CCM msipumbazike na kula, kunywa na kushiba hata mkalewa msioone hatari iliyoko mbele yenu

CCM msipumbazike na kula, kunywa na kushiba hata mkalewa msioone hatari iliyoko mbele yenu

Upinzani ulipofeli 2015 tu!! Sjui tena itachukua miongo mingapi
Upinzani si vyama vya si-hasa.... Upinzani ni watu, maisha halisi ya watu je wameridhika nayo? Kila kukicha wanaendelea kuerevuka hivyo ipo siku wataiva na kuamua kujikwamua kutoka ktk minyororo ya hao wanaokula na kusaza ilhali wananchi maisha duni.... HISTORIA NI MWALOMU MZURI
 
CCM ndio chama kilichofanikisha mafanikio na maendeleo yote tuliyonayo kiuchumi, kisiasa na hata kijamii

Pamoja na mapungufu yaliyopo CCM imejenga msingi imara sana wa Taifa hili. Imejenga msingi wa umoja, upendo, amani kwa njia ambayo ni ngumu sana kwa nchi nyingine.

Miaka 60 ya uhuru Tanzania hakuna ugomvi wala vita ya wenyewe kwa wenyewe kwenye udini wala ukabila, na wala kwa jinsia; kwa maana hiyo kwa yoyote mwenye nia ya kulisambaratisha taifa letu njia yoyote ni ngumu sana.

Tunapokua tunawakosoa tusisahau kwamba hata huu uwezo wa kukosoa wametujengea wao
Good points. Kuongoza nchi si kazi ndogo. Umoja naweza kukubali, ila upendo na amani tulikuwa nao kabla hata ya uhuru. Dini tofauti zilikuwepo kabla ya uhuru na kulikuwa hakuna vita vya kidini.
 
Duuh, huyaelewi maandiko. Umejipotosha mwenyewe na unataka kupotosha wengine...

Naomba nikurejeshe kwenye mstari, usiendelee kupotea. Nitatumia mfano mmoja ktk Biblia kuelezea hili...

Unamfahamu mtu mmoja anaitwa Daniel..? Stori hii inapatikana katika Biblia > [SOMA: Daniel 6: 1 - 25]

Ni mfano wa mtu boldly mmoja anaitwa Daniel aliyekataa kutii AMRI halali toka kwenye MAMLAKA HALALI YA KISERIKALI YA KIBINADAMU ya mfalme (Rais) Dario wa Umedi na Uajemi iliyotaka kila mtu aabudu sanamu ya dhahabu ya kuchongwa ña yeye mfalme (Rais) badala ya kumwabudu Mungu Yehova wa kweli...

Amri ilisema anayekataa kutii amri hiyo angepata adhabu ya kifo cha kutupwa kwenye shimo la simba wala watu ili aliwe na afe...

Kwa sisi hapa tunaweza kusema angepotezwa, kuteswa, kupigwa risasi ufe kabisa kama Tundu Lissu na adhabu zingine zifananazo na hizo...

SASA TUJIFUNZE NINI KWA MFANO HUU vs HOJA KILA MTU KUTII MAMLAKA HALALI KWA KUWA KILA MAMLAKA IMEWEKWA NA MUNGU...?

å Biblia inaposema "kutii mamlaka halali kwa sababu kila mamlaka yatoka kwa Mungu.." haina maana unayoielewa wewe. Unapotea ndugu yangu. Unamsaidia shetani kutimiza ajenda zake ovu dhidi ya binadamu...!

å Siyo kila mamlaka za kiserikali za kibinadamu zinatoka kwa Mungu. Mamlaka zingine ni totally zinatoka kuzimu kwa shetani zikiwatumia watu wenye miili ya kibinadamu kutawala wanadamu...!

å Biblia inasema "...mtawatambua kwa matendo yao..." na pia Biblia hiyo hiyo inasema ".....hamuwezi kushindwa kuzitambua hila (mikakati) yake..." anayotumia kuwalaghai binadamu ili atimize hila (motives) zake bila binadamu kutambua kama ulivyo wewe ulivyopotoka na kutaka kupotosha wengine...!

å Mathalani, lazima uelewe kuwa Mungu ni wa UWAZI, HAKI na UPENDO...

