CCM Mwanza na Mkakati wa Kumpa Makonda Uenyekiti (M) ni Aibu ya Karne

CCM Mwanza na Mkakati wa Kumpa Makonda Uenyekiti (M) ni Aibu ya Karne

Hii ni aibu kubwa. Eti CCM mkoa Mwanza kuna mkakati unafanywa wakisaidiwa na wapambe toka HQ kuhakikisha uchaguzi wa mwenyekiti wa mkoa anakuwa Makonda iwe isiwe kwani eti yuko karibu na mama jambo ambalo sio kweli na mama mwenyekiti taifa hawezi kuagiza mtu kama Makonda mwenye kashfa kibao kama Makonda ampigie debe.

Msichafue chama kwa kuruhusu mkoa mkubwa kama huo kumpa muhuni aongoze.

Malalamiko ya chini chini sio mazuri maana yanaweza tumika katika uchaguzi mkuu
ole wenu, mwizi huyo mtoto balaa kabisa, aibu tulizopata kupitia huyu mtoto zimetosha
 
Mtoa mada na wanaokusapoti mnasumbuliwa na wivu wa kike!

Chuki ya wivu wa kike huwa haiishi Leo wala kesho!

Munataka chuki zenu ziingizwe hadi kwenye katiba, kwamba munayomchukia basi afutiwe hata haki zake zote za kikatiba!

Laiti Kama akili zenu zingekuwa zinafanya kazi bila kupofushwa na wivu wenu wa kike mungelikuwa munaelewa kwamba watu wamepewa karama ya kubadilika kadri upepo unavyobadilika!
Kumbuka alikuwepo Makonda enzi za Jakaya na alikuwepo Makonda mwingine enzi za JPM.

Mwenyekiti wa chama na Mkuu wa Mkoa ni pepo mbili tofauti zinazovuma kwa kasi tofauti na kwa uelekeo tofauti

Uongozi chini ya JPM na uongozi chini ya SSH, Ni pepo mbili tofauti zinazovuma kwa kasi tofauti na kwa uelekeo tofauti.

Kila kiongozi huinama kuelekea upande ambao upepo huelekea kwa wakati huo!
 
Hii ni aibu kubwa. Eti CCM mkoa Mwanza kuna mkakati unafanywa wakisaidiwa na wapambe toka HQ kuhakikisha uchaguzi wa mwenyekiti wa mkoa anakuwa Makonda iwe isiwe kwani eti yuko karibu na mama jambo ambalo sio kweli na mama mwenyekiti taifa hawezi kuagiza mtu kama Makonda mwenye kashfa kibao kama Makonda ampigie debe.

Msichafue chama kwa kuruhusu mkoa mkubwa kama huo kumpa muhuni aongoze.

Malalamiko ya chini chini sio mazuri maana yanaweza tumika katika uchaguzi mkuu
Makonda anatakiwa kuwa mahakamani
 
Kwani yeye haruhusiwi kugombea? Kura itaamua na si maneno ya kwenye mitandao, kila mtu ana haki ya kugombea nafasi yoyote katika nchi hii irimradi anakidhi vigezo na utaratibu uliowekwa.
Sasa yule anakigezo gani?
 
Hii ni aibu kubwa. Eti CCM mkoa Mwanza kuna mkakati unafanywa wakisaidiwa na wapambe toka HQ kuhakikisha uchaguzi wa mwenyekiti wa mkoa anakuwa Makonda iwe isiwe kwani eti yuko karibu na mama jambo ambalo sio kweli na mama mwenyekiti taifa hawezi kuagiza mtu kama Makonda mwenye kashfa kibao kama Makonda ampigie debe.

Msichafue chama kwa kuruhusu mkoa mkubwa kama huo kumpa muhuni aongoze.

