CCM MP has said that ATCL air hostesses are not attractive

CCM MP has said that ATCL air hostesses are not attractive

Vitoto vya Emirates na Ethiopia viko poa kuangalia
 
Point anayo labda maneno katumia makali sana. Kila kazi na vigezo vyake, tusilazimishe walinzi kuwa wapishi.
 
Sehemu yoyote ya kutumia pesa asilimia kubwa ya wahudumu wanatakiwa wavutie yupo sahihi
 
Hii kauli aloyoitowa huyu mb siyo kabisa

Ova
 
Jamani biashara ya airline ni kama biashara nyingine.Huwa zina standard zake kwa kila kitu kuanzaia chakula,ulinzi ,usalama ,mavazi nk.Na kuna vyuo au sehemu ya kutoa mafunzo kwa ajili ya vitu vyote vinavyohusiana na biashara ya ndege.Sasa ,mbunge yuko right kabisa,wale wanaoajiriwa wawe katika standards zinazokubalika kutokana na biashara yeneyewe inavyosema mfano wanataka
Physical Standards
Minimum height requirement is 157 cm (for females) and 170 cm (for males). This requirement may differ from one airline to another. Weight of the candidate should be in proportion to his/her weight. Spotless skin complexion will give candidates an edge
OR
  • Minimum age: 18 to 21 years, depending on the airline.
  • Height: 4ft 11in and 6ft 3in, or 150cm and 190cm, tall. ...
  • Weight: Just be a “healthy weight” for your height!
  • Reach: 208cm (on tippy-toes if you have to!)
  • Vision: 20/30, with or without corrective measures.
Sasa tusidanganyane hizo hapo ni baadhi tu ya standards na hizo zinawekwa ili kuweza kukabiliana pia na majanga yanayotokea kwenye ndege especiaaly kama kuna mtu either mgonjwa na anaitaji kubebwa,or kufunga cabin za ndege unahitaji mtu mrefu nk.So kuwa mrembo au la akifikia hivyo vigezo lazima atameet hiyo ya urembo.Hata namna anavyojiweka .Hivi kweli ukute ameweka "rough dread" au twende kilioni ya ajabu kabisa imefumuka left right au mawigi kama yale ya akina "wema" anafanyaje kazi lazima awe mbaya.Mbunge mimi nakuunga mkono kabisa
Hivyo vigezo ni vya kampuni gani? weka link hapa.Nyie ndiyo mnafanya wadada wajipige mkorogo na kuvaa nywele za maiti kujiona wana mvuto kumbe mavi tu.
 
Huyo mbunge angetoa mfano wa sura mbaya miongoni mwa baadhi ya wabunge wenzake hapo mjengoni.
Ameonyesha mapungufu makubwa mno katika uelewa wake kuhusu usafiri wa anga na huduma za kwenye ndege.
Wahudumu wa ndege si wahudumu wa hoteli au madanguro kwamba uzuri wa sura ni kigezo pekee katika kuajiriwa kwao.
Hawa ndio aina ya watu ambao hutupa watoto mara tu baada ya kuwazaa kisa wameona sura ni mbaya.
 
Wengi wa hao ma air hostess itakuwa ni wasukuma, maana wasukuma wana masura mabaya na hawana mvuto hata kidogo.
Ebu waende moshi wakachukue warembo kule
Mkuu wasukuma tumekukosea nn jaman,.. subiri wewe dawa yako nikukuroga tu.
 
Kwa picha hiyo hapo juu kweli hawana mvuto kabisa biashara lazima iwe na mvuto bana waweke pisi kali
 
Wahudumu wa ndege!!
 

Attachments

  • Flight-attendants-air-hostesses-sure-dressing-to-impress-780x405.jpg
    Flight-attendants-air-hostesses-sure-dressing-to-impress-780x405.jpg
    29.1 KB · Views: 2
Tatizo tunaiga vigezo vya ulaya kuchukua warefu wembamba, vimiguu kama nondo.

Wakati sisi tunapenda matinginya, yaliyojazia makalio. Miguu ya bia, mkia ulio jazwa ukajaa. Hivyo ndio vigezo vya kiafrika.

Wanaume hatuangalii sura hata awe mzuri vipi sisi tunaangalia mzigo nyuma, we love meat especially lamb tail, came on guys let's be honest.

Warudishe miss bantu, washindi waajiriwe siku hiyo hiyo.

Abiria wanapiga miruzi toka JKNA hadi Mwanza. Ukisikia abiria kapitiluza kituo bila kujijua ndio hii sasa.

Ndege za msukuma, vigezo vya wahudumu viwe vya kisukuma pia.
Hahahahahahahaaa mzee baba umeniacha hoi et "matinginya"
 
Magu kajaza air hostes wasukuma ATCL....
Ulishawahi Ona msukuma Mzuri?
 
Hivyo vigezo ni vya kampuni gani? weka link hapa.Nyie ndiyo mnafanya wadada wajipige mkorogo na kuvaa nywele za maiti kujiona wana mvuto kumbe mavi tu.
Hatujasema wajipake mkorogo ,kwanza black is beuty .Panda Kenya airway uone jinsi wasichana weusi walivyo warembo ,well dressed,wanaunene au wembamba unaokubalika ,urefu ,nyele zimekatwa kipilili kimechanya vizuri zimewekwa mafuta ya Nazi,no vitambi kama hawa wakwetu utafikiri wanalishwa junk food na hawana nutritionalist wa kuwasaidia wale vipi,mazoezi nk.
 
Huyo mbunge ana miaka 50, anamtaka mkijana mwenye mvuto wa hiyo age ya 18-21 wa nini?
Sio lazima wa hiyo age ,ni standards tu .Nikama ilivyo kustaafu jeshini ilivyo na different categories na vyeo.Hukiwa na cheo kidogo ukifika 45 unastaafu ,ukiwa professional kama Docta nk unapandishwa cheo ili ustaafu kwenye category ya 60 nk.Hizo ndizo standards zao.Kwa aviation ,nao wana standards mpaka ya mapilots ,ukikuta pilot amevaa miwani hiyo ndege usipande hizo ndio standards
 
Hatujasema wajipake mkorogo ,kwanza black is beuty .Panda Kenya airway uone jinsi wasichana weusi walivyo warembo ,well dressed,wanaunene au wembamba unaokubalika ,urefu ,nyele zimekatwa kipilili kimechanya vizuri zimewekwa mafuta ya Nazi,no vitambi kama hawa wakwetu utafikiri wanalishwa junk food na hawana nutritionalist wa kuwasaidia wale vipi,mazoezi nk.
Link uliyopata hivyo vigezo ulivyovielezea.
 
Sio lazima wa hiyo age ,ni standards tu .Nikama ilivyo kustaafu jeshini ilivyo na different categories na vyeo.Hukiwa na cheo kidogo ukifika 45 unastaafu ,ukiwa professional kama Docta nk unapandishwa cheo ili ustaafu kwenye category ya 60 nk.Hizo ndizo standards zao.Kwa aviation ,nao wana standards mpaka ya mapilots ,ukikuta pilot amevaa miwani hiyo ndege usipande hizo ndio standards
Mbona kuna miwani za ma pilot?!
 
Back
Top Bottom