Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
pole sana. wangeshafutiwa usajili kama wangekuwa threat kwa hii nchi. why wapo mpaka sasa hiv? kwamba mamlaka za nchi ji wajinga sana kuwaacha waendelee?Chadema haifai inaliombea mabaya taifa letu kila mara sio watu wa kuwakumbatia kabisa.
Mpumbavu weye!Upoupo tu kama makalio ya nyani!Unahamasisha miugomvi tu.ππππTuliza makalio, 2025 ipo near.
nyumbu wote oyeeeeeeee.Anzisha chama chako Mkuu!
Hii ndio CCM ya Jembe na Nyundo..CCM makinikia ishaondoka.. CCM ya risasi na viroba ishazikwa..
Maisha mafupi sana.
Fact, CCM tunayoijua ni CCM janjajanja na Magoli YA MKONO. Si yo CCM ya mkono wa chumaAnzisha chama chako Mkuu!
Hii ndio CCM ya Jembe na Nyundo..CCM makinikia ishaondoka.. CCM ya risasi na viroba ishazikwa..
Maisha mafupi sana.
chadema hii inayomsifia mama leo hii[emoji38][emoji38].Chadema haijafa, kafa yeye
Mkuu upo poa, maana kuwakumbatia hawa Wabunge wa kujua kusoma na kuandika na kudai ujira kwa $ kwa ajira ya kujipendekeza kwa wananchi ni hatari kwa maendeleo ya NCHI.Ahaaaa. Nafikiri hujaelewa mantiki ya hoja yangu. Kama taifa hatutakiwi kukumbatia wanasiasa wajaza matumbo.
PUSH GANG... Hakuna rangi mtaacha ona Awamu hii..!!nyumbu wote oyeeeeeeee.
push gang tunakula maisha,maana bado ccm yetu iko jikoni.PUSH GANG... Hakuna rangi mtaacha ona Awamu hii..!!
ππππππ..!!!!push gang tunakula maisha,maana bado ccm yetu iko jikoni.
na kama unadanganywa kuna push gang anaumia,anayekwambia hana nia njema na wewe.
amini nakwambia.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..!!!!
Mkuu Uhai wa Chama Tawala upo wapi, kama sio kukimbilia dola akiishiwa hoja?Uhai wa Chadema upo wapi? Kuzurura kidigital?
HUYO MLETA MADA ANAJUA CCM NDIO KATIBA YA NCHI,AKAMULIZE RAIS HUWA ANAAPA KATIBA YA CHAMA CHAKE AU KATIBA YA NCHI.Walegeza nini??
Kwani Tanzania ilipewa hatimiliki kuwa CCM ndio wenye Tanzania?
Mbona Nchi ilikuepo tangu enzi za machief bila ya CCM kuwepo?
Kwani Chief Mkwawa alikua CCM?
Mtemi Mirambo alikua CCM??
Ni zama ambazo tutazidi kuyasikia dikteta aliyoyataka yasisikike..tutayasikia sasa kwahiyo tulieni mumjue mtu wenu alikuwaje maana tuliposema alikua tatizo mlituita vibaraka, wasaliti n.k
Sadists mnapata taabu sana mwenye haki akitawala. Yaani unaona watu kuishi kwa amani bila kutekwatekwa, kukamatwa ovyo, kubambikiwa kesi nk kwako inakuuuuuma!Ni dhahiri hauna akili timamu.