The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Nimetoa mada "Rais Samia Suluhu Hassan, alama ya mwisho ya anguko la utawala wa siasa za CCM Tanzania...."
Wengi hawajanielewa na kusema it's a delusional....
Dunia hii ina historia pevu sana inayoweza kutufundisha na kutujuza tulikotoka. Tunaweza kutumia matukio yaliyopita (historia) ili kutuelekeza yatupasayo kufanya sasa.....
Tanzania ni sehemu muhimu ya dunia hii. Haiwezi kujitenga na historia ya dunia ya kale, ya Jana, ya juzi na ya sasa....
CCM ni chama kinachotawala Tanzania tangu Uhuru wa Tanganyika 1961 na tangu muungano wa Tanganyika na Zanzibar mwaka 1964....
Hawa watu mpaka sasa wanachojua wao ni kitu kimoja tu kwa sasa....
"....Kwa kuwa TUNAKULA na KUNYWA na KUSHIBA hadi kusaza, basi ni nani awezaye kuwa juu yetu....?"
Kunywa, kula na kushiba hadi kusaza kumeshawalevya. Hawaioni hatari iliyoko mbele yao. Hawauoni mwisho wao unaowatazama kwa macho makali na angavu....
Dunia ya kale ya kina Luthu, Nuhu, Nebukadneza, Dario, Alexabder The Great (Roman Empire) inaweza kutupa somo zuri sana....
Na the Latest ni dunia ya kina Adolf Hitler, Benito Mussolini, Iddi Amin Dada, Daniel Arap Moi (KANU) Kenya, Kenneth Kaunda (UNIP) Zambia and so forth inaweza kuwapa somo nzuri CCM, watawala wa sasa katika Tanzania yetu....
Lakini ni heri yetu kwa kuwa kula na kunywa na kushiba na na kusaza na kisha kulewa, kumewapumbaza na kuua fikra za ufahamu zao....
Kula na kunywa kumewapumbaza kiasi cha kila sauti inayosikika masikio mwao inaonekana kuwa ni upuuzi na kelele zisizo na maana....
Wamejisahau na kutojua kuwa wamepewa dhamana na Mungu muumba kutawala watu wake kwa HAKI....
Hata Roman empire iliyooanguka kwa kishindo kikuu, walikuwa kama walivyo watawala hawa wa Leo...
Walikuwa wakila na kunywa huku mauti na anguko la dola yao kuu iliyotawala ulimwengu wote liliwanyemelea kimya kimya bila wao kujua....
Hawakujali sauti yoyote ya kukosoa wala ya maonyo kwa sababu walisema, "sauti za chura kwenye dimbwi la maji hazimzuii ng'ombe kunywa maji hayo....."
Walikuwa wakila na kunywa na kulewa ,na mwisho wao uliwakuta bila taarifa ktk starehe zao na mpaka leo hawaelewi nini kilitokea....
Hata hivyo, ni bora mwisho huo wa CCM ukaja haraka na mapema. Na huo unakuja. Nasi tunasema na uje sasa...AMEN.
Wengi hawajanielewa na kusema it's a delusional....
Dunia hii ina historia pevu sana inayoweza kutufundisha na kutujuza tulikotoka. Tunaweza kutumia matukio yaliyopita (historia) ili kutuelekeza yatupasayo kufanya sasa.....
Tanzania ni sehemu muhimu ya dunia hii. Haiwezi kujitenga na historia ya dunia ya kale, ya Jana, ya juzi na ya sasa....
CCM ni chama kinachotawala Tanzania tangu Uhuru wa Tanganyika 1961 na tangu muungano wa Tanganyika na Zanzibar mwaka 1964....
Hawa watu mpaka sasa wanachojua wao ni kitu kimoja tu kwa sasa....
"....Kwa kuwa TUNAKULA na KUNYWA na KUSHIBA hadi kusaza, basi ni nani awezaye kuwa juu yetu....?"
Kunywa, kula na kushiba hadi kusaza kumeshawalevya. Hawaioni hatari iliyoko mbele yao. Hawauoni mwisho wao unaowatazama kwa macho makali na angavu....
Dunia ya kale ya kina Luthu, Nuhu, Nebukadneza, Dario, Alexabder The Great (Roman Empire) inaweza kutupa somo zuri sana....
Na the Latest ni dunia ya kina Adolf Hitler, Benito Mussolini, Iddi Amin Dada, Daniel Arap Moi (KANU) Kenya, Kenneth Kaunda (UNIP) Zambia and so forth inaweza kuwapa somo nzuri CCM, watawala wa sasa katika Tanzania yetu....
Lakini ni heri yetu kwa kuwa kula na kunywa na kushiba na na kusaza na kisha kulewa, kumewapumbaza na kuua fikra za ufahamu zao....
Kula na kunywa kumewapumbaza kiasi cha kila sauti inayosikika masikio mwao inaonekana kuwa ni upuuzi na kelele zisizo na maana....
Wamejisahau na kutojua kuwa wamepewa dhamana na Mungu muumba kutawala watu wake kwa HAKI....
Hata Roman empire iliyooanguka kwa kishindo kikuu, walikuwa kama walivyo watawala hawa wa Leo...
Walikuwa wakila na kunywa huku mauti na anguko la dola yao kuu iliyotawala ulimwengu wote liliwanyemelea kimya kimya bila wao kujua....
Hawakujali sauti yoyote ya kukosoa wala ya maonyo kwa sababu walisema, "sauti za chura kwenye dimbwi la maji hazimzuii ng'ombe kunywa maji hayo....."
Walikuwa wakila na kunywa na kulewa ,na mwisho wao uliwakuta bila taarifa ktk starehe zao na mpaka leo hawaelewi nini kilitokea....
Hata hivyo, ni bora mwisho huo wa CCM ukaja haraka na mapema. Na huo unakuja. Nasi tunasema na uje sasa...AMEN.