Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
Uchaguzi ungekuwa huru wangechapika vibaya mnoHahaha Wahenga wanasema asiyekubali kushindwa si mshindani!
Panda shuka, kubali kataa Lakini ukweli ndio huo. Ni mchungu lakini ndio ukweli.Wasiojulikana na comment zenu.
Sawa SabayaPanda shuka, kubali kataa Lakini ukweli ndio huo. Ni mchungu lakini ndio ukweli.
Kalale kama huna la kufanya.Sawa Sabaya
Sawa SabayaKalale kama huna la kufanya.
Unajua mwisho wao utakuwa wapi? Hatakapo ruhusu tu wagombea wengi wa vyama ya upinzani watu wanapiga kura kwa hasira ndo wanatapoteana na hawataamini kinachotokea!Uchaguzi ungekuwa huru wangechapika vibaya mno
PoyoyoNdio.
Wameshagundua wamechokwa wameogopa kuaibikaUnajua mwisho wao utakuwa wapi? Hatakapo ruhusu tu wagombea wengi wa vyama ya upinzani watu wanapiga kura kwa hasira ndo wanatapoteana na hawataamini kinachotokea!
Muda wa kubadilika ni sasa!
Kama za ccmWajinga ni mnaoshabikia siasa za maigizo
Uongo siku zote haudumu maana giza haliwezi kuushinda mwanga!Wameshagundua wamechokwa wameogopa kuaibika
Muda utaongeaUongo siku zote haudumu maana giza haliwezi kuushinda mwanga!
CCM haina zaidi ya miaka 10 ijayo kwa mfumo huu wanao enda nao hawatoboi hata wafanye figisu kiasi gani watafeli tu!
Ndugu zangu nchi hii sasa tumebakia na kete mbili zilizo kuu ili tuondokane na vitisho na uongozi wa kidhalimu wa CCM chini ya SAMIA Suluhu Hassan ,kete ya kwanza ni ss wananchi kuamua kuandamana nchi nzima non stop kujitetea wenyewe dhidi ya mateso ya kutekwa na kuuawa kwa ndugu zetu mbalimbali.Kete ya pili ni JESHI la WANANCHI wa TANZANIA kama linavyofahamika kuchukua mamlaka kwa niaba ya wananchi kama kweli jeshi hili ni lao na liko kwa ajili ya wananchi.Mauaji yanayoendelea sasa naamin ni zaidi ya awamu zote zilizowahi kupita kuongoza Taifa hili.Kete hz mbili yoyote inaweza kuanza bila kusubiri nyingine kwa lengo la kuponya Taifa.Anayeshabikia watu kutekwa ,kuteswa na kuuawa ni kwa sababu hana upendo na uzalendo kwa watanzania wenzake.Majeshi ya wananchi kama ya Burkina faso,Mali na kwingineko yalipoona siasa chafu zinazonuka kama mavi zikiendeshwa ndani ya nchi zao majeshi hayo yaliingilia Kati ya kuwafurusha wanasiasa washenzi na wapumbavu wasio na Akili wanaohujumu nchi zao.JESHI letu linasemwa na kusifiwa kuwa lina weledi,nidhamu na maadili ya hali ya juu kabisa,Sasa SWALI la msingi linawezaje kuwa na sifa zote hizo Alafu linavumilia wananchi wake wakiteseka,je sifa hizi kea jeshi letu ni za kweli?.Kama nchi ni lazm tuache usanii na tujitafakari kwa kina na mapana.CCM ni chama kikubwa chenye historia kubwa ndani ya nchi na nje ya nchi lakini nashauri yafatayo!
CCM kwenye chaguzi kuanzia 2019 imekuwana na woga kushindana na vyama vingine na kupelekea watu wengi kuona zoezi la uchaguzi halina maana
CCM itambue kizazi kinabadilika na kusema kweli watu wengi wanataka mabadiliko yatayotoka ndani ya CCM au ndani ya upinzani kwa maana ya watu kuchoka kuwa chini ya chama kimoja na hiyo ni hulka ya binadamu kwa asili!
CCM kujiandaa kwa miaka ijayo kwa maana wahenga wanasema huwezi kuwadanganya watu muda wote,Nasema hayo kwa maana haitawezekana miaka yote kuwa na uchaguzi wa namna hii na mapungufu yake kwa maana sio asili ya mambo!
CCM inapaswa kutoogopa kabisa ushindani kwa sababu hata nchi zilizoendelea vyama hutawala kwa sera nzuri zinazokubalika na wananchi si kwa kufanya figisu au ujanja ujanja wa kisingizio cha watu kukosea kujaza fomu. Kuogopa uchaguzi ni ishara ya chama kuchoka na kuongeza chuki katika jamii.
CCM itambue viongozi wengi wanaopita bila kupingwa kwa maana ya kukosa wapinzani hawawezi kukijenga chama katika jamii kwa maana viongozi watokanao na uchaguzi kama huo huwa sio chaguo la wananchi.
CCM ina faida kubwa moja ina mtaji wa vipaji vingi vya uongozi na wachama wengi katika vijana,watu wa makamo na wazee.Kitu hichi kinaifanya CCM kuwa ni chama imara ila kinapungukiwa na viongozi shupavu wa kushindani.
CCM itambue ushindani halali ndo pekee utaifanya CCM kuwa imara na sivinginevyo maana ushindani huleta ushindi halali na kuheshimika na jamii!
CCM ikumbuke kabla ya 2015 wanachama walikuwa wanaogopa kutembea wakiwa wamevaa nguo za kijana kwa maana zomea zomea ilikuwa nyingi sana.
CCM hamjachelewa kuruhusu Ushindani kwa maana ushindani katoka uongozi ni kama damu katika mwili bila ushindani kinachofata ni mauti!
Niwatakie pole wote waliopata changamoto katika kipindi hiki cha uchaguzi!
Mungu awabarikini nyote!
View: https://youtu.be/doU05kVEoz0?si=Q8-XtN2cXCOHqHHs
Sio rahisi ccm kubadilika. Na kwa bahati mbaya hakuna mwanaccm anakubaliana na ukweli huu ndio maana tunashuhudia chaguzi za kipuuzi mno. Ccm nawafananisha na watu wanaoogopa kupima ukwimi, kuliko waujue ukweli ni bora wakae bila kujua liwalo na liwe. Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio yataleya mabadiliko ya kweli nchi hii.Hahaha kikubwa tupate watu sahihi kwa mfumo sahihi sio ujanja ujanja!