CCM msipumbazike na kula, kunywa na kushiba hata mkalewa msioone hatari iliyoko mbele yenu

Eeeee BWANA, huo mwisho na uje, Na uje BWANA, Amen
 
Kwa hiyo kulifanyika makosa kupinga serikali ya Idi Amin, Uganda, na ya makaburu wa Africa Kusini? Na vipi serikali za wakoloni waliotutawala, tulifanya makosa kuwatimua?
 
Acha ujinga. Hivi kwa mfano kina Kigwa, Majaliwa nao wamewekwa na Mungu?
 
Acha kupotosha hoja! Sijamkataa Rais Samia, bali tatizo langu lipo kwenye uhalali wa ushindi uliowezesha CCM kuunda serikali , hapa ndipo msingi wa uhalali au uatili wa serikali!

Hivi hamjiulizi Inakuaje mnashindwa kupata suluhu ya mnachokiita tatizo kwa zaidi ya miaka 20 sasa.
Hivi nyie mko sawa kweli!? Sioni kama mnaweza kutatua hata kero moja ya wananchi... Maana naona mnademka na kulialia kama toto tuu
 
Acha ujinga. Hivi kwa mfano kina Kigwa, Majaliwa nao wamewekwa na Mungu?
Kabla sijakujibu jiulize kwanini wewe unastahili sanaaaaa hukuwekwa pale kwa majaliwa 🤣🤣🤣🤣
 
Kwa hiyo kulifanyika makosa kupinga serikali ya Idi Amin, Uganda, na ya makaburu wa Africa Kusini? Na vipi serikali za wakoloni waliotutawala, tulifanya makosa kuwatimua?

Jifunze kanuni za kulinganisha vitu, huwezi kufananisha vitu visivyofanana
 
Hakika hakika!
 
Kabla sijakujibu jiulize kwanini wewe unastahili sanaaaaa hukuwekwa pale kwa majaliwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa sababu shetani aliona sitaweza mtii!!
 
Mungu amewaonjesha kidogo mwezi march
 
Upinzani ulipofeli 2015 tu!! Sjui tena itachukua miongo mingapi
Upinzani haukufeli. Ni dhulma ya kutumia tume na jeshi ndugu yangu ndo mana Mungu aliingilia kati march hii.
 
Tanzania hata kabla ya Uhuru ilikuwa na umoja, hakuna vita. Tusidanganyane. Ccm ndo inachokoza wananchi ili wapigane
 
Upinzani haukufeli. Ni dhulma ya kutumia tume na jeshi ndugu yangu ndo mana Mungu aliingilia kati march hii.
Unawaza kifupi sana mkuu

Unashindwa kabisa kuelewa kwamba hata mtoto mchanga huzaliwa tu na kufariki na au huzaliwa tayari akiwa kesha kufa, sembuse na mtu mzima, ni nani atakayebaki hai milele?

Yule unayesema Mungu aliingilia kati, sio sahihi, bali wakati wake ulifika, na mimi na wewe wakati wetu ukifika, hata tukutwe ndo kwaanza tumeajiliwa na mwezi bado haujafika, tutaondoka tu
 
Unaekezea isivyo. Mungu haweki serikali madarakani bali ameruhusu ziwepo. Serikali dhalimu ni nyingi duniani, huwezi muhusisha Mungu mtakatifu na udhalimu.
Andiko hilo litafakari vizuri.Watawala hupenda kutafsiri hivyo ili waonekane kuwa wamewekwa na Mungu kumbe isivyo.
 
Upinzani haukufeli. Ni dhulma ya kutumia tume na jeshi ndugu yangu ndo mana Mungu aliingilia kati march hii.
Unawaza kifupi sana mkuu

Unashindwa kabisa kuelewa kwamba hata mtoto mchanga huzaliwa tu na kufariki na au huzaliwa tayari akiwa kesha kufa, sembuse na mtu mzima, ni nani atakayebaki hai milele?

Yule unayesema Mungu aliingilia kati, sio sahihi, bali wakati wake ulifika, na mimi na wewe wakati wetu ukifika, hata tukutwe ndo kwaanza tumeajiliwa na mwezi bado haujafika, tutaondoka tu
 
Hakuna hatari YEYOTE....

CCM ni Kama BAHARI.....huwa inapitia vipindi vyote.....

1)"Kuchinjwa" kwa mh.Jakaya Kikwete na hayati Ben Mkapa baada ya lile duru la pili la uchaguzi(vijana wengi tumeisoma tu historia hiyo)....CCM ILIPITA KIPINDI HICHO......

2)Kuchinjwa kwa mmoja wa BOYZ TWO MEN na mwenzake....swahiba yake uchaguzi wa ndani 2015 na mh.Lowassa kuhamishia MAFURIKO CHADEMA.....CCM ilitikisa na IKABAKI SALAMA......

CCM.....CCM.....CCM.....CCM....

Chama hiki BORA barani AFRIKA kamwe hakitakuja kuondolewa MADARAKANI na vichwa vyepesi kama MBOWE ,TUNDU LISSU NA ZITTO KABWE......

Siempre CCM..... Siempreeeeeeee

#VijanaImaraJeuriYaChama
#CCMHoooyeee

#KaziInaendelea
#DieHardFanOfCCM
 
Mungu uwaondoa waovu kwa ajili ya Jina lake.
Kunawatawala wengi waovu waliondolewa kama hivi. Soma vizuri neno lake.
 
Wenye maoni kama yako walikuako na wapo tangu enzi za mitume

Wenzio wa aina yako walimkataa Mtume Mohamad na Yesu sembuse wewe kumkataa rais Samia Suluhu Hassan na serikali yake
Hivi unajua maana ya kumkataa Yesu?
Yesu alitaka awe nani kwa nani? Nani walio mkataa.
Usichanganye mambo usiyo yajua. Eti kumkataa Polepole ni sawa na kumkataa Yesu, kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…