kwahiyo chadema wanajipanga kutegua mitego ya hila sio? na wana wabunge 20 tu?π€£Mitego ya hila kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa Tanzania mwezi November ya anikwa.
02 October 2024
Ubungo, Dar es Salaam
Tundu Lissu - Mwongozo wa waziri wa TAMISEMI kuhusu uchaguzi wa November 2024 umejaa hila, mitego na kujaribu kuengua wagombea wasio wa chama dola kongwe CCM
View: https://m.youtube.com/watch?v=XcHGSsTsInE
View: https://m.youtube.com/watch?v=XcHGSsTsInE
vipi maandalizi ya uchaguzi wa ndani wa chadema kwa nafasi za uongozi wa juu, ratiba bado haijatoka?CCM inavohangaika kubaki madarakani utadhani inafanya la maana. Kumbe inataka kuongeza Deni la nje kutoka trilioni 99 mpaka Trilioni 110.
wazee ni hazina ya Taifa,We Makamba kaa kimya, wewe ni mmoja wa wazee wa hovyo kuwahi kutokea hamtaki uchaguzi huru na haki na uchaguzi kusimamiwa kinyume cha sheria na waziri wa serikali ya CCM.
Badala ya kutaka uhuru mnafurahia jinsi mlivyofanya sarakasi zenu mahakamani kuzuia uchaguzi huru ili kada wenu asimamie uchaguzi kinyume cha sheria.
Halafu unaleta mipasho jukwaani humu, katika wazee wa hovyo kuwahi kutokea nchini wewe na mwenzio Wassira wapotoshaji wa haki wakubwa, mlaaniwe na vizazi vyenu
Mzee mwenye hekima ni Nyerere aliyeweza kukemea maovu ya chama chake kinapofanya makosa. Afadhali Warioba ana msimamo wa kulitetea taifa dhidi ya ujaramia wa CCM, lakini nyie corrupted mnatetea CCM tu ili maovu yenu yalindwe.wazee ni hazina ya Taifa,
Tafadhali sana heshimu wazee hawa muhimu na wazazi wa waTanzani ambao wametoa mchango mkubwa sana kwa ustawi wa uongozi wa kisiasa kwa Taifa letu π