Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
- Thread starter
- #61
Mitego ya hila kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa Tanzania mwezi November ya anikwa.
02 October 2024
Ubungo, Dar es Salaam
Tundu Lissu - Mwongozo wa waziri wa TAMISEMI kuhusu uchaguzi wa November 2024 umejaa hila, mitego na kujaribu kuengua wagombea wasio wa chama dola kongwe CCM
View: https://m.youtube.com/watch?v=XcHGSsTsInE
View: https://m.youtube.com/watch?v=XcHGSsTsInE
kwahiyo chadema wanajipanga kutegua mitego ya hila sio? na wana wabunge 20 tu?🤣
kuongozwa na hisia ni ushirikiana tu kama ushirikiana mwingine 🐒