CCM Mwanza na Mkakati wa Kumpa Makonda Uenyekiti (M) ni Aibu ya Karne

CCM Mwanza na Mkakati wa Kumpa Makonda Uenyekiti (M) ni Aibu ya Karne

Hii ni aibu kubwa. Eti CCM mkoa Mwanza kuna mkakati unafanywa wakisaidiwa na wapambe toka HQ kuhakikisha uchaguzi wa mwenyekiti wa mkoa anakuwa Makonda iwe isiwe kwani eti yuko karibu na mama jambo ambalo sio kweli na mama mwenyekiti taifa hawezi kuagiza mtu kama Makonda mwenye kashfa kibao kama Makonda ampigie debe.

Msichafue chama kwa kuruhusu mkoa mkubwa kama huo kumpa muhuni aongoze.

Malalamiko ya chini chini sio mazuri maana yanaweza tumika katika uchaguzi mkuu
tatizo hawataki kukubali kwamba zama za giza za dictator uchwara zimekwisha
 
Chama Twawala kina makundi ya aina yote unayoyajua wewe mjini yaani vibaka, majambazi, wabakaji, waroho wa madaraka, nk. Sasa kwa mukitadha huo, kwanini Muhuni Makonda asipewe uenyekiti wakati Muhuni Herry James ni DC!
alikuwa mshamba tu yule DC sema ukishakuwa na madaraka unatakata
 
Hata zama za fisadi wa msoga zimepita na hazirudi tena, ni bora mkubali tu na muache kuhangaika kuzirudisha. Tunasonga mbele, atakaye kaa njiani tunamsongesha na yeye.
tatizo hawataki kukubali kwamba zama za giza za dictator uchwara zimekwisha
 
Makonda ni Mwanaume lijali katika wanasisiemu wooote walio chini ya kiti cha Mama, Acheni fitna Asee.
 
Hii ni aibu kubwa. Eti CCM mkoa Mwanza kuna mkakati unafanywa wakisaidiwa na wapambe toka HQ kuhakikisha uchaguzi wa mwenyekiti wa mkoa anakuwa Makonda iwe isiwe kwani eti yuko karibu na mama jambo ambalo sio kweli na mama mwenyekiti taifa hawezi kuagiza mtu kama Makonda mwenye kashfa kibao kama Makonda ampigie debe.

Msichafue chama kwa kuruhusu mkoa mkubwa kama huo kumpa muhuni aongoze.

Malalamiko ya chini chini sio mazuri maana yanaweza tumika katika uchaguzi mkuu
Watu wabaya nchini Tanzania hawakuanza tu na Paul Makonda bali wako wengi tu waliomtangulia, ila kwa Unafiki wenu na Chuki zenu hamuwataji.
 
Makonda anafaa kuwa rais wa nchi hii na waziri mkuu awe Sabaya. Tutaaga umaskini haraka.

Kuwa mwenyekiti wa mkoa ni halali. Naenda kumkampenia
Majangili sio ?
Wataenda kukwiba Congo
 
Kashfa yenyewe kuwashughulikia wauza madawa ya kulevya? Hiyo ndio wewe unaona kashfa? Utakua ni wale uzandiki na ufisadi kila namna ndio mnaona sawa.
Kwahiyo taifa la marekan liliona analizibia biashara yake ya madawa ya kulevya likamsingizia jinai kuu ya kukatisha watu uhai???!!!
 
Tunataka vyama vyenye wanachama wenye akili za kawaida (common sense) kwa ajili ya mustakabali mwema wa taifa.
Hoja zijibiwe kwa hoja na pale panapotakiwa kujirekebisha, vitendo vifanyike.
Ushabiki wa kichawa/mbwa hauna faida kwa chama chochote wala taifa kwa ujumla.
Wanaompinga Makonda wajenge hoja na wanaomtetea pia kwa kutumia akili za kibinadamu.
 
Hii ni aibu kubwa. Eti CCM mkoa Mwanza kuna mkakati unafanywa wakisaidiwa na wapambe toka HQ kuhakikisha uchaguzi wa mwenyekiti wa mkoa anakuwa Makonda iwe isiwe kwani eti yuko karibu na mama jambo ambalo sio kweli na mama mwenyekiti taifa hawezi kuagiza mtu kama Makonda mwenye kashfa kibao kama Makonda ampigie debe.

Msichafue chama kwa kuruhusu mkoa mkubwa kama huo kumpa muhuni aongoze.

Malalamiko ya chini chini sio mazuri maana yanaweza tumika katika uchaguzi mkuu
Hizo no ndoto, ambazo Makonda akijaribu, atajua kilichomtoa kanga manyoya
 
Hii ni aibu kubwa. Eti CCM mkoa Mwanza kuna mkakati unafanywa wakisaidiwa na wapambe toka HQ kuhakikisha uchaguzi wa mwenyekiti wa mkoa anakuwa Makonda iwe isiwe kwani eti yuko karibu na mama jambo ambalo sio kweli na mama mwenyekiti taifa hawezi kuagiza mtu kama Makonda mwenye kashfa kibao kama Makonda ampigie debe.

Msichafue chama kwa kuruhusu mkoa mkubwa kama huo kumpa muhuni aongoze.

Malalamiko ya chini chini sio mazuri maana yanaweza tumika katika uchaguzi mkuu
Hakuna kitu kama hiki kwenye serikali ya Mama Samia, Rais na Mwenyekiti wetu hawezi ruhusu huu ujinga
 
Hakuna kitu kama hiki kwenye serikali ya Mama Samia, Rais na Mwenyekiti wetu hawezi ruhusu huu ujinga
Ukweli ni kuwa mama mwenyewe hayuko makini ndani ya chama chake ndio maana chaguzi zote ndani yao zimegubikwa na rushwa ya aibu kabisa

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Hii ni aibu kubwa. Eti CCM mkoa Mwanza kuna mkakati unafanywa wakisaidiwa na wapambe toka HQ kuhakikisha uchaguzi wa mwenyekiti wa mkoa anakuwa Makonda iwe isiwe kwani eti yuko karibu na mama jambo ambalo sio kweli na mama mwenyekiti taifa hawezi kuagiza mtu kama Makonda mwenye kashfa kibao kama Makonda ampigie debe.
Aibu kwa mkoa wa mwanza!
Aibu kwa ccm taifa!
Mkuu Kinana, huyu mwehu ana baraka zenu?
 
Aibu kwa mkoa wa mwanza!
Aibu kwa ccm taifa!
Mkuu Kinana, huyu mwehu ana baraka zenu?
Wewe mpumbavu acha chuki zako,Huyo Kinana unayemlilia hapa si anakashifa kibao za ujangiri kwa wanyama wetu? Wabongo mna roho mbaya sana ya uchawi na ukabila wa hali ya juu.
 
Back
Top Bottom