CCM Mwanza na Mkakati wa Kumpa Makonda Uenyekiti (M) ni Aibu ya Karne

Mtajuana wenyewe huko huko
 
Sasa kama mumempa nafasi Kwa ngazi ya kitaifa sembuse kamkoa?

Hapo Kuna mtu alidanganya kwamba akipewa nafasi italeta kura za Kanda ya Ziwa Kwa sababu ni Mganga wa Jiwe 😁😁

Mwanasiasa sio mwenzako Yuko radhi kutumia mbinu yeyote aendelee kuwepo madarakani,ndio maana hlniliachaga kupiga kura
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…