Kinana jambazi kama majambazi wengine tu.Yaani wao kila siku Makonda kwa kuwa alizuia mambo yao ya kijinga.Ngoja awe mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza akili ndo itawakaa.Huyo kinana yeye ndio nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinana jambazi kama majambazi wengine tu.Yaani wao kila siku Makonda kwa kuwa alizuia mambo yao ya kijinga.Ngoja awe mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza akili ndo itawakaa.Huyo kinana yeye ndio nani?
InawezekanaYaani Makonda ampindue Dr Dialo?
Majambazi ili waendeleze vikundi vyao vya ujambazi?Makonda anafaa kuwa rais wa nchi hii na waziri mkuu awe Sabaya. Tutaaga umaskini haraka.
Kuwa mwenyekiti wa mkoa ni halali. Naenda kumkampenia
Mtajuana wenyewe huko hukoHii ni aibu kubwa. Eti CCM mkoa Mwanza kuna mkakati unafanywa wakisaidiwa na wapambe toka HQ kuhakikisha uchaguzi wa mwenyekiti wa mkoa anakuwa Makonda iwe isiwe kwani eti yuko karibu na mama jambo ambalo sio kweli na mama mwenyekiti taifa hawezi kuagiza mtu kama Makonda mwenye kashfa kibao kama Makonda ampigie debe.
Msichafue chama kwa kuruhusu mkoa mkubwa kama huo kumpa muhuni aongoze.
Malalamiko ya chini chini sio mazuri maana yanaweza tumika katika uchaguzi mkuu