å Mungu hawezi kuweka serikali madarakani kupitia uchaguzi usio wa HAKI na WAZI unaoambatana na mauaji na kuumiza watu..

å Mtu yeyote atakuwa mjinga na mpumbavu sana kama atatii kila kitu atakiwacho kukifanya na mtawala wa serikali ya namna hii...

å Ni lazima tuwe kama Daniel. Ni lazima tuwe kama Tundu Lissu. Inashangaza na bahati mbaya sana kuwa baadhi ya watu huwa hawamuelewagi Tundu Lissu anapokataa na kuwapinga waziwazi watawala. Kama ilivyokuwa kwa Daniel, ndivyo ilivyotokea na inavyoendelea kutokea kwa watu wengi ktk serikali nyingi za kidunia na hapa Tanzania akiwemo Tundu Lissu kuhukumiwa adhabu ya kifo bila kupitia mahakamani..!

å Biblia inasema "...watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa........." [Hosea: 4:6]. Maarifa yanayosemwa hapa ni NENO LA MUNGU. Yaani kutoisikia na kuilewa SAUTI YA MUNGU. Binadamu kukataa kuongozwa na Mungu ktk maisha yao. Wanaongozwa na tamaa za miili yao, tamaa ya madaraka, tamaa ya mali nk ambayo provider wake ni "ulimwengu..." ambao unatawaliwa na Ibilisi...

Najua utasema au kupinga kuhusu Daniel kwa hoja ya ".....aaah, hiyo ilikuwa ni kuabudu sanamu ambayo hata mimi (wewe) ungekataa...!"

Ukiuliza nitakujibu vizuri tu Kibiblia maana kumbe kweli utakuwa huyajui maandiko ndiyo maana unapotea unnecessarily...!

Karibu


Sio "kama" bali divyo nilivyo ndugu Niza Doyi...!

Yesu Kristo ndiye Bwana na mwokozi wangu. Nitatumia jukwaa hili kusema yaliyo ya Mungu. Nitawakemea, kuwakosoa na kuwaonya watawala na wote wanaopumbazwa na kupotosha nao kwa lugha kali kwa kadiri ya kuongozwa na Roho mtakatifu...

Niwieni radhi kwa andiko refu kidogo, lakini imenipasa kutoa maelezo marefu kidogo...

Maneno meeeengi

Jibu swali.... Wewe nani amekuambia serikali ya Tanzania haijatoka kwa Mungu
 
Nimetoa mada "Rais Samia Suluhu Hassan, alama ya mwisho ya anguko la utawala wa siasa za CCM Tanzania"

Wengi hawajanielewa na kusema it's a delusional.

Dunia hii ina historia pevu sana inayoweza kutufundisha na kutujuza tulikotoka. Tunaweza kutumia matukio yaliyopita (historia) ili kutuelekeza yatupasayo kufanya sasa.

Tanzania ni sehemu muhimu ya dunia hii. Haiwezi kujitenga na historia ya dunia ya kale, ya juzi na ya sasa.

CCM ni chama kinachotawala Tanzania tangu Uhuru wa Tanganyika 1961 na tangu muungano wa Tanganyika na Zanzibar mwaka 1964.

Hawa watu wanachojua wao ni hiki kitu kimoja tu kwa sasa.

Kwa kuwa TUNAKULA na KUNYWA na KUSHIBA, nani awezaye kuwa juu yetu?

Kunywa, kula na kushiba hadi kusaza kumeshawalevya. Hawaioni hatari iliyoko mbele yao. Hawauoni mwisho wao unaowatazama kwa macho makali.

Dunia ya kale ya kina Luthu, Nuhu, Nebukadneza, Dario, Alexabder The Great (Roman Empire).

Na the Latest ni dunia ya kina Adolf Hitler, Benito Mussolini, Iddi Amin Dada, Daniel Arap Moi (KANU) Kenya, Kenneth Kaunda (UNIP) Zambia and so forth inaweza kuwapa somo nzuri CCM, watawala wa sasa katika Tanzania yetu.

Kula na kunywa na kushiba na kisha kulewa, kumepumbaza na kuua fikra za ufahamu zao.

Kula na kunywa kunapumbaza kiasi cha kila sauti inayosikika kuwa ni upuuzi.