Malalamiko ya chini chini sio mazuri maana yanaweza tumika katika uchaguzi mkuu
Kama Makonda ana kashifa, nenda Mahakamani. Namshauri Makonda 2025 achukue Jimbo la Nyamagana maana kwa miaka hii 10 ni kama Jimbo halina Mbunge
 
Hii ni aibu kubwa. Eti CCM mkoa Mwanza kuna mkakati unafanywa wakisaidiwa na wapambe toka HQ kuhakikisha uchaguzi wa mwenyekiti wa mkoa anakuwa Makonda iwe isiwe kwani eti yuko karibu na mama jambo ambalo sio kweli na mama mwenyekiti taifa hawezi kuagiza mtu kama Makonda mwenye kashfa kibao kama Makonda ampigie debe.

Msichafue chama kwa kuruhusu mkoa mkubwa kama huo kumpa muhuni aongoze.

Malalamiko ya chini chini sio mazuri maana yanaweza tumika katika uchaguzi mkuu
Makonda system ya CCM ishamtema tangu enzi za uhai wa babake, kumkumbatia ni kutaka kuzikwa naye kaburi moja la kisiasa.
 
Yaani hujui hata unaongelea nini?. Yaani wanaccm wakimkataa Makonda kwa uhuni wake basi wao ni Chadema? Very stupid thinking. Nyie vijana mkoje? Ndio nyie mnasababisha chama kionekane kiko mikononi mwa wajinga kwa vile hamjui hata madhara ya jambo hilo.
Chama kikichukiwa kwenu ni sawa kwa vile mnajuwa dola itatumika katika chaguzi, jee kuna guarantee kuwa ya miaka ya nyuma yatakuwa na nafasi tena?
Wewe ni chadema in blood!

Kati ya Makonda na Makamba...nani Mwizi zaidi?

Kwa nini kakikundi ka watu kama nyinyi wapumbavu wenye chuki binafsi,waendesha magenge ya uovu mbajiona kama mko sahihi kuwaza kwa niaba ya watanzania milioni sitini?

Taja ubaya wa Makonda na madhara yake,au hasara aliyowahi kuisababishia nchi hii?

Kama huna shut Up Your MOUTH!!!
 
Mh Makonda ana Haki kimsingi kugombea na wanaotaka apite nao wapo sawa tu.Nje ya hapo mniambie ni nani aliye MSAFI NDANI YA CCM??
 
Hii ni aibu kubwa. Eti CCM mkoa Mwanza kuna mkakati unafanywa wakisaidiwa na wapambe toka HQ kuhakikisha uchaguzi wa mwenyekiti wa mkoa anakuwa Makonda iwe isiwe kwani eti yuko karibu na mama jambo ambalo sio kweli na mama mwenyekiti taifa hawezi kuagiza mtu kama Makonda mwenye kashfa kibao kama Makonda ampigie debe.

Msichafue chama kwa kuruhusu mkoa mkubwa kama huo kumpa muhuni aongoze.

Malalamiko ya chini chini sio mazuri maana yanaweza tumika katika uchaguzi mkuu
Sasa hapa Cha ajabu ni nini ndani ya ccm? CCM watu wenye makandokando/ matukio ya ajabu ndo wengi wapo kwenye nafasi za juu, au hili halihitaji phd kulifaham , ccm ni chama lakini pia ni chaka la watu wengi jifichia maovu yao HUKO,
 
Hii ni aibu kubwa. Eti CCM mkoa Mwanza kuna mkakati unafanywa wakisaidiwa na wapambe toka HQ kuhakikisha uchaguzi wa mwenyekiti wa mkoa anakuwa Makonda iwe isiwe kwani eti yuko karibu na mama jambo ambalo sio kweli na mama mwenyekiti taifa hawezi kuagiza mtu kama Makonda mwenye kashfa kibao kama Makonda ampigie debe.

Msichafue chama kwa kuruhusu mkoa mkubwa kama huo kumpa muhuni aongoze.

Malalamiko ya chini chini sio mazuri maana yanaweza tumika katika uchaguzi mkuu
Wewe kinachokuuma nini? Makonda atagombea kama wana CCM wengine. Akichaguliwa au akakosa ni demokrasia ndani ya chama. Acha kuweweseka dogo.
 
Back
Top Bottom