CCM Kwa moto sana, watuhumiana Ushoga, Wizi na Uuaji!

CCM ni chama bora chenye wanachama zaidi ya milioni 7...

Ajabu kwa wingi huu wakakosekana watu wa hovyo walio wachache.....

Ni sawa na wale "mash...." wawili maarufu na "wasag...." nguli watano wa Chadema wakifanye chama kizima kuwa "mahobobo".....

#SiempreCCM
 
Relax! Elewa situation ilivyo
 
Watu wanatishiana kuuuwana wewe unaongea upuuzi
 
Kutishia kuua ni kosa la JINAI....amefanya mtu na hakijafanya chama....
 
Kutishia kuua ni kosa la JINAI...amefanya mtu na hakijafanya chama....
 
Kutishia kuua ni kosa la JINAI...amefanya mtu na hakijafanya chama....
 
Kutishia kuua ni KOSA LA JINAI....

Amefanya mtu....hakijafanya chama....
 
 
Kutishia kuua ni KOSA LA JINAI....

Amefanya mtu....hakijafanya chama....
Relax, huwezi kutenganisha hivi vitu Brother! Unachosema ni sawa na dhahabu ikikutwa kwa garden yako inakua Mali ya serikali ila bangi ikikutwa kwenye garden hio hio inakua yako! Hapana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…