misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Hana haki ya kusema chochote wakati huu kisa alikuwa kipindi cha JPM?Mbona kipindi Cha magufuli hakusema hayo na wakati watu walikua wanamsifia magu wakati na yeye pia alikua anatumia Kodi zetu .
Angekaa kimya tu nadhani kajiharibia zaidi aisee