"Msituletee" wewe na nani,mbona mimi nilimpenda?Aina ya uongozi kama ule wa Awamu ya Tano ulikuwa balaa kwa mustakabali wa umoja wa nchi yetu.
Sina haja ya kurudia madhambi mabaya ya Awamu ya Tano maana kila mtu yalimgusa.
Kiini cha hayo matatizo ni kinyang'anyiro cha urais wa 2015 ambapo walijitokeza wagombea zaidi ya 40.
Naona hili linajirudia mbio za Uspika.
CCM waliboronga vibaya mwaka 2015, na matokeo tuliyaona.
Sasa hivi CCM iwe makini na waache umavikundi, mitandao, na "gangs" za kimasilahi binafsi.
Nyerere hakufa akiwa Madarakani.Nyerere alikufa kwa kuwa hakuwa na utumishi uliotukuka?
Dah....atakuwa anaumwa huyu...si bure 🤣🤣🤣🤭Unataka kusema Magufuli alikuwa mbaya?
Kwani wewe mhutu?"Msituletee" wewe na nani,mbona mimi niliipenda?
Typing error mkuu,si unajua smartphoneKwani wewe mhutu?
Mbona unapiga za pembeni pembeni wakati wewe una uhakika wa kile ninachoongea?Umeandika umemalza Lakini bado hatujajua unataka kusema nini. Haya Sema Sasa tatizo lako hasa nini linalokusumbua moyoni mwako. Mana nina uhakika Sio haya mambo y Siasa na marehemu. Ukisema awamu ya tano ndo imetupa mama yetu mpendwa.
Ok Tueleze tukusaidie, kabla hujajinyonga na kuacha chupi golini. Be brave.
Sana.Unataka kusema Magufuli alikuwa mbaya?
Arguments zako za kitoto sana.Usiwe na ufinyu wa mawazo , jadili mada.
Sana. Zaidi ya shetani. Ni heri asingelizaliwa!Unataka kusema Magufuli alikuwa mbaya?
Kwa kumkamata gaidi?Akili yako haina akili . Sukuma GANG mnajitahidi sana kutetea maiti, ila Kwa kweli Magufuli asafishiki.
Samia kashituka kawaachia zigo lenu…
Maiti yako inavuna ubaya kivipi?Hakuna povu mkuu, Tunamponda Magufuli kwa kua ndicho anacho stahili. Maiti amepanda UOVU anavuna UBAYA.
Samia nae atavuna anachopanda haina haraka, Muda utaamua..
Hata mimi nikiwa kiongozi machadema nayapiga risasi tu!Kosa letu ni kua CHADEMA
Eti ni kweli Magufuli aliuawa kwa kuwekewa sumu?Hata mimi nikiwa kiongozi machadema nayapiga risasi tu!
Wapi Ally hapi?Awamu Ile ilijaa watu wa hovyo sana, akina Polepole, Makonda na sabaya
ALiligawa taifa,wapinzani walionekana maadui wakipewa jina la "vibaraka wa mabeberu".Unataka kusema Magufuli alikuwa mbaya?
Sasa wew sijui umeibukia wapi maana aliyetoa hii post ya kusema uingozi usio yotukuka ndo ulimfanya magufuli afariki na wew unaamini hivyo ndo anatolea mfano wa maalimUsiwe na ufinyu wa mawazo , jadili mada.
Tuzisikie sasa, argument zako za kiutu uzima, kama zipo.Arguments zako za kitoto sana.
Unabishqnaje na hilo lidubushwa mkuu si bora ulala zako kwa faida yakoKwahiyo viongoz waliofia madarakani uongozi wao haukutukuka?Akina Samora Machel,Sankara wote hawa uongozi wao ulikua mbaya sana na ndio maana walifia madarakani?
Wee kichwani hauna kitu unaulelwew mdogo sana .Auditing quarrel Huwezi kuwa termed kama wizi mpaka hizo hoja zitakapokosa majibu ya hoja husika hebu tusubiri hii awamu ya huyu mamaNdio zenu, kusingizia watu wengine ni wezi wakati katika awamu ya tano Prof Assad na Kichere walianika uozo hadharani.
Acha porojo kijana lala ukuweListi ni ndefu sana ukianza na Kamanda Mawazo uje kibiti, mateso ya Mheshimiwa LISSU, mauaji ya bin Raheebu wa Saananne.
Kutekwa na kufungwa wana CHADEMA. Kesi ya mchongo aliomwandalia mzee Mbowe, risasi “walizokazwa” wanzanzibari, mauaji ya Azory Gwanda, wasanii na wafanya bishara kutekwa .
Bashite na sabaya wanasema Magufuli aliwatuma kuua ,kutesa kupora mali za watanzania…. Inaendelea..