Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
pole sana. wangeshafutiwa usajili kama wangekuwa threat kwa hii nchi. why wapo mpaka sasa hiv? kwamba mamlaka za nchi ji wajinga sana kuwaacha waendelee?Chadema haifai inaliombea mabaya taifa letu kila mara sio watu wa kuwakumbatia kabisa.
sorry hii nchi ina maadui wakubwa sana. ambao mpaka sasa hatujawadhibiti kikamilifu.
Mwalim J.k Nyerere alishawataja.
+bado kuna mambo ya muhim ya kufanya kuliko kupambana na chadema.