eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Mtu anakwambia et sasa hivi kuna uhuru wa kukosoa, huo uhuru upo huku mitandaoni tu tusiojulikana.
ha ha haa
Huku JF dunia ya mazombi tunajibizana kwa uhuru bila hata ya kujali kuwa huyu ni baba/mama mkwe wako au baba/mama mzazi wako. Awe bosi wako au nani mnajibizana tu.