Tetesi: CCM kumewaka moto, ripoti ya siri ya mwaka 2016 yavuja. Polepole hakuiva na Kinana na sasa Bashiru

Tetesi: CCM kumewaka moto, ripoti ya siri ya mwaka 2016 yavuja. Polepole hakuiva na Kinana na sasa Bashiru

Sawa fundi maiko
tapatalk_1569336401590.jpeg
 
Hoja yako makini sana.
Ingawa siyo mwana CCM lakini navutiwa sana na namna wanavyojitathimini kila baada ya uchaguzi.
Haya ndiyo mambo ambayo upinzani unapaswa kuyafanya kila baada ya uchaguzi ili kuwajua nyoka waliopenyezwa
Hizi habari haziwasaidii chochote CHADEMA.

Kama ccm wanauwezo wa kujitathmini wapi walikosea hivi Chadema mmewahi kufanya uchunguzi nini kilitokea 2015.?
 
Ripoti ya siri ya mwenendo wa CCM kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 imevuja na aliyeivujisha hajajulikana bado. Inadaiwa kuwa mwaka 2016 Rais Magufuli aliamuru kufanyika kwa uchunguzi ndani ya chama hicho kuhusu mwenendo wake katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.

Katika sehemu ya taarifa ya ripoti hiyo inaonyesha kuwa Lowassa alikuwa tishio kwa serikali na alikuwa na kila dalili za kushinda uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 (Kama alikuja kushinda au hakushinda hilo hatujui).

Pia kuna sehemu taarifa hiyo inadai wapo baadhi ya viongozi wa upinzani waliopewa kiasi kikubwa cha fedha ili kumhujumu Lowassa. (Dah kumbe sio tu wale walioondoka bali wapo wengine ndani walikuwa wanatoa nyendo zote za mzee kutokana na mgao)

Kumbe Kikwete alikuwa anafanya vikao vya siri na viongozi wa upinzani kumhujumu mzee Lowassa. Inadaiwa wakati wa kampeni waliwahi kufanya kikao kimoja Morogoro.

Aisee inabidi wapinzani wajikomboe kwanza na njaa zao ndipo wawe na dhamira ya kweli ya kufanya siasa za kipinzani.

Hapo Lumumba hapakaliki tunaambiwa Polepole na Bashiru hawaongei na si hivyo tu bali hata Polepole na Kinana waliwahi kusuluhishwa mara mbili na waziri mkuu Kassim Majaliwa. Inadaiwa Bashiru kampiga marufuku asiandamane naye kwenye mikutano yake.
Waaaacha waowaaaneeeee wacha waowaaaneeee papapapararaaaaa×2 wanasemaga mambo ya ngoswe mwachie ngoswe siasa za Africa pasua kichwa
 
Hilo sisi Watz halituhusu, wakipatana au wakichukiana kazi kwao.

Sisi tunachotaka kuona kuwa nchi NA wananchi wake wanakuwa NA maendeleo endelevu, uchumi mkubwa, pia wanaishi KWA furaha na amani tele ktk maisha yao.

"Tanzania bila vyama vya siasa NA wanasiasa inawezekana na maisha yatakuwa bora zaidi"
Tubainishie hayo maendeleo. Mimi nina njaa usiniambie habari ya amani
 
Hizi habari haziwasaidii chochote CHADEMA.

Kama ccm wanauwezo wa kujitathmini wapi walikosea hivi Chadema mmewahi kufanya uchunguzi nini kilitokea 2015.?
Mkatathmini ACT
 
Ripoti ya siri ya mwenendo wa CCM kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 imevuja na aliyeivujisha hajajulikana bado. Inadaiwa kuwa mwaka 2016 Rais Magufuli aliamuru kufanyika kwa uchunguzi ndani ya chama hicho kuhusu mwenendo wake katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.

Katika sehemu ya taarifa ya ripoti hiyo inaonyesha kuwa Lowassa alikuwa tishio kwa serikali na alikuwa na kila dalili za kushinda uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 (Kama alikuja kushinda au hakushinda hilo hatujui).

