CCM ni kati ya vyama vikubwa duniani (nyuma ya India, China, Pakistan na Uturuki)

Je vyama vingine navyo vina tume zao za uchaguzi na polisi wao?
 

Unasema number dont lie wakati kila siku na kila shirika la haki linajua CCM inaiba kura waziwazi na kudanganya. Yaani ni kujiaibisha sana kuongelea hili maana watu sio wajinga hivyo. Unasema China ๐Ÿ˜‚. Wakati tunajua hata demokrasia haipo sasa chama cha nini๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ yaani tuna vizazi zero
 

umekula?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