Tetesi: CCM kumewaka moto, ripoti ya siri ya mwaka 2016 yavuja. Polepole hakuiva na Kinana na sasa Bashiru


"Sababu ya njaa kali, isingekuwa njaa.".........
 
Uchaguzi chadema lini?
 
Tukusaidie nini wewe katoto?
 
Huna tofauti na nabii Tito.
 
Mmejaaliwa umbea,story za kutunga na ujinga
 
Acha wafyekane tu we unafikili zambi ya kuua wenzako kisa kulinda madaraka. Ni ndogo?
 
Jk kuwatumia Wapinzani kumhujumu Lowassa inahitaji kuvuja Report ya Siri?

Kubenea,Mbowe
Haha bashite at work wewe usalama wako kubaki mkuu wa mkoa lazima umtajebmbowe mjinga wewe madawa ya kulevya
 
Mbona hujasema namna Mbowe alovyokuwa anashirikiana na Lowassa kuihujumu chadema tangia 2011
Kwa kwa Magufuli nyumba inawaka moto mala ma polisi watukanane yeye anatukana viongozi wa vyombo vya ulinzi wa kuu wa mikoa wanachongeana mawaziri na ma katibu wao parka na panda nyumba kwenye chama ndio uozo nchi ipo varu varu tu
 
Hoja yako makini sana.
Ingawa siyo mwana CCM lakini navutiwa sana na namna wanavyojitathimini kila baada ya uchaguzi.
Haya ndiyo mambo ambayo upinzani unapaswa kuyafanya kila baada ya uchaguzi ili kuwajua nyoka waliopenyezwa
Kwa akili yako ya ki roboto hawafanyi
 
MBONA HABARI ZA FLUSH ZILIZOOKOTWA KWENYE AJALI YA ASIYEJULIKANA ALIYEJULIKANA ZINACHELEWA KUTOLEWA HADHARANI?

AU ZIMEDUKULIWA?
 

Attachments

  • image-156.png
    218.5 KB · Views: 6
Intelligent
 
Tuwekee hiyo taarifa tuchambue wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…