Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Duru za siri zinaonyesha mkuu wa mkoa msitaafu bwana Paul Makonda anaenda kuwa mwenyekiti wa ccm wa mkoa wa Mwanza kwa kumtoa mwenyekiti wa sasa asiye na faida yoyote bwana Anthony Diallo.
Bwana Diallo alikera wengi alipotoka hadharani na kukosoa utawala wa hayati Magufuli, hivyo wadau wengi wanamuona ni kigeugeu atakayekuja kuponda pia utawala wa rais Samia hivyo lazima ang'olewe mapema.
Kwamba ukikosoa tu cheo huna? Sasa ni siasa gani hizo?
Mama mwenyewe anasemaje?