Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zoezi la Uhakiki wa Vyama vya Siasa Kuanza Kesho Agosti 30 2021 source : ORPP Website
Hahahaha...Tuanze kwanza kuripoti utafunaji wa ruzuku unaofanywa kuleChama kongwe chama dola kimekosa kuwa na makada na viongozi wenye ushawishi pia ikumbukwe chama cha siasa kisicho na ushawishi basi kimeingia ganzi ya kufanya siasa.
Hivyo msajili wa vyama vya siasa nchini afanye wepesi kukitembelea chama hiki kilichofika ukomo wa kuwa chama cha siasa na kuchukua hatua stahiki kukiondoa ktk rejista ya kutambulika kama ni chama cha siasa Tanzania.
ipo siku tu ,.....lakin hili chama litatoka madarakani ....ni swala la muda
Vyama vya upinzani ni vidogo, lakini vimejaa viongozi wahuni, madikteta na wapenda madaraka. kwa maana hiyo bora CCM mara mia
Ipo ikiwa na hali gani kwa sasa!Kwa nafasi yake Magufuli alikiheshimisha Chama cha Mapinduzi lakini hiyo haina maana wengine hawakufanya kitu. Hii ndio inatoa picha ya umuhimu wa kuachiana kijiti unavyoonekana, inasaidia chama kupata mawazo mapya.
Ndugu Samia pia akimaliza kwa mazuri yake na mwenzake atayaendeleza.
.
CCM haikuwa Magufuli na wala sasa sio Samia ndio maana umeona licha ya Magufuli kutokuwepo CCM bado ipo
Tatizo hatuna chama mubadala, vyama vya upinzani vilivyopo ni vya kuhuni tu. Chama kipya kinatakiwa kwa sasa kuichachafya CCM na ikiwezekana kiongoze nchi.ipo siku tu ,.....lakin hili chama litatoka madarakani ....ni swala la muda
Udikteka ni kutumia mabavu au amri tu bila kujali anayeitoa amri ni shehe, askofu au Rais. Tumezoea kuona udikteta kwenye siasa kwa sababu siasa ni jumla ya maisha ya watuHuwezi kuwa dikteta kama wewe sio Rais, Waziri mkuu au Mfalme wa nchi
Siyo tu kua hawana ushawishi, hata Weredi hawana