmh
Ni itikadi zipi zimekiukwa na Sophia ? Kisa alimuunga mkono mwanaccm mwenzake Lowassa uchaguzi uliopita ? Hii si ilikuwa haki yake ya kuchagua na kuchaguliwa ?Mwanachama sahihi ni yule anaefuata itikadi za chama. Popote pale... Usipofuata katiba ya chama moja kwa moja umejivua uanachama.
Anawagusa kwa lipi???Saa 6 mchana atakuwa kashinda.
Uzuri wa Magufuli anagusa mpaka watu wa chini,huku chadema ikionekana inatetea wezi na mafisadi