Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Chama cha wakulima na wafanyakazi.
Jembe-Wakulima
Nyundo-Wafanyakazi.
Nasikitika kuona chama kimeporwa kutoka kwa wakulima na wafanyakazi sasa ni cha wabunge, wasaliti kutoka upinzani wanaotafuta teuzi na wafanyabiashara wanaokwepa kodi kwa mgongo wa chama.
UVCCM wakemee hilo.
Yaani kiLa siku mnajuaga mtu akiwaambia ukweli ni CHADEMA,ACT nk,Kuna watu hawana mrengo wowote wa kisiasa ila wanapinga wezi wa Mali za umma yaani CCMchama cha mwenyekiti mmoja
Ni kweli, na miaka yote ya kutawala bado tunahangaika na matundu ya vyoo kwenye shule!- Wanasema "NUMBERS DONT LIE": Katika list ya mwisho ya MAY 2020, wazi ikionyesha chama cha 10 duniani zenye wanachama kati ya mil 5 mpaka 50: lakini ikiwa ya 12 kwa jumla ya vyama vyote duniani
- CCM inapoendelea na sera zake nzuri za maendeleo, kujitegemea (Self reliance) pamoja na amani ya nchi tutegemee kukiona mbali zaidi katika siasa za dunia
View attachment 1930194
Ni Chama Chenye Wingi wa Wanasiasa Malaya Malaya by JK Nyerere 1967. Wenye tamaa ya Fedha na si kutoa huduma Kwa wananchi.Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Chama cha wakulima na wafanyakazi.
Jembe-Wakulima
Nyundo-Wafanyakazi.
Nasikitika kuona chama kimeporwa kutoka kwa wakulima na wafanyakazi sasa ni cha wabunge, wasaliti kutoka upinzani wanaotafuta teuzi na wafanyabiashara wanaokwepa kodi kwa mgongo wa chama.
UVCCM wakemee hilo.
Ukimfumania mke wako utasema ni sawa kwa sababu na wa jirani alifumaniwa?
Ninyi mkiona tu bendera ya Chama kile pendwa mnajawa na hofu. Pili kwanini mnaogopa Katiba Mpya??hicho chenu chenye mvuto kiko wap kwenye orodha mkuu?
Baada ya kushindwa kupenyeza fitna kwake sasa mmeamua kutumia Dola kubambikia kesi. Nayo mtashindwa.chama cha mwenyekiti mmoja
Tafuta hotuba ya Mwl. Nyerere ya tar 22/07/1967.daaah wapi alisema huo msemo ndugu ama unamaanisha ruzuku za chama znakua za mtu binafsi?
Ni kipi hichochama cha mwenyekiti mmoja
Akili yangu nyembamba haijui mafumbochama chetu kile pendwa chenye mpesa pemben mkuu