Hivi siku hizi watu wanajifunzia wapi kuandika??Ulitaka kusema "Hana" ?
Mashine za Chato hiziHere they are [emoji23] [emoji23]
View attachment 1256523
Hapana, alitakiwa aweke alama ya kuuliza ili isomeke "Yeye mwenyewe ana Mvuto?"Ulitaka kusema "Hana" ?
Kwa kweli wapewe tu huo u "Air Hostage" ha ha haaaa utaniuaaaa!Nakumbuka Mwakyembe alishauri washiriki wa miss Tz,wale top wapewe hilo shavu la "air hostage"
Turudi kwenye mada wacha kuhepa ukweli wa wanawake wenu handsome.
Kuna mmoja anakakitambi kawiziwizi hivi Ukweli napenda Sana Mdada awe na kakitambi[emoji39]Here they are [emoji23] [emoji23]
View attachment 1256523
Hajawahi fika Schipol Int'l Airport kuwaona hao vikongwe wao huita nyanya wakiingia na kutoka....Umewahi panda KLM ukaona wahudumu wake?
Here they are [emoji23] [emoji23]
View attachment 1256523
Wasitimuliwe na wawachwe hivyo watafutiwe kazi nyengine angalau.Here they are [emoji23] [emoji23]
View attachment 1256523
Ila Wana Sura za Baba zao.Here they are [emoji23] [emoji23]
View attachment 1256523