Hata Roman empire iliyooanguka kwa kishindo kikuu, walikuwa kama ninyi. Walikuwa wakila na kunywa huku mauti ikiwanyemelea kimya kimya.

Hawakujali sauti yoyote ya kukosoa wala ya maonyo kwa sababu walisema, "sauti za chura kwenye dimbwi la maji hazimzuii ng'ombe kunywa maji hayo"

Walikuwa wakila na kunywa na kulewa ,na mwisho wao ulivyowakuta bila taarifa ktk starehe zao.

Hata hivyo, ni bora mwisho huo wa CCM ukaja haraka na mapema. Na huo unakuja!
Mkuu una hekima sana na MUNGU akubariki,ila Bahati mbaya umetoa ushauri kwa mapepo,CCM ni kizazi cha nyoka,Tarajia matusi tu kutoka kwa haya Mataga yaliyolaaniwa na Mungu

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Nimetoa mada "Rais Samia Suluhu Hassan, alama ya mwisho ya anguko la utawala wa siasa za CCM Tanzania"

Wengi hawajanielewa na kusema it's a delusional.

Dunia hii ina historia pevu sana inayoweza kutufundisha na kutujuza tulikotoka. Tunaweza kutumia matukio yaliyopita (historia) ili kutuelekeza yatupasayo kufanya sasa.

Tanzania ni sehemu muhimu ya dunia hii. Haiwezi kujitenga na historia ya dunia ya kale, ya juzi na ya sasa.

CCM ni chama kinachotawala Tanzania tangu Uhuru wa Tanganyika 1961 na tangu muungano wa Tanganyika na Zanzibar mwaka 1964.

Hawa watu wanachojua wao ni hiki kitu kimoja tu kwa sasa.

Kwa kuwa TUNAKULA na KUNYWA na KUSHIBA, nani awezaye kuwa juu yetu?

Kunywa, kula na kushiba hadi kusaza kumeshawalevya. Hawaioni hatari iliyoko mbele yao. Hawauoni mwisho wao unaowatazama kwa macho makali.

Dunia ya kale ya kina Luthu, Nuhu, Nebukadneza, Dario, Alexabder The Great (Roman Empire).

Na the Latest ni dunia ya kina Adolf Hitler, Benito Mussolini, Iddi Amin Dada, Daniel Arap Moi (KANU) Kenya, Kenneth Kaunda (UNIP) Zambia and so forth inaweza kuwapa somo nzuri CCM, watawala wa sasa katika Tanzania yetu.

Kula na kunywa na kushiba na kisha kulewa, kumepumbaza na kuua fikra za ufahamu zao.

Kula na kunywa kunapumbaza kiasi cha kila sauti inayosikika kuwa ni upuuzi.

Hata Roman empire iliyooanguka kwa kishindo kikuu, walikuwa kama ninyi. Walikuwa wakila na kunywa huku mauti ikiwanyemelea kimya kimya.

Hawakujali sauti yoyote ya kukosoa wala ya maonyo kwa sababu walisema, "sauti za chura kwenye dimbwi la maji hazimzuii ng'ombe kunywa maji hayo"

Walikuwa wakila na kunywa na kulewa ,na mwisho wao ulivyowakuta bila taarifa ktk starehe zao.

Hata hivyo, ni bora mwisho huo wa CCM ukaja haraka na mapema. Na huo unakuja!
Matendo ya Mitume 5
29 Petro na mitume wakajibu, wakisema, Imetupasa kumtii Mungu kuliko wanadamu.
 
CCM ndio chama kilichofanikisha mafanikio na maendeleo yote tuliyonayo kiuchumi, kisiasa na hata kijamii

Pamoja na mapungufu yaliyopo CCM imejenga msingi imara sana wa Taifa hili. Imejenga msingi wa umoja, upendo, amani kwa njia ambayo ni ngumu sana kwa nchi nyingine.

Miaka 60 ya uhuru Tanzania hakuna ugomvi wala vita ya wenyewe kwa wenyewe kwenye udini wala ukabila, na wala kwa jinsia; kwa maana hiyo kwa yoyote mwenye nia ya kulisambaratisha taifa letu njia yoyote ni ngumu sana.

