Tetesi: CCM kumewaka moto, ripoti ya siri ya mwaka 2016 yavuja. Polepole hakuiva na Kinana na sasa Bashiru

Tetesi: CCM kumewaka moto, ripoti ya siri ya mwaka 2016 yavuja. Polepole hakuiva na Kinana na sasa Bashiru

Polepole alichofanikiwa ni kuzunguka nchi nzima na kifuko chake cha ngawira baada ya uchaguzi. Kila anapoondoka diwani atatangaza kuunga mkono juhudi za awamu ya tano.
 
Mbona hujasema namna Mbowe alovyokuwa anashirikiana na Lowassa kuihujumu chadema tangia 2011
 
Ripoti ya siri ya mwenendo wa CCM kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 imevuja na aliyeivujisha hajajulikana bado. Inadaiwa kuwa mwaka 2016 Rais Magufuli aliamuru kufanyika kwa uchunguzi ndani ya chama hicho kuhusu mwenendo wake katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.

Katika sehemu ya taarifa ya ripoti hiyo inaonyesha kuwa Lowassa alikuwa tishio kwa serikali na alikuwa na kila dalili za kushinda uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 (Kama alikuja kushinda au hakushinda hilo hatujui).

Pia kuna sehemu taarifa hiyo inadai wapo baadhi ya viongozi wa upinzani waliopewa kiasi kikubwa cha fedha ili kumhujumu Lowassa. (Dah kumbe sio tu wale walioondoka bali wapo wengine ndani walikuwa wanatoa nyendo zote za mzee kutokana na mgao)

Kumbe Kikwete alikuwa anafanya vikao vya siri na viongozi wa upinzani kumhujumu mzee Lowassa. Inadaiwa wakati wa kampeni waliwahi kufanya kikao kimoja Morogoro.

Aisee inabidi wapinzani wajikomboe kwanza na njaa zao ndipo wawe na dhamira ya kweli ya kufanya siasa za kipinzani.

Hapo Lumumba hapakaliki tunaambiwa Polepole na Bashiru hawaongei na si hivyo tu bali hata Polepole na Kinana waliwahi kusuluhishwa mara mbili na waziri mkuu Kassim Majaliwa. Inadaiwa Bashiru kampiga marufuku asiandamane naye kwenye mikutano yake.
Kati ya viongozi waliokuwa wanavujisha mipango ya upinzani wanajulikana sana
 
Wewe mwenyewe umbea ndiyo nyumbani kwenu
FB_IMG_1493038526009.jpeg
 
Hizi habari haziwasaidii chochote CHADEMA.

Kama ccm wanauwezo wa kujitathmini wapi walikosea hivi Chadema mmewahi kufanya uchunguzi nini kilitokea 2015.?
 
Ndugu Ebola, huo sio umbea, bali ni ukweli mtupu na unathibitishika. Huyu PP alipigwa stop na Kinana na wala hakukuwa na usuluhisho wowote.

Wafanyikazi wa Lumumba wengi wao walimchukia Na kugombana na PP, ikabidi Kinana amuite na kumweka kikao, akamlazimisha aheshimu wenzake.

PP ni arogant inteligent fool
 
Ndugu Ebola, huo sio umbea, bali ni ukweli mtupu na unathibitishika. Huyu PP alipigwa stop na Kinana na wala hakukuwa na usuluhisho wowote.

Wafanyikazi wa Lumumba wengi wao walimchukia Na kugombana na PP, ikabidi Kinana amuite na kumweka kikao, akamlazimisha aheshimu wenzake.

PP ni arogant inteligent fool
Weka hiyo ripoti hapa wote tuisome basi.
 
Ripoti ya siri ya mwenendo wa CCM kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 imevuja na aliyeivujisha hajajulikana bado. Inadaiwa kuwa mwaka 2016 Rais Magufuli aliamuru kufanyika kwa uchunguzi ndani ya chama hicho kuhusu mwenendo wake katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.

Katika sehemu ya taarifa ya ripoti hiyo inaonyesha kuwa Lowassa alikuwa tishio kwa serikali na alikuwa na kila dalili za kushinda uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 (Kama alikuja kushinda au hakushinda hilo hatujui).

Pia kuna sehemu taarifa hiyo inadai wapo baadhi ya viongozi wa upinzani waliopewa kiasi kikubwa cha fedha ili kumhujumu Lowassa. (Dah kumbe sio tu wale walioondoka bali wapo wengine ndani walikuwa wanatoa nyendo zote za mzee kutokana na mgao)

Kumbe Kikwete alikuwa anafanya vikao vya siri na viongozi wa upinzani kumhujumu mzee Lowassa. Inadaiwa wakati wa kampeni waliwahi kufanya kikao kimoja Morogoro.

Aisee inabidi wapinzani wajikomboe kwanza na njaa zao ndipo wawe na dhamira ya kweli ya kufanya siasa za kipinzani.

Hapo Lumumba hapakaliki tunaambiwa Polepole na Bashiru hawaongei na si hivyo tu bali hata Polepole na Kinana waliwahi kusuluhishwa mara mbili na waziri mkuu Kassim Majaliwa. Inadaiwa Bashiru kampiga marufuku asiandamane naye kwenye mikutano yake.
Habari ya kutunga na kufikirika hiyo,kama unayo hiyo ripoti si uiweke hapa?mambo ya kuandika ''habari ya kuaminika''ripoti ya siri ni uongo tu wa kutunga hakuna ripoti ya siri,kama unayo weka hapa la sivyo hizo ni simulizi za vijiwe vya wavuuta msuba wakiwa geto za uswazi
 
Shetani akimtumia binadamu ili kufanikisha mambo ya kishetani humfanya tajiri wa muda na baada ya hapo ni kilio na kusaga meno
 
Bashiru na polepole wanajifunza siasa uzeeni.
 
Back
Top Bottom