CCM Kwa moto sana, watuhumiana Ushoga, Wizi na Uuaji!

CCM Kwa moto sana, watuhumiana Ushoga, Wizi na Uuaji!

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Hii week hatimae imeisha, ni jambo la kushukuru Mungu. Kwa upande wa CCM mambo si haba, at least wamethibitisha haya machache japo kwa kutuhumiana na kushutumiana!

1. Wabunge wa CCM wanawatuhumu wabunge wenzao WA CCM kuwa mashoga/mabasha na KIONGOZI wa Bunge anakaa kimya kuashiria ni kweli.

2. Wabunge/mawaziri wa CCM kuanza kutuhumiana kuuwana! Kila MTU anamugopa Mwenzie, Hali SI shwari!

3. Kabla hata Arobaini ya Yuda haijaisha tangu amsaliti Kristo, tayari Kuna Mbunge wa CCM tena ndani ya Bunge lao anasimama akiwa na vielelezo jinsi Waziri alivyotafuna trillion nzima na point zake.

CCM hamkujua kuwa adui yenu ni nyie wenyewe?

20211212_200629.jpg
 
Hii week hatimae imeisha, ni jambo la kushukuru Mungu. Kwa upande wa CCM mambo si haba, at least wamethibitisha haya machache japo kwa kutuhumiana na kushutumiana!
1. Wabunge wa CCM wanawatuhumu wabunge wenzao WA CCM kuwa mashoga/mabasha na KIONGOZI wa Bunge anakaa kimya kuashiria ni kweli.
2. Wabunge/mawaziri wa CCM kuanza kutuhumiana kuuwana! Kila MTU anamugopa Mwenzie, Hali SI shwari!

3. Kabla hata Arobaini ya Yuda haijaisha tangu amsaliti Kristo, tayari Kuna Mbunge wa CCM tena ndani ya Bunge lao anasimama akiwa na vielelezo jinsi Waziri alivyotafuna trillion nzima na point zake.

CCM hamkujua kuwa adui yenu ni nyie wenyewe? View attachment 2596235
Mmmh
 
Mtume kuna muujiza huku!
Nini kimetokea?
Kile chama cha majizi sasa wanatuhumiana kuwa pia ni ma bwabwa.
Ooh utukufu kwa Mungu.
 
Ila msisahau Nape alisema wakifika kwenye uchaguzi na kushika madaraka ni habari nyingine kabisa, wote wanakuwa kitu kimoja!
 
Ila msisahau Nape alisema wakifika kwenye uchaguzi na kushika madaraka ni habari nyingine kabisa, wote wanakuwa kitu kimoja!
This time hakuna namna wanaweza ungana.

Kikao Cha cc December 2022 kukupe viashiria juu ya yajayo.
 
Back
Top Bottom