CCM kuwalegezea CHADEMA ili ionekane tuna misingi ya Demokrasia ni kukengeuka

CCM kuwalegezea CHADEMA ili ionekane tuna misingi ya Demokrasia ni kukengeuka

Njia mliyokuwa mnaiendea ilikuwa inaipeleka nchi pabaya sana. Ingeweza hata kulipua machafuko. Uvumilivu wa watu huwa una kikomo.

Kinachofanyika sasa ni uponyaji mkubwa.
 
Talieni CCM fanyeni siasa za haki kwa mujibu wa sheria za nchi...mama nibebe haipo tena acheni kulialia.
 
Kisu kimegusa mfupa.
Yaani unataka ccm ya akina sabaya
Ccm ya makonda
Ccm ya bashiru
Ccm aqulina
Ccm ya SAA nane
Ccm ya wasiojulikana
Ccm kufungia akauti za watu
Ccm ya kupora pesa kwa akaunti za watu
Ccm ya kupora uchaguzi

Wee ngoja uwekwe kwa jumba la makumbusho, kwanza unawezaje kutembea na kucontrol mwendo na hiyo akili
 
Acha chama kimfie, atakua tais wa kwanza kufeli na historia itamkumbuka hivyo!!!
Halafu Kama hujui bro mama ndio rais wa mwisho wa CCM na anampango maalum wa kuleta katiba mpya itakayoizika CCM mazima baaada ya hapo atatambulika Kama Shujaa milele na cheo Cha mama wa taifa then
Anarudi zake makunduchi kula Raha katika visiwa vya karafuu sababu katiba mpya itavipa uhuru kua nchi huru na itapaa Kama Dubai halafu nyie watu pori msiojitambua mtabaki mnabweka Kama mbwa koko!
 
Narudia kusema kama kuna Chama ambacho hakifai hapa Tanzania basi ni Chadema. Kimejaa wanasiasa wanafiki na wasaka matumbo.

Leo hii Chadema wanalegezewa na CCM ili ionekane Mama Samia ni mpenda haki na Demokrasia? Huu ni unafiki wa hali ya juu.

Tumesahau harakati zao za chini ya kapeti kuhakikisha ndege zinakamatwa? Tumesahau Kovidi ilipoingia Mbowe na genge lake walivyokuwa wakipotosha kuwa maelfu ya watu wanakufa Dar es salaam hivyo total lockdown iwekwe.

Tumesahau walivyokuwa wanashirikiana na wapambe wao wasio na nia njema kushinikiza tusipate mikopo ya World bank?

Leo hii mnawashinikiza majaji ili watengue hukumu kisa tu muonekane mnapenda Demokrasia! Mnaruhusu Mbowe na genge laki kuzurura wakati mnajua hafai kabisa.

My take: CCM inaelekea pabaya sana na mwaka 2025 moto utawaka.
We kiumbe ni mchawi wa kutupwa aisee. [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Narudia kusema kama kuna Chama ambacho hakifai hapa Tanzania basi ni Chadema. Kimejaa wanasiasa wanafiki na wasaka matumbo.

Leo hii Chadema wanalegezewa na CCM ili ionekane Mama Samia ni mpenda haki na Demokrasia? Huu ni unafiki wa hali ya juu.

Tumesahau harakati zao za chini ya kapeti kuhakikisha ndege zinakamatwa? Tumesahau Kovidi ilipoingia Mbowe na genge lake walivyokuwa wakipotosha kuwa maelfu ya watu wanakufa Dar es salaam hivyo total lockdown iwekwe.

Tumesahau walivyokuwa wanashirikiana na wapambe wao wasio na nia njema kushinikiza tusipate mikopo ya World bank?

Leo hii mnawashinikiza majaji ili watengue hukumu kisa tu muonekane mnapenda Demokrasia! Mnaruhusu Mbowe na genge laki kuzurura wakati mnajua hafai kabisa.

My take: CCM inaelekea pabaya sana na mwaka 2025 moto utawaka.

