Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo maana nimeseandika kuwa kosa halisahihishwi kwa kurudia kosa.Kwani wakati wa JPM fedha zilikuwa zinatoka wapi, mbona wao wakimsifu sana tu na baadhi hata walifika kumwita Mungu (Astaghfirullah). Na Ndugai aliyoyafanya ya kuapisha wabunge gereji ndiyo demokrasia au nini?
Bora angenyamaza tu akaacha angalau miaka michache ipite kwanza na watu wamesahau.
Tatizo la CCM huwezi kuwatetea kimantiki.
Even when they do right, they do right wrongly!
Huyo Ndugai alijiuzulu mwenyewe. Spika wa Bunge ni kiongozi wa muhimili unaojitegemea. Angesimamia anachoona sawa tu, sasa kajiuzulu mwenyewe, au hata kama kashinikizwa, hakutakiwa kujiuzulu kama hajataka.
Hakuna popote katika katiba ya Tanzania ambapo rais anaweza kumuondoa Spika.
Marekani Federal Prosecutor/ US Attorney tu, Preet Bharara, alipigwa mkwala na rais Donald Trump (rais ndiye ana appoint, like Bharara aliteuliwa na Obama). Trump alimwambia Bharara ajiuzulu. Bharara akakataa kujiuzulu, akamwambia Trump ni lazima unifukuze kazi wewe mwenyewe dunia nzima ione umenifukuza kazi, lakini sijiuzulu ng'o, kwa kuwa sina sababu ya kujiuzulu.
Sasa huyo Ndugai kwa nini kakubali kujiuzulu kama aliona ana hoja ya msingi? Yeye kama kiongozi wa bunge kazi yake si kuisimamia serikali? Sasa kwa nini alijiuzulu baada ya kuisimamia serikali kama majukumu ya kazi yake yanavyosema?
Huyo Bashiru katika hoja zote za msingi za madudu yanayofanywa na serikali hii, yeye na usomi wake wote kaona kitu subjective kama watu kushadadia "mama kaupiga mwingi" ndiyo kitu cha msingi? Is this the best criticism he could come up with?
UCHAWA ndani ya NCHI UMEVUNJA REKODI Huyo KATIBU MKUU UVCCM ameamua KUJIPENDEKEZA kwa Mwenyekiti ili ASIONDOLEWE kwenye hiyo NAFASI kwani Uchaguzi upo karibu wa UVCCM TAIFASijafurahishwa na mfululizo wa kejeli, matusi na majibu dhidi ya Dr. Bashiru mara baada ya yeye kutumia Uhuru wa kikatiba wa kujieleza.
Nafahamu akiwa "mtoto pendwa" awamu ya 5 Dr. Bashiru aliwahi kunena maneno ya makufuru dhidi wa watanzania kwamba "ccm itatumia hata vyombo vya dola ili kusalia madarakani".
Pamoja na makosa yake aliyoyafanya awamu ya 5 hapaswi kuhukumiwa kimakosa. Yatupasa kusahihisha kosa kwa kutenda haki ili ajifunze.
CCM siyo marafiki wa demokrasia. Bado tuna kumbukumbu kuwa Ndugai hadi leo hii anaishi kama digidigi kwasabb tu aliikosoa serikali ya awamu ya 6 kwa kukopa Sana. Na sasa Dr. Bashiru anasakamwa Sana kwa kukosoa wananchi na viongozi wanaosifia na kumshukuru mama kwa kazi/huduma zitolewazo na serikali yake.
Kwa mujibu wa Dr. Bashiru huduma ama kazi hizi zinafanywa kwa kodi zetu hivyo ni haki yetu. Hatupaswi kusema "mama anaupiga mwingi" ama "asante mama". Kosa la Dr. Bashiru hapa ni lipi?
Naye aliwananga waliokuwa wanamkosoa JPMSijafurahishwa na mfululizo wa kejeli, matusi na majibu dhidi ya Dr. Bashiru mara baada ya yeye kutumia Uhuru wa kikatiba wa kujieleza.
Nafahamu akiwa "mtoto pendwa" awamu ya 5 Dr. Bashiru aliwahi kunena maneno ya makufuru dhidi wa watanzania kwamba "ccm itatumia hata vyombo vya dola ili kusalia madarakani".
Pamoja na makosa yake aliyoyafanya awamu ya 5 hapaswi kuhukumiwa kimakosa. Yatupasa kusahihisha kosa kwa kutenda haki ili ajifunze.
CCM siyo marafiki wa demokrasia. Bado tuna kumbukumbu kuwa Ndugai hadi leo hii anaishi kama digidigi kwasabb tu aliikosoa serikali ya awamu ya 6 kwa kukopa Sana. Na sasa Dr. Bashiru anasakamwa Sana kwa kukosoa wananchi na viongozi wanaosifia na kumshukuru mama kwa kazi/huduma zitolewazo na serikali yake.
Kwa mujibu wa Dr. Bashiru huduma ama kazi hizi zinafanywa kwa kodi zetu hivyo ni haki yetu. Hatupaswi kusema "mama anaupiga mwingi" ama "asante mama". Kosa la Dr. Bashiru hapa ni lipi?
Katiba yetu ya sasa imemfanya Rais na mwenyekiti wa CCM kuwa na nguvu chini kidogo ya mungu, wengine wanauita Urais wa kifalme.