Pia kuna sehemu taarifa hiyo inadai wapo baadhi ya viongozi wa upinzani waliopewa kiasi kikubwa cha fedha ili kumhujumu Lowassa. (Dah kumbe sio tu wale walioondoka bali wapo wengine ndani walikuwa wanatoa nyendo zote za mzee kutokana na mgao)

Kumbe Kikwete alikuwa anafanya vikao vya siri na viongozi wa upinzani kumhujumu mzee Lowassa. Inadaiwa wakati wa kampeni waliwahi kufanya kikao kimoja Morogoro.

Aisee inabidi wapinzani wajikomboe kwanza na njaa zao ndipo wawe na dhamira ya kweli ya kufanya siasa za kipinzani.

Hapo Lumumba hapakaliki tunaambiwa Polepole na Bashiru hawaongei na si hivyo tu bali hata Polepole na Kinana waliwahi kusuluhishwa mara mbili na waziri mkuu Kassim Majaliwa. Inadaiwa Bashiru kampiga marufuku asiandamane naye kwenye mikutano yake.
Hilo halitazuia uchaguzi wa mwenyekiti kufanyika hapo Ufipa!
 
Habari ya kutunga na kufikirika hiyo,kama unayo hiyo ripoti si uiweke hapa?mambo ya kuandika ''habari ya kuaminika''ripoti ya siri ni uongo tu wa kutunga hakuna ripoti ya siri,kama unayo weka hapa la sivyo hizo ni simulizi za vijiwe vya wavuuta msuba wakiwa geto za uswazi

Inawezekana hili linalosemwa sio kweli lakini siku hizi Polepole kiherehere kimemuisha.
 
Nadhani wote Pole Pole na Bashiru ni watu wazuri na wana CV zao huko walikotoka. Wanafanana kitu kimoja ambacho wote wawili ni waumini wa demokrasia, haki za binadamu na utawala wa Sheria. Kufarakana kwao kwa mtazamo wangu ni kitu ambacho hakiepukiki kutokana na mfumo wa utawala wa Mwenyekiti wao.

Kwanza Mwenyekiti wao anapenda uchimvi na majungu, kwa hiyo the more unampelekea umbeya the better you become closer and trusted.

Pili Katibu Mwenezi PoLePoLe amekuwapo ofsini kabla ya Uteuzi wa Bashiru. Na kwa sababu Kinana muda mrefu alikuwa hafanyi kazi za CCM kwa hiyo de facto Secetary General alikuwa PoLePoLe kwa kipindi chote cha Kinana.

Ujio wa Bashiru moja kwa moja ulipoka au ulirudisha madaraka yake halalai yanako stahili. Na hili lazima halikumfurahisha PoLePoLe. Kwenye situation kama hii lazima kuwe na kitu kinaitwa witch hunt, na ndiyo hiki mtoa mada umekiweka.

Nini Kifanyike;
Alipotoka Kinana Mwenyekiti angevunja Sekretariati yote na kisha kumhusisha Bashiru Ally kuunda Sekretariati. Bado Mwenyekiti hajachelewa, anaweza kumpa PoLePoLe kazi nyingine ya Kiserikali hata kuwa RC and then aunde upya Sekrerariati yake.

Hawezi ku afford kumuacha Bashiru Ally kwa kuwa yuko vizuri kwenye kazi, itikadi na ufuatiliaji na mikakati.
 
Hizi habari haziwasaidii chochote CHADEMA.

Kama ccm wanauwezo wa kujitathmini wapi walikosea hivi Chadema mmewahi kufanya uchunguzi nini kilitokea 2015.?
Wanajua nini kilitokea kwasababu wenyewe ndo wanaoinjinia "siasa za kisasa". Ni wepesi kusingizia wenzao kuwa ni wasaliti wakati wao walipewa hela na CCM wakati wa kampeni ili Mgombea wao wa urais asifike na kufanya kampeni jimbo la Ruangwa ili kutoa nafuu kwa Majaliwa ambaye alikuwa hoi dhidi ya mpinzani wake kutoka CUF.
 
Back
Top Bottom