Tunapokua tunawakosoa tusisahau kwamba hata huu uwezo wa kukosoa wametujengea wao
Mama D umeingia mtegoni,umeshindwa kutofautisha CCM na Taifa la Tanzania.
 
Mama D umeingia mtegoni,umeshindwa kutofautisha CCM na Taifa la Tanzania.

Mtego gani?

Serikali ya Tanzania ni ya Chama gani cha siasa?

Au unataka tuanze kuhubiri hapa ndio utaelewa☺☺☺
 

Warumi 13: 1-7​

Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu.

Kwa hiyo anayepinga mamlaka inayotawala ana pinga chombo kilichowekwa na Mungu; na watu wanaoasi watajiletea hukumu.

Kwa maana watawala hawatishi watu wanaotenda mema bali wale wanaotenda maovu. Kama hupendi kuishi kwa kumwogopa mwenye mamlaka, basi tenda mema naye atakusifu.

Maana mwenye mamlaka ni mtumishi wa Mungu kwa manufaa yako. Lakini kama ukitenda maovu, basi ogopa kwa maana hatembei na silaha bure. Yeye ni mtumishi wa Mungu anayetekeleza adhabu ya Mungu juu ya watenda maovu.

Kwa hiyo ni lazima kutii wenye mamlaka, si kwa sababu ya kuogopa adhabu tu bali pia kwa ajili ya dhamiri.

Kwa sababu hiyo hiyo mnalipa kodi, kwa maana watawala ni watumishi wa Mungu ambao hutumia muda wao wote kutawala.

Walipeni wote haki zao; mtu wakodi mlipe kodi; na mtoza ushuru mli pe ushuru; astahilie kunyenyekewa, mnyenyekee; astahiliye hesh ima, mheshimu.
Akichukua mke wako, kwa madaraka yake tumwachie, aliwalala watoto wako unamwacha, sababu ni mtumishi wa Mungu. Ninavyojua hilo neno linasehem yake, sii hapa tunahitaji katiba mpya yenye mawazo ya kila mwananchi, kuendelea kutumia katiba hii nikuishi kwa kufuata misingi ya kikoloni bila wakoloni.
 
Akichukua mke wako, kwa madaraka yake tumwachie, aliwalala watoto wako unamwacha, sababu ni mtumishi wa Mungu. Ninavyojua hilo neno linasehem yake, sii hapa tunahitaji katiba mpya yenye mawazo ya kila mwananchi, kuendelea kutumia katiba hii nikuishi kwa kufuata misingi ya kikoloni bila wakoloni.

Akichukua mke wako unamwacha Mungu aseme nae kama alivyosema na Abimeleki kwa Sara MWANZO 20.

Mradi uhakikishe kabla hujamhukumu mwenzio wewe uko safi
 
Duuh, huyaelewi maandiko. Umejipotosha mwenyewe na unataka kupotosha wengine...

Naomba nikurejeshe kwenye mstari, usiendelee kupotea. Nitatumia mfano mmoja ktk Biblia kuelezea hili...

Unamfahamu mtu mmoja anaitwa Daniel..? Stori hii inapatikana katika Biblia > [SOMA: Daniel 6: 1 - 25]

Ni mfano wa mtu boldly mmoja anaitwa Daniel aliyekataa kutii AMRI halali toka kwenye MAMLAKA HALALI YA KISERIKALI YA KIBINADAMU ya mfalme (Rais) Dario wa Umedi na Uajemi iliyotaka kila mtu aabudu sanamu ya dhahabu ya kuchongwa ña yeye mfalme (Rais) badala ya kumwabudu Mungu Yehova wa kweli...

Amri ilisema anayekataa kutii amri hiyo angepata adhabu ya kifo cha kutupwa kwenye shimo la simba wala watu ili aliwe na afe...

Kwa sisi hapa tunaweza kusema angepotezwa, kuteswa, kupigwa risasi ufe kabisa kama Tundu Lissu na adhabu zingine zifananazo na hizo...

SASA TUJIFUNZE NINI KWA MFANO HUU vs HOJA KILA MTU KUTII MAMLAKA HALALI KWA KUWA KILA MAMLAKA IMEWEKWA NA MUNGU...?