Ndugai angefutwa uanachama na chama chake angepoteza kila kitu, kuanzia ubunge hadi uspika wenyewe, huenda pia kufukuzwa huko kungemkosesha hata mafao na matunzo mengine ya wastaafu.
hapana cha kosa hapo leo akiteuliwa nafasi fulani atayasahau yote na kuanza kuimba sifa kama wenzake.Ndiyo maana nimeseandika kuwa kosa halisahihishwi kwa kurudia kosa.
Magu unamlinganisha na huyu mama yetu wakambo?Mbona kipindi Cha magufuli hakusema hayo na wakati watu walikua wanamsifia magu wakati na yeye pia alikua anatumia Kodi zetu .
Angekaa kimya tu nadhani kajiharibia zaidi aisee
Imagine unatumia jukwaa la wakulima kuleta nongwa na fitina ,Ni Bora angetumia jukwaa la siasaSijafurahishwa na mfululizo wa kejeli, matusi na majibu dhidi ya Dr. Bashiru mara baada ya yeye kutumia Uhuru wa kikatiba wa kujieleza.
Nafahamu akiwa "mtoto pendwa" awamu ya 5 Dr. Bashiru aliwahi kunena maneno ya makufuru dhidi wa watanzania kwamba "ccm itatumia hata vyombo vya dola ili kusalia madarakani".
Pamoja na makosa yake aliyoyafanya awamu ya 5 hapaswi kuhukumiwa kimakosa. Yatupasa kusahihisha kosa kwa kutenda haki ili ajifunze.
CCM siyo marafiki wa demokrasia. Bado tuna kumbukumbu kuwa Ndugai hadi leo hii anaishi kama digidigi kwasabb tu aliikosoa serikali ya awamu ya 6 kwa kukopa Sana. Na sasa Dr. Bashiru anasakamwa Sana kwa kukosoa wananchi na viongozi wanaosifia na kumshukuru mama kwa kazi/huduma zitolewazo na serikali yake.
Kwa mujibu wa Dr. Bashiru huduma ama kazi hizi zinafanywa kwa kodi zetu hivyo ni haki yetu. Hatupaswi kusema "mama anaupiga mwingi" ama "asante mama". Kosa la Dr. Bashiru hapa ni lipi?
Sasa kwa nini hakumuacha huyo Mwenyekiti wa CCM na kundi lake wamfute uanachama tuone kafutwa uanachama wakati anasimamia upande wake?
Ina maana aliogopa kusimamia upande wake kuliko alivyoogopa kupoteza ubunge?
Wewe unaona hii ni point ya maana hapa?
Wewe mwananchi unayemtegemea Spika na mbunge akutetee kwa kusimamia principle na wewe unatoa hii sababu ya kuogopa kupoteza ubunge kama sababu muhimu?
Ndipo Watanzania walipofika hapa kiujumla au ni wewe tu?
Unaweza usisikie ila haina maana kwamba uhalifu wa kutekena hakuna, kama kipindi hiki panya road wameibuka tena kwa kasi wanapiga watu mapanga na hadi kuuwa ndio itakuwa huo uhalifu wa kutekana? Itakuwa akili mbovu kuaminishana kwamba kabla ya Magufuli kulikuwa hakuna uhalifu wa kutekwa watu.Sasa hivi husikii tena mtu katekwa
Zidumu fikra za Mwenyekiti? Au twende na KATIBA MPYA
Kwahiyo utawala huu nao hautaki kukosolewa?Dr Bashiru anyamaze kabisa. Alitumika kuumiza watu
Tuna watu wenye kupigia kelele demokrasia ila wao wenyewe hawaamini katika demokrasia, ulichoeleza hapo ni mfano mmoja wapo.Hii nchi ina mambo ya ajabu sana, mentality zetu wengi ni za kibinafsi sana, tunaojiona malaika tusiokosea ambao tuko sharp kuwanyooshea vidole wengine.
Nimeshangaa mpaka Fatma Karume nae twitter anamponda Bashiru, anatoa kisingizio cha Bashiru kupewa ubunge na Samia kama ndio alitakiwa kufunga mdomo, a very stupid reasoning.
Huyu mwanamke anayejinadi kuijua demokrasia siku zote, leo anasimama upande wa kidikteta kumfunga Bashiru mdomo kisa alipewa ubunge na Samia?!
Taifa letu linaendeshwa kimahaba sana, na kibinafsi; hakuna wakumuamini wengi wapo kimaslahi zaidi, na maslahi yenyewe yanatofautiana kuanzia kiuchumi, mpaka kwenye mahaba ya vyama yaliyopitiliza, urafiki nk.
Tena wapo wengi sana, bahati mbaya wengine hawajijui.Tuna watu wenye kupigia kelele demokrasia ila wao wenyewe hawaamini katika demokrasia, uluchoeleza hapo ni mfano mmoja wapo.
Wanakosoana wapi mkuu wakati unaona kabisa ukikosoa wanakujia juu hakuna uvumilivu wa kukosoana, hapo wanataka aadhibiwe kisa kakosoa halafu wewe unasema wanakosoana!Uzuri wanakosoana ila hawatekani tofauti kabisa na awamu iliyo pita