LGE2024 CCM: Lazima mkubali mambo yanabadilika na humuwezi kuwadanyanya watu siku zote

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Demokrasia ipo kama kivuli tu,kiukweli hakuna demokrasia nchini wala hakuna mfumo wa vyama vingi vya siasa,kuna hawa tuliowachoka wanaojiona wao ndo wao
 
Uchaguzi ungekuwa huru wangechapika vibaya mno
Unajua mwisho wao utakuwa wapi? Hatakapo ruhusu tu wagombea wengi wa vyama ya upinzani watu wanapiga kura kwa hasira ndo wanatapoteana na hawataamini kinachotokea!
Muda wa kubadilika ni sasa!
 
Unajua mwisho wao utakuwa wapi? Hatakapo ruhusu tu wagombea wengi wa vyama ya upinzani watu wanapiga kura kwa hasira ndo wanatapoteana na hawataamini kinachotokea!
Muda wa kubadilika ni sasa!
Wameshagundua wamechokwa wameogopa kuaibika
 
Wameshagundua wamechokwa wameogopa kuaibika
Uongo siku zote haudumu maana giza haliwezi kuushinda mwanga!
CCM haina zaidi ya miaka 10 ijayo kwa mfumo huu wanao enda nao hawatoboi hata wafanye figisu kiasi gani watafeli tu!
 
napenda sana kuona hivi nchi nzima jamani, hongereni huko
 
Ndugu zangu nchi hii sasa tumebakia na kete mbili zilizo kuu ili tuondokane na vitisho na uongozi wa kidhalimu wa CCM chini ya SAMIA Suluhu Hassan ,kete ya kwanza ni ss wananchi kuamua kuandamana nchi nzima non stop kujitetea wenyewe dhidi ya mateso ya kutekwa na kuuawa kwa ndugu zetu mbalimbali.Kete ya pili ni JESHI la WANANCHI wa TANZANIA kama linavyofahamika kuchukua mamlaka kwa niaba ya wananchi kama kweli jeshi hili ni lao na liko kwa ajili ya wananchi.Mauaji yanayoendelea sasa naamin ni zaidi ya awamu zote zilizowahi kupita kuongoza Taifa hili.Kete hz mbili yoyote inaweza kuanza bila kusubiri nyingine kwa lengo la kuponya Taifa.Anayeshabikia watu kutekwa ,kuteswa na kuuawa ni kwa sababu hana upendo na uzalendo kwa watanzania wenzake.Majeshi ya wananchi kama ya Burkina faso,Mali na kwingineko yalipoona siasa chafu zinazonuka kama mavi zikiendeshwa ndani ya nchi zao majeshi hayo yaliingilia Kati ya kuwafurusha wanasiasa washenzi na wapumbavu wasio na Akili wanaohujumu nchi zao.JESHI letu linasemwa na kusifiwa kuwa lina weledi,nidhamu na maadili ya hali ya juu kabisa,Sasa SWALI la msingi linawezaje kuwa na sifa zote hizo Alafu linavumilia wananchi wake wakiteseka,je sifa hizi kea jeshi letu ni za kweli?.Kama nchi ni lazm tuache usanii na tujitafakari kwa kina na mapana.
 
Chaguzi tu za ndani ya chama zinaamuliwa na 'mapanga'.

Mshkaji wangu ni kampeni manager wa kata ameambiwa chama kikishindwa wanachokua pilipili, na CHADEMA walikaba kwenye kampeni hazijawahi tokea. Akisikia 'Peoples' Power" anaweweseka, anawasha pikipiki huyo ...
 
Hadi aibu.

Ndo maana walisisitiza sn kujiandikisha.Mimi sijagusa geti kutoka nje leo ila najua nimepigishwa kura maana nilijiandikisha nikijua uchaguzi utakuwa huru.
Nilipoona wanaenguliwa wa upinzani kwa speed kubwa nikasema siendi kujisumbua
 
CCM ipo sana; ipo kwa muongo kama 4 hivi.
Itaondolewa na ugumu wa maisha kipindi hicho hakutakuwa na fursa za uchawa na kubeba mikoba ya waandamizi, ardhi inayofaa kwa kilimo itakuwa hafifu sana na gharama za kilimo kubwa hivyo vijana wengi kushindwa kulima, hakutakuwa na fursa za umachinga (kila kijana atakuwa machinga), ....
 
Hahaha kikubwa tupate watu sahihi kwa mfumo sahihi sio ujanja ujanja!
Sio rahisi ccm kubadilika. Na kwa bahati mbaya hakuna mwanaccm anakubaliana na ukweli huu ndio maana tunashuhudia chaguzi za kipuuzi mno. Ccm nawafananisha na watu wanaoogopa kupima ukwimi, kuliko waujue ukweli ni bora wakae bila kujua liwalo na liwe. Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio yataleya mabadiliko ya kweli nchi hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…