Gentleman,
it's very simple to interpret that,
ukiona frame za maduka hadi kwenye makazi ya watu, lakini pia ukiona
magulio na minada kila mahali nchini na katika kila mji na kijiji Tanzanian,
Fahamu na kuelewa kwamba hicho ni kielelezo cha hakika, kwamba biashara imekua nchini, na ni uthibitisho kwamba nchi imefunguka kiuchumi, fursa na ajira katika biashara imeongezeka mara dufu, na hivyo uchumi wa nchi unakua, huku kichocheo kikuu ikiwa ni mazingira bora na usalama wa uhakika.
na kwasasabu hiyo hali ya maisha na vipato vya waTanzania inakua bora zaid 🐒