CCM kuwalegezea CHADEMA ili ionekane tuna misingi ya Demokrasia ni kukengeuka

Siuoni mwelekeo mbaya, naiona Tanzania inayojishusha kiungwana. Siuoni ubaya wa maamuzi ya kufuta kesi za kubambikia tena ni mamia.

Tumeoneana sana kwa vyeo ambavyo ni dhamana, kuna vilio vingi kwenye jamii tunazoishi. Mungu huwa na njia za kumkumbusha binadamu kuwa uwepo wake juu ya ardhi ni kwa neema tu, hana kibali cha kujivuna na kujidanganya kiasi cha kujipa ukuu.

Rais Samia ni mwanamke, siku zote anakiona kile ambacho mwanaume hakioni hata kama kipo pembeni ya kiti alichokalia. Ni vyema tukubaliane na huu mwelekeo mpya wa awamu ya sita. Ni vyema tukaondokana na mazoea mabaya ya weusi wa ngozi zetu ukaenda mpaka ndani ya nafsi na kuleta weusi wa roho.
 
napata picha jinsi ulivyokua unaandika huku machozi yakikutoka. pole mkuu,naomba namba yako nikutumie nauli ukashitaki kwa hayati chato.
 
Serikali ya samia kama inawajibika kwa waliyoipigia kura wakate rufaa hii kesi ya mbowe na genge lake. Wao wanaifanyia propaganda dhidi ya magufuli. Propaganda dhidi ya magufuli samia asidhani inamfaidisha binafsi. Kesi hiyo kwa maslahi ya ccm na wanachama ikatiwe rufaa mahakama ya rufaa ili kuwadhibiti wazandiki wenye nia ya kuleta utawala wa dhuluma kwa raia wa tanzania.
 
amini nakwambia.
Mtabaki hivyo hivyo wauaji wakubwa nyiee
😂😂😂😂
 
Mtabaki hivyo hivyo wauaji wakubwa nyiee

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
unajua shida yenu ni moja.

mmekuwa watu wenye kutafuta faraja sana hata kwa vitu vidogo.
ccm inajua udhaifu wenu.
 
Damu za watu ulizokunywa tumbo likavimba kama kupe,bado hutosheki tu?mkuu badilika zama zimeshabadilika,aliyekufa amekufa hatarudi...YUPO MWINGINE KWA SASA..AMBAYE YEYE KUNYWA DAMU ZA WATU NI DHAMBI KWAKE..ANAJITAKASA.VUMILIA TU MKUU,VUMILIA...UKIONA KERO INAZIDI JITAHIDI UFANYE MAZOEZI NA UZINGATIE IBADA KWA MOLA WAKO,
 
Leo hii Chadema wanalegezewa na CCM ili ionekane Mama Samia ni mpenda haki na Demokrasia? Huu ni unafiki wa hali ya juu.

Hivi hapa Mnafiki ni MLEGEZAJI au MLEGEZEWA??

Kwani unafikiri kwa kutumia nini?

"WABUNGE WA DAR ES SALAAM WANAFIKIRI KWA KUTUMIA MAKALIO"- DIDAS MASABURI

Nahisi na yeye anatumia hiyo kitu mkuu
 
unajua shida yenu ni moja.

mmekuwa watu wenye kutafuta faraja sana hata kwa vitu vidogo.
ccm inajua udhaifu wenu.
Sasa Kama vinatufariji tusifarijike?

Nyinyi mmekua watu wa kufurahia uonevu, chuki, fitina na kujenga matabaka ktk jamii.

Huwezi kuelewa maumivu ya wengine maana nyinyi mnakula kiulaini sana, posho.. mishahara minono.. marupurupu. Nyumba bure..Maji bure.. umeme bure.. mafuta bure.. ulinzi bure... Huwezi kuelewa faraja ndogo inathamani gani kwa mtu wa chini..
 
........ moja wao kule bungeni aliomba eti wabunge waongezwe mishahara ili ilingane na ya wabunge wa Kenya na Afrika Kusini.....!!!
 
Napendekeza Ndege Mpya Zijazo Ziandikwe "Kazi Iendelee "
Madame Samia Suluhu Hassan
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania

Akili za mtanzania bana, Kazi iendelee ndo nni?

Wanzetu wanawaka slogan zenye tija wewe unawaza upuuzi?

Kama tuna aim high, na ndege zitaenda nje ya nchi ni vyema kutangaza vivutio vyetu, serengeti, ngorongoro, kilimanjaro, ruaha, nyerere, mikumi, zanzibar n.k
 
Push gang mnapitia kipindi kigumu sana, tuliwaunga mkono kwa sababu ya mwenyekiti wenu sasa ameenda mtuache tuendelee...ili udumu chamani kwetu lazima uwe na PhD ya unafiki🤣🐒🤸
 
Nchi yangu ina watu watupu sana kichwani , kama wewe ukifa huo mbichwa wako, wafaa uwekwe kwenye jumba la makumbusho ,kizazi kijacho kilipie kukutazama, uliwezaje kuishi duniani na huo utupu wako kichwani
 
Nchi yangu ina watu watupu sana kichwani , kama wewe ukifa huo mbichwa wako, wafaa uwekwe kwenye jumba la makumbusho ,kizazi kijacho kilipie kukutazama, uliwezaje kuishi duniani na huo utupu wako kichwani
Kisu kimegusa mfupa.
 
Mkuu hii Sasa ndio Ccm halisi,
Ccm ya mahuaji ishaondoka na dikteta,

Hii Ni ccm ile ya kushindana kwa hoja sio kwa Risasi na kutekana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…