Mimi.
JF-Expert Member
- Sep 7, 2011
- 2,120
- 3,059
Nasikia ni Basha hahahahaaa kazi wanayo
Na ukimkatalia anakukata jina kwenye chaguzi za Mikoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia ni Basha hahahahaaa kazi wanayo
chadema wanachowafanyia bawacha same na hedaru sijui kwa kweliMpe pole mama yako kama alifanyiwa mchezo mbaya na Chadema
Wezi ni wezi tuIla msisahau Nape alisema wakifika kwenye uchaguzi na kushika madaraka ni habari nyingine kabisa, wote wanakuwa kitu kimoja!
Huyo ndugu yako anaishi huko hedaru?chadema wanachowafanyia bawacha same na hedaru sijui kwa kweli
mashoga ya ccm vipi ile report ya CAG ya ufisadi wa ccm mbona mmeikimbia kuijadir.chadema mnachowafanyia kina mama wa bawacha sijui mtajibu nini
Watashinda tena hao hao wezi maana wapiga kura wengi ni wajinga.2025 ni mbali sana kwa kweli kwa aina hii ya Wabunge!
Relax! Elewa situation ilivyoCCM ni chama bora chenye wanachama zaidi ya milioni 7...
Ajabu kwa wingi huu wakakosekana watu wa hovyo walio wachache.....
Ni sawa na wale "mash...." wawili maarufu na "wasag...." nguli watano wa Chadema wakifanye chama kizima kuwa "mahobobo".....
#SiempreCCM
Watu wanatishiana kuuuwana wewe unaongea upuuziCCM ni chama bora chenye wanachama zaidi ya milioni 7...
Ajabu kwa wingi huu wakakosekana watu wa hovyo walio wachache.....
Ni sawa na wale "mash...." wawili maarufu na "wasag...." nguli watano wa Chadema wakifanye chama kizima kuwa "mahobobo".....
#SiempreCCM
Hii week hatimae imeisha, ni jambo la kushukuru Mungu. Kwa upande wa CCM mambo si haba, at least wamethibitisha haya machache japo kwa kutuhumiana na kushutumiana!
1. Wabunge wa CCM wanawatuhumu wabunge wenzao WA CCM kuwa mashoga/mabasha na KIONGOZI wa Bunge anakaa kimya kuashiria ni kweli.
2. Wabunge/mawaziri wa CCM kuanza kutuhumiana kuuwana! Kila MTU anamugopa Mwenzie, Hali SI shwari!
3. Kabla hata Arobaini ya Yuda haijaisha tangu amsaliti Kristo, tayari Kuna Mbunge wa CCM tena ndani ya Bunge lao anasimama akiwa na vielelezo jinsi Waziri alivyotafuna trillion nzima na point zake.
CCM hamkujua kuwa adui yenu ni nyie wenyewe?
View attachment 2596235
Inasikitisha na kukera sana sana
Haikeri mkuu ni hatua ya kuisha kwa zama za giza za TaifaInasikitisha na kukera sana sana
Relax, huwezi kutenganisha hivi vitu Brother! Unachosema ni sawa na dhahabu ikikutwa kwa garden yako inakua Mali ya serikali ila bangi ikikutwa kwenye garden hio hio inakua yako! HapanaKutishia kuua ni KOSA LA JINAI....
Amefanya mtu....hakijafanya chama....