å Biblia inaposema "kutii mamlaka halali kwa sababu kila mamlaka yatoka kwa Mungu.." haina maana unayoielewa wewe. Unapotea ndugu yangu. Unamsaidia shetani kutimiza ajenda zake ovu dhidi ya binadamu...!

å Siyo kila mamlaka za kiserikali za kibinadamu zinatoka kwa Mungu. Mamlaka zingine ni totally zinatoka kuzimu kwa shetani zikiwatumia watu wenye miili ya kibinadamu kutawala wanadamu...!

å Biblia inasema "...mtawatambua kwa matendo yao..." na pia Biblia hiyo hiyo inasema ".....hamuwezi kushindwa kuzitambua hila (mikakati) yake..." anayotumia kuwalaghai binadamu ili atimize hila (motives) zake bila binadamu kutambua kama ulivyo wewe ulivyopotoka na kutaka kupotosha wengine...!

å Mathalani, lazima uelewe kuwa Mungu ni wa UWAZI, HAKI na UPENDO...

å Mungu hawezi kuweka serikali madarakani kupitia uchaguzi usio wa HAKI na WAZI unaoambatana na mauaji na kuumiza watu..

å Mtu yeyote atakuwa mjinga na mpumbavu sana kama atatii kila kitu atakiwacho kukifanya na mtawala wa serikali ya namna hii...

å Ni lazima tuwe kama Daniel. Ni lazima tuwe kama Tundu Lissu. Inashangaza na bahati mbaya sana kuwa baadhi ya watu huwa hawamuelewagi Tundu Lissu anapokataa na kuwapinga waziwazi watawala. Kama ilivyokuwa kwa Daniel, ndivyo ilivyotokea na inavyoendelea kutokea kwa watu wengi ktk serikali nyingi za kidunia na hapa Tanzania akiwemo Tundu Lissu kuhukumiwa adhabu ya kifo bila kupitia mahakamani..!

å Biblia inasema "...watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa........." [Hosea: 4:6]. Maarifa yanayosemwa hapa ni NENO LA MUNGU. Yaani kutoisikia na kuilewa SAUTI YA MUNGU. Binadamu kukataa kuongozwa na Mungu ktk maisha yao. Wanaongozwa na tamaa za miili yao, tamaa ya madaraka, tamaa ya mali nk ambayo provider wake ni "ulimwengu..." ambao unatawaliwa na Ibilisi...

Najua utasema au kupinga kuhusu Daniel kwa hoja ya ".....aaah, hiyo ilikuwa ni kuabudu sanamu ambayo hata mimi (wewe) ungekataa...!"

Ukiuliza nitakujibu vizuri tu Kibiblia maana kumbe kweli utakuwa huyajui maandiko ndiyo maana unapotea unnecessarily...!

Karibu


Sio "kama" bali divyo nilivyo ndugu Niza Doyi...!

Yesu Kristo ndiye Bwana na mwokozi wangu. Nitatumia jukwaa hili kusema yaliyo ya Mungu. Nitawakemea, kuwakosoa na kuwaonya watawala na wote wanaopumbazwa na kupotosha nao kwa lugha kali kwa kadiri ya kuongozwa na Roho mtakatifu...

Niwieni radhi kwa andiko refu kidogo, lakini imenipasa kutoa maelezo marefu kidogo...
Shida waganga njaa wana ID hata kumi humu,ukiandika mambo ya maana unashangaa unaanza kupingwa na members,kumbe mtu mmoja mwenye Nia ovu.
Mungu akutie nguvu kuisema kweli Kama unavyoongozwa na Roho mtakatifu wasije sema hawakujua.
 
mkuu bado hoja zako ni za kufikirika sana. Umesema CCM imetawala toka 1961 tulipo pata uhuru ni sawa. Leo ni kama miaka 60 imepita na upinzani bado haujashika hatamu.
hivi inawezekanaje kwa kipindi chote cha miaka 60 upinzani(japo rasmi ulianza1992) bado haujawa na ushawishi wa kutosha mbele ya wananchi? Hapa usizungumzie katiba mpya kwa sababu mageuzi yanaweza kufanyika hata bila katiba mpya cha msingi tu muwe na nguvu ya umma nyuma yenu. Nguvu ya umma haijawahi kushindwa na wala haitaweza kushindwa bila kujali katiba iliyopo inaupungufu ama la.
Ninachojaribu kusema hapa ni kwamba upinzani wa nchi hii bado haujawa na nguvu kubwa kuweza kuungwa mkono na walio wengi.
 

