CCM nambari wani

ccm itaendelea kuwa ccm .chadema itaendelea kuwa chadema.
Simba ataendelea kuwa simba.nyani ataendelea kuwa nyani.
Tembo hatakama akikonda vipi hawezi kuwa kama mbuzi.
Na mbuzi hata kama akinenepa vipi hawezi kuwa kama tembo.

una maana gani mkuu , fafanua kidogo aisee .
 

Vijana wa nchi wajinga sana...yani umekaa unasubiri CCM ikupe maisha bora..!! We badala upambane mambo yako yawe safi unasubiri wanasiasa wakutengenezee njia..ivi unadhani vyama vya siasa vitakupa neema kwemye dhiki zako? Poleeee....
 
Vijana wa nchi wajinga sana...yani umekaa unasubiri CCM ikupe maisha bora..!! We badala upambane mambo yako yawe safi unasubiri wanasiasa wakutengenezee njia..ivi unadhani vyama vya siasa vitakupa neema kwemye dhiki zako? Poleeee....

sasa kuwafanya hivyo wananchi ndio halali ? hoNGERA SANA , NAKUPONGEZA MAANA WEWE NI PEKEE KUTOKA KUNDI LA WANAOLIPWA ELFU 7 KUTIA PUA KWENYE UZI HUU ! UNA ROHO NGUMU SANA !
 
mtu kuipenda CCM kunashida gani? mjifunze
Kuheshimu mawazo ya wengine au mnaogopa kuukubali ukweli 2015 sisi wapiga kura tutachagua CCM
 
Thread of the Year aiseee, nimeikosa quote nzima purposesly

Labda wewe Mama ako ndio CCm, ninae mama angu yuko kule kijijin kwetu,Namthamin sana,.kuhusu kusoma pia labda wewe umesomeshwa na ccm,.Mimi na wenzangu wengi hatuja someshwa na ccm nakataa kabisa hilo.Nakumbuka baba Mama wakati wanatuangaikia kuhakikisha tunakwenda shule,kupata matibabu nk, .Leo upost uongo eti tumelelewa na ccm,.kama huna point kaa kimya
 

Nambari wani Kwa Ufisadi Ulio Tukuka
 
Najuta kwanini nilikuwa nauupuuza uzi huu nikijua utakuwa unahusiana na propaganda za chama chakavu, kumbe kuna madini ya hatari namna hii.....hatari sana aiseee.......

Nilikuwa na hasira na ccm asilimia tisini, sasa zimeongezeka asilimia tisa, mean 99% Maccm kaa mbali na mimi nisije nikavuna kesi isiyo na maana yoyote kwangu....I warn you!!!!!!

Mkuu tpaul barikiwa sana Kamanda Uzi wako ukisambaa vijiji viwili tu hapa Tz nakuhakikishia maccm hayatapata hata viti viwili vya uenyekiti wa mtaa achia mbali Kitongoji.

BACK TANGANYIKA
 
Last edited by a moderator:

nadhani ilipoenda siyo penyewe , nadhani ilimlenga Agogwe
 
mtu kuipenda CCM kunashida gani? mjifunze
Kuheshimu mawazo ya wengine au mnaogopa kuukubali ukweli 2015 sisi wapiga kura tutachagua CCM

hebu mhurumie yule mama anayechota maji machafu tena kwenye korongo refu namna ile .
 
hebu mhurumie yule mama anayechota maji machafu tena kwenye korongo refu namna ile .

Yupi huyo? Labda mama yako manake amekusomesha kwa gharama kubwa lakini hakuna anachofaidi kutoka kwako zaidi ya kupiga porojo humu jf...tumia fursa hakuna mwanasiasa atakaye kuletea utajiri kijana..Comprende?
 

HA! HA! HA! MAGAMBa YAMEBANDULIWA HUMU HATARIII !!!
 
Last edited by a moderator:
Yupi huyo? Labda mama yako manake amekusomesha kwa gharama kubwa lakini hakuna anachofaidi kutoka kwako zaidi ya kupiga porojo humu jf...tumia fursa hakuna mwanasiasa atakaye kuletea utajiri kijana..Comprende?
HAKIKA JF NI KAMA KIMBUNGA ! inakusanya hata makaburi ,
KWAMBA HAWA WAMAMA wote WANAOTESEKA NA MAJI NCHI NZIMA WAMETELEKEZWA NA WATOTO WAO ! EEE BHANA EEE WE MKALI .
 
HAKIKA JF NI KAMA KIMBUNGA ! inakusanya hata makaburi ,
KWAMBA HAWA WAMAMA wote WANAOTESEKA NA MAJI NCHI NZIMA WAMETELEKEZWA NA WATOTO WAO ! EEE BHANA EEE WE MKALI .

Mnafanya siasa za sanaa
 
HAKIKA JF NI KAMA KIMBUNGA ! inakusanya hata makaburi ,
KWAMBA HAWA WAMAMA wote WANAOTESEKA NA MAJI NCHI NZIMA WAMETELEKEZWA NA WATOTO WAO ! EEE BHANA EEE WE MKALI .

Chutama mkuu umeibiwa taulo na "Kichaa" achana naye hao mataahira ya vibarazani yanayoishi kwa kitegemea mifupa iliyibaki mezani kwa kina nape yasikusubue Kamanda

BACK TANGANYIKA
 
Chutama mkuu umeibiwa taulo na "Kichaa" achana naye hao mataahira ya vibarazani yanayoishi kwa kitegemea mifupa iliyibaki mezani kwa kina nape yasikusubue Kamanda

BACK TANGANYIKA

hawa vijana njaa imewapofua macho kabisa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…