feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 7,683
- 15,128
Kama pale Rangi 3 dah nchi imejaa wachuuzi kinoma kudanganya kua kuna nafuu ya maisha wakati miaka na miaka mtu yule yule ana biashara ile ile mtajo ule ule maisha yale yale na yanazidi kudidimia. Imagine mtu anafanya biashara kwa miaka 10 ila siku moja akilala nyumbani basi chungu hakiwekwi jikoni.