Moto utawaka kwa kura za kwenye mabeg? Cdm haihitaji msaada wowote maana ni chama cha kizazi hiki. Ccm ndio inategemea vyombo vya dola, hata huyo mama anajua. Wapeni msaada TLP, NCCR, CUF nk ndio wanaonajisi kusaidiwa kwani hawana watu.
 
Narudia kusema kama kuna Chama ambacho hakifai hapa Tanzania basi ni Chadema. Kimejaa wanasiasa wanafiki na wasaka matumbo.

Leo hii Chadema wanalegezewa na CCM ili ionekane Mama Samia ni mpenda haki na Demokrasia? Huu ni unafiki wa hali ya juu.

Tumesahau harakati zao za chini ya kapeti kuhakikisha ndege zinakamatwa? Tumesahau Kovidi ilipoingia Mbowe na genge lake walivyokuwa wakipotosha kuwa maelfu ya watu wanakufa Dar es salaam hivyo total lockdown iwekwe.

Tumesahau walivyokuwa wanashirikiana na wapambe wao wasio na nia njema kushinikiza tusipate mikopo ya World bank?

Leo hii mnawashinikiza majaji ili watengue hukumu kisa tu muonekane mnapenda Demokrasia! Mnaruhusu Mbowe na genge laki kuzurura wakati mnajua hafai kabisa.

My take: CCM inaelekea pabaya sana na mwaka 2025 moto utawaka.
Kufa ukaungane na mkuu wa malaika kule, hapa pameumana
 
Amka usije ukachafua godoro, zama za sie chafu za dhalimu zimeshapita.
Mkuu jikite kwenye mada. Ccm haina haja ya kuwalegezea Chadema ili ionekane inalinda demokrasia.
 
amini nakwambia.
Mna hali mbaya, mnaharisha! Mlishangilia ule mkeka wa ma-DC, sasa hivi kilio kimerudi! Mtaishi kwa mateso kwa maisha yenu yote, na mkifa mtaenda motoni mkendelee na mateso, karangaishuga nyie!
 
Mna hali mbaya, mnaharisha! Mlishangilie ule mkeka wa ma-DC, sasa hivi kilio kimerudi! Mtaishi kwa mateso kwa maisha yenu yote, na mkifa mtaenda motoni mkendelee na mateso, karangaishuga nyie!
taja kada mmoja aliyetarajia udc akaukosa.
 
taja kada mmoja aliyetarajia udc akaukosa.
Si mlishangilia kina Nasari na mamluki wengine wa CHADEMA kuteuliwa?! Sasa hukumu haramu walizoshinikizwa majaji zimepanguliwa, na hapa mnaharisha! Lagacy vipande vipande, panyabuku elfu moja, nyie sukumagang!
 
Si mlishangilia kina Nasari na mamluki wengine wa CHADEMA kuteuliwa?! Sasa hukumu haramu walizoshinikizwa majaji zimepanguliwa, na hapa mnaharisha! Lagacy vipande vipande, panyabuku elfu moja, nyie sukumagang!
legacy ya magufuli ni ngumu kuiondoa kama ilivyo ya yesu,ndip sababu hata wewe bado inakutafuna,hujisikii kutulia bila kumtaja.

nasary na wengine ni vijana watiifu wa ccm,ujinga walikuwa nao chadema kuwapokea kama makamanda wengine wauza ubuyu.
 
Acha hasira kamanda.
Si ulimshangilia mama kwenye mkeka wa ma-DC? Unalia nini sasa, mmepigwa goli, legacy imevunjwa vipande vipande, na bado, kila sukumagang ataishi na haya maumivu kwa muda wote hapa duniani, na mkifa ni mtotoni, maalabuku!
 
Huu Uvyama, Uvyama ni Shida Tupu...

Hivi hao Chadema sio Watanzania ? , Kama wakivunja sheria washughulikiwe kama wahalifu na sio kwa Uchadema wao....
 
Si ulimshangilia mama kwenye mkeka wa ma-DC? Unalia nini sasa, mmepigwa goli, legacy imevunjwa vipande vipande, na bado, kila sukumagang ataishi na haya maumivu kwa muda wote hapa duniani, na mkifa ni mtotoni, maalabuku!
Insanity.
 
Back
Top Bottom