Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je vyama vingine navyo vina tume zao za uchaguzi na polisi wao?- Wanasema "NUMBERS DONT LIE": Katika list ya mwisho ya MAY 2020, wazi ikionyesha chama cha 10 duniani zenye wanachama kati ya mil 5 mpaka 50: lakini ikiwa ya 12 kwa jumla ya vyama vyote duniani
List of largest political parties - Wikipedia
en.wikipedia.org
- CCM inapoendelea na sera zake nzuri za maendeleo, kujitegemea (Self reliance) pamoja na amani ya nchi tutegemee kukiona mbali zaidi katika siasa za dunia
View attachment 1930194
UTAFITI: Ubora wa vyama vya siasa Duniani, CCM ya Tanzania yapata nafasi ya 43 kati ya 210
KUNA RESEARCH IMEHUSISHA VYAMA VINAVYOTAWALA DUNIANI NA KUVI-RANK, KUHUSU VYAMA TAWALA Katika vyama hivyo CCM ya tanzania imehusishwa pia katika reseach, maeneo ya research yamehusisha yafuatayo 1. utaratibu wa kuwapata viongozi ndani ya chama 2. kubadirika kulingana na mazingira na vizazi 3...www.jamiiforums.com
- Wanasema "NUMBERS DONT LIE": Katika list ya mwisho ya MAY 2020, wazi ikionyesha chama cha 10 duniani zenye wanachama kati ya mil 5 mpaka 50: lakini ikiwa ya 12 kwa jumla ya vyama vyote duniani
List of largest political parties - Wikipedia
en.wikipedia.org
- CCM inapoendelea na sera zake nzuri za maendeleo, kujitegemea (Self reliance) pamoja na amani ya nchi tutegemee kukiona mbali zaidi katika siasa za dunia
View attachment 1930194
UTAFITI: Ubora wa vyama vya siasa Duniani, CCM ya Tanzania yapata nafasi ya 43 kati ya 210
KUNA RESEARCH IMEHUSISHA VYAMA VINAVYOTAWALA DUNIANI NA KUVI-RANK, KUHUSU VYAMA TAWALA Katika vyama hivyo CCM ya tanzania imehusishwa pia katika reseach, maeneo ya research yamehusisha yafuatayo 1. utaratibu wa kuwapata viongozi ndani ya chama 2. kubadirika kulingana na mazingira na vizazi 3...www.jamiiforums.com
Unasema number dont lie wakati kila siku na kila shirika la haki linajua CCM inaiba kura waziwazi na kudanganya. Yaani ni kujiaibisha sana kuongelea hili maana watu sio wajinga hivyo. Unasema China 😂. Wakati tunajua hata demokrasia haipo sasa chama cha nini😂😂 yaani tuna vizazi zero