Warumi 13: 1-7​

Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu.

Kwa hiyo anayepinga mamlaka inayotawala ana pinga chombo kilichowekwa na Mungu; na watu wanaoasi watajiletea hukumu.

Kwa maana watawala hawatishi watu wanaotenda mema bali wale wanaotenda maovu. Kama hupendi kuishi kwa kumwogopa mwenye mamlaka, basi tenda mema naye atakusifu.

Maana mwenye mamlaka ni mtumishi wa Mungu kwa manufaa yako. Lakini kama ukitenda maovu, basi ogopa kwa maana hatembei na silaha bure. Yeye ni mtumishi wa Mungu anayetekeleza adhabu ya Mungu juu ya watenda maovu.

Kwa hiyo ni lazima kutii wenye mamlaka, si kwa sababu ya kuogopa adhabu tu bali pia kwa ajili ya dhamiri.

Kwa sababu hiyo hiyo mnalipa kodi, kwa maana watawala ni watumishi wa Mungu ambao hutumia muda wao wote kutawala.

Walipeni wote haki zao; mtu wakodi mlipe kodi; na mtoza ushuru mli pe ushuru; astahilie kunyenyekewa, mnyenyekee; astahiliye hesh ima, mheshimu.
Mkuu tafadhari tuache kutumia isivyo halali maadiko matakatifu kuhalalisha uovu & dhuluma!
 
Mkuu tafadhari tuache kutumia isivyo halali maadiko matakatifu kuhalalisha uovu & dhuluma!

Wewe mwenyewe kwanza unatakiwa utuambie una mamlaka gani ya kuondoa uhalali wa hayo maandiko😅😅😅
 
Wewe mwenyewe kwanza unatakiwa utuambie una mamlaka gani ya kuondoa uhalali wa hayo maandiko😅😅😅
Suala la kuwa halali au kutokuwa halali kwa serikali yoyote iliyoko madarakai hutegemea nama ilivyojiweka au kuwekwa madarakai! Pia katika ilia tuafundishwa kuwa Mungu amempa mwanadamu akili, uhuru na utashi, Hivyo mwansdamu mweyewe ndiye hutenda akiwa amepewa uhuru na Mungu , ila matumizi mabaya ya uhuru huo kama vile wizi wa kura wa kutisha uliofanywa na CCM katika uchaguzi mkuu uliopita ndiyo msingi wa dhambi na ubatili vinapoanzia! Hivyo si sahihi kusema kila kilichopo kimewekwa na Mungu kwasababu tu maandiko matakatifu yamesema hivyo!
 
Suala la kuwa halali au kutokuwa halali kwa serikali yoyote iliyoko madarakai hutegemea nama ilivyojiweka au kuwekwa madarakai! Pia katika ilia tuafundishwa kuwa Mungu amempa mwanadamu akili, uhuru na utashi, Hivyo mwansdamu mweyewe ndiye hutenda akiwa amepewa uhuru na Mungu , ila matumizi mabaya ya uhuru huo kama vile wizi wa kura wa kutisha uliofanywa na CCM katika uchaguzi mkuu uliopita ndiyo msingi wa dhambi na ubatili vinapoanzia! Hivyo si sahihi kusema kila kilichopo kimewekwa na Mungu kwasababu tu maandiko matakatifu yamesema hivyo!

Wenye maoni kama yako walikuako na wapo tangu enzi za mitume

Wenzio wa aina yako walimkataa Mtume Mohamad na Yesu sembuse wewe kumkataa rais Samia Suluhu Hassan na serikali yake
 
Wenye maoni kama yako walikuako na wapo tangu enzi za mitume

Wenzio wa aina yako walimkataa Mtume Mohamad na Yesu sembuse wewe kumkataa rais Samia Suluhu Hassan na serikali yake
Acha kupotosha hoja! Sijamkataa Rais Samia, bali tatizo langu lipo kwenye uhalali wa ushindi uliowezesha CCM kuunda serikali , hapa ndipo msingi wa uhalali au uatili wa serikali!
 
Back
Top Bottom