CCM Mwanza na Mkakati wa Kumpa Makonda Uenyekiti (M) ni Aibu ya Karne

CCM Mwanza na Mkakati wa Kumpa Makonda Uenyekiti (M) ni Aibu ya Karne

Mkongwe Mzoefu

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2018
Posts
861
Reaction score
2,515
Hii ni aibu kubwa. Eti CCM mkoa Mwanza kuna mkakati unafanywa wakisaidiwa na wapambe toka HQ kuhakikisha uchaguzi wa mwenyekiti wa mkoa anakuwa Makonda iwe isiwe kwani eti yuko karibu na mama jambo ambalo sio kweli na mama mwenyekiti taifa hawezi kuagiza mtu kama Makonda mwenye kashfa kibao kama Makonda ampigie debe.

Msichafue chama kwa kuruhusu mkoa mkubwa kama huo kumpa muhuni aongoze.

Malalamiko ya chini chini sio mazuri maana yanaweza tumika katika uchaguzi mkuu
 
Hii ni aibu kubwa. Eti CCM mkoa Mwanza kuna mkakati unafanywa wakisaidiwa na wapambe toka HQ kuhakikisha uchaguzi wa mwenyekiti wa mkoa anakuwa Makonda iwe isiwe kwani eti yuko karibu na mama jambo ambalo sio kweli na mama mwenyekiti taifa hawezi kuagiza mtu kama Makonda mwenye kashfa kibao kama Makonda ampigie debe.

Msichafue chama kwa kuruhusu mkoa mkubwa kama huo kumpa muhuni aongoze.

Malalamiko ya chini chini sio mazuri maana yanaweza tumika katika uchaguzi mkuu
Kwamba yuko karibu naye hilo halina ubishi, ni aibu tupu
 
Hii ni aibu kubwa. Eti CCM mkoa Mwanza kuna mkakati unafanywa wakisaidiwa na wapambe toka HQ kuhakikisha uchaguzi wa mwenyekiti wa mkoa anakuwa Makonda iwe isiwe kwani eti yuko karibu na mama jambo ambalo sio kweli na mama mwenyekiti taifa hawezi kuagiza mtu kama Makonda mwenye kashfa kibao kama Makonda ampigie debe.

Msichafue chama kwa kuruhusu mkoa mkubwa kama huo kumpa muhuni aongoze.

Malalamiko ya chini chini sio mazuri maana yanaweza tumika katika uchaguzi mkuu
Kashfa yenyewe kuwashughulikia wauza madawa ya kulevya? Hiyo ndio wewe unaona kashfa? Utakua ni wale uzandiki na ufisadi kila namna ndio mnaona sawa.
 
Hii ni aibu kubwa. Eti CCM mkoa Mwanza kuna mkakati unafanywa wakisaidiwa na wapambe toka HQ kuhakikisha uchaguzi wa mwenyekiti wa mkoa anakuwa Makonda iwe isiwe kwani eti yuko karibu na mama jambo ambalo sio kweli na mama mwenyekiti taifa hawezi kuagiza mtu kama Makonda mwenye kashfa kibao kama Makonda ampigie debe.

Msichafue chama kwa kuruhusu mkoa mkubwa kama huo kumpa muhuni aongoze.

Malalamiko ya chini chini sio mazuri maana yanaweza tumika katika uchaguzi mkuu

Yaani Makonda hata akigombea uwenyekiti wa dunia kura yake ya ndio,

Ya kwanza inaanza kwangu.

Gonga like kama unampa Makonda uwenyekiti.
 
Kashfa yenyewe kuwashughulikia wauza madawa ya kulevya? Hiyo ndio wewe unaona kashfa? Utakua ni wale uzandiki na ufisadi kila namna ndio mnaona sawa.
Madawa ya kulevya? Hujui kitu wewe ungenyamaza. Yeye ndio alikuwa akiwapa support Kinje na wengine kufanya biashara smoothly. Au ulikuwa hujaja mjini?
 
Chama Twawala kina makundi ya aina yote unayoyajua wewe mjini yaani vibaka, majambazi, wabakaji, waroho wa madaraka, nk. Sasa kwa mukitadha huo, kwanini Muhuni Makonda asipewe uenyekiti wakati Muhuni Herry James ni DC!
 
Back
Top Bottom