Ila kuna watu wana chuki na Makonda sana! Lakini Mungu hawazi kama wanadamu! Anaweza kuchaguliwa!Sawa mama Keegan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila kuna watu wana chuki na Makonda sana! Lakini Mungu hawazi kama wanadamu! Anaweza kuchaguliwa!Sawa mama Keegan
Akili ya Makonda iko juu ya akili zao anawazid, low IQ hawatakaa wampende anaewazidiIla kuna watu wana chuki na Makonda sana! Lakini Mungu hawazi kama wanadamu! Anaweza kuchaguliwa!
ole wenu, mwizi huyo mtoto balaa kabisa, aibu tulizopata kupitia huyu mtoto zimetoshaHii ni aibu kubwa. Eti CCM mkoa Mwanza kuna mkakati unafanywa wakisaidiwa na wapambe toka HQ kuhakikisha uchaguzi wa mwenyekiti wa mkoa anakuwa Makonda iwe isiwe kwani eti yuko karibu na mama jambo ambalo sio kweli na mama mwenyekiti taifa hawezi kuagiza mtu kama Makonda mwenye kashfa kibao kama Makonda ampigie debe.
Msichafue chama kwa kuruhusu mkoa mkubwa kama huo kumpa muhuni aongoze.
Malalamiko ya chini chini sio mazuri maana yanaweza tumika katika uchaguzi mkuu
Mama Keagan unateta ulaji wa mumeo kweli kweliTusiongee sana tusubiri mda haudanganyi!
Nimekuwa mama Keagan tena? Hatari hii!Mama Keagan unateta ulaji wa mumeo kweli kweli
Makonda anatakiwa kuwa mahakamaniHii ni aibu kubwa. Eti CCM mkoa Mwanza kuna mkakati unafanywa wakisaidiwa na wapambe toka HQ kuhakikisha uchaguzi wa mwenyekiti wa mkoa anakuwa Makonda iwe isiwe kwani eti yuko karibu na mama jambo ambalo sio kweli na mama mwenyekiti taifa hawezi kuagiza mtu kama Makonda mwenye kashfa kibao kama Makonda ampigie debe.
Msichafue chama kwa kuruhusu mkoa mkubwa kama huo kumpa muhuni aongoze.
Malalamiko ya chini chini sio mazuri maana yanaweza tumika katika uchaguzi mkuu
Sasa yule anakigezo gani?Kwani yeye haruhusiwi kugombea? Kura itaamua na si maneno ya kwenye mitandao, kila mtu ana haki ya kugombea nafasi yoyote katika nchi hii irimradi anakidhi vigezo na utaratibu uliowekwa.
Kama Makonda ana kashifa, nenda Mahakamani. Namshauri Makonda 2025 achukue Jimbo la Nyamagana maana kwa miaka hii 10 ni kama Jimbo halina MbungeHii ni aibu kubwa. Eti CCM mkoa Mwanza kuna mkakati unafanywa wakisaidiwa na wapambe toka HQ kuhakikisha uchaguzi wa mwenyekiti wa mkoa anakuwa Makonda iwe isiwe kwani eti yuko karibu na mama jambo ambalo sio kweli na mama mwenyekiti taifa hawezi kuagiza mtu kama Makonda mwenye kashfa kibao kama Makonda ampigie debe.
Msichafue chama kwa kuruhusu mkoa mkubwa kama huo kumpa muhuni aongoze.
Malalamiko ya chini chini sio mazuri maana yanaweza tumika katika uchaguzi mkuu
Kuwajengea watu misingi mizuri ya kufanya biashara hiyo nayo ni kashfa?Madawa ya kulevya? Hujui kitu wewe ungenyamaza. Yeye ndio alikuwa akiwapa support Kinje na wengine kufanya biashara smoothly. Au ulikuwa hujaja mjini?
Makonda system ya CCM ishamtema tangu enzi za uhai wa babake, kumkumbatia ni kutaka kuzikwa naye kaburi moja la kisiasa.Hii ni aibu kubwa. Eti CCM mkoa Mwanza kuna mkakati unafanywa wakisaidiwa na wapambe toka HQ kuhakikisha uchaguzi wa mwenyekiti wa mkoa anakuwa Makonda iwe isiwe kwani eti yuko karibu na mama jambo ambalo sio kweli na mama mwenyekiti taifa hawezi kuagiza mtu kama Makonda mwenye kashfa kibao kama Makonda ampigie debe.
Msichafue chama kwa kuruhusu mkoa mkubwa kama huo kumpa muhuni aongoze.
Malalamiko ya chini chini sio mazuri maana yanaweza tumika katika uchaguzi mkuu
Wewe ni chadema in blood!Yaani hujui hata unaongelea nini?. Yaani wanaccm wakimkataa Makonda kwa uhuni wake basi wao ni Chadema? Very stupid thinking. Nyie vijana mkoje? Ndio nyie mnasababisha chama kionekane kiko mikononi mwa wajinga kwa vile hamjui hata madhara ya jambo hilo.
Chama kikichukiwa kwenu ni sawa kwa vile mnajuwa dola itatumika katika chaguzi, jee kuna guarantee kuwa ya miaka ya nyuma yatakuwa na nafasi tena?
Madawa ya kulevya? Hujui kitu wewe ungenyamaza. Yeye ndio alikuwa akiwapa support Kinje na wengine kufanya biashara smoothly. Au ulikuwa hujaja mjini?
Aisee! Hiki chama cha mboga mboga hakiishiwi na vituko.
Sasa hapa Cha ajabu ni nini ndani ya ccm? CCM watu wenye makandokando/ matukio ya ajabu ndo wengi wapo kwenye nafasi za juu, au hili halihitaji phd kulifaham , ccm ni chama lakini pia ni chaka la watu wengi jifichia maovu yao HUKO,Hii ni aibu kubwa. Eti CCM mkoa Mwanza kuna mkakati unafanywa wakisaidiwa na wapambe toka HQ kuhakikisha uchaguzi wa mwenyekiti wa mkoa anakuwa Makonda iwe isiwe kwani eti yuko karibu na mama jambo ambalo sio kweli na mama mwenyekiti taifa hawezi kuagiza mtu kama Makonda mwenye kashfa kibao kama Makonda ampigie debe.
Msichafue chama kwa kuruhusu mkoa mkubwa kama huo kumpa muhuni aongoze.
Malalamiko ya chini chini sio mazuri maana yanaweza tumika katika uchaguzi mkuu
Wewe kinachokuuma nini? Makonda atagombea kama wana CCM wengine. Akichaguliwa au akakosa ni demokrasia ndani ya chama. Acha kuweweseka dogo.Hii ni aibu kubwa. Eti CCM mkoa Mwanza kuna mkakati unafanywa wakisaidiwa na wapambe toka HQ kuhakikisha uchaguzi wa mwenyekiti wa mkoa anakuwa Makonda iwe isiwe kwani eti yuko karibu na mama jambo ambalo sio kweli na mama mwenyekiti taifa hawezi kuagiza mtu kama Makonda mwenye kashfa kibao kama Makonda ampigie debe.
Msichafue chama kwa kuruhusu mkoa mkubwa kama huo kumpa muhuni aongoze.
Malalamiko ya chini chini sio mazuri maana yanaweza tumika katika uchaguzi mkuu
Soma uelewe wewe! Misingi mizuri wafanyabiashara ya madawa au hukuelewa?Kuwajengea watu misingi mizuri ya kufanya biashara hiyo nayo ni kashfa?