CCM sasa tunaelewana, Chongolo amekubali mkataba DP World ulikuwa na makosa! Sasa tusonge mbele!

CCM sasa tunaelewana, Chongolo amekubali mkataba DP World ulikuwa na makosa! Sasa tusonge mbele!

Baada ya kuonywa mara nyingi na wadau, sasa CCM imeanza kuelewa.
Na mimi kada nilionya huko nyuma, CCM ikiendelea kushupaza shingo, itavuna mabua 2025.

Suala la Bandari na DP World CCM ililichukua kirahisi rahisi ikifikiri watu ni wakuelekezwa kibla bila upinzani wowote.
Ambacho CCM imegundua ni kwamba hata ndani ya CCM na serikali yake , mambo si shwari.
Wazee kama Mama Tibaijuka, Waziri Mkuu Mstaafu Warioba(mwanasheria) na wasomi kama Prof Shivji (mwanasheria), wameonya juu ya mapungufu ya mkataba wa Bandari na DP World kwa kitaalamu kabisa.

Baada ya Mkataba huo kupitishwa Bungeni na kutetewa na viongozi wandamizi kama Spika Tulia, bado moto uliendelea kujichochea kwa malalamiko juu ya mkataba huu.
Mbaya zaidi ni wanaharakati kama Wakili Mwabukusi na "banyambala" wa huko Mbeya walioli challenge sual zima la mkataba kwa kulipeleka Mahakamani.

Sasa CCM imeamka usingizi wa pono!
Hawawatumi tena vibaka wa kisiasa, kina Kitenge, Zembwela na Hando kutetea Bandari saga.
Sasa Chongolo Katibu Mkuu mwenyewe ni kiguu na njia kulielezea suala la Bandari nchi nzima.

Huko Mwanza, Chongolo sasa anasema;
"Mkataba huu siyo msahafu wala biblia kusema kuwa hauna dosari, kwani umeandikwa na binadamu"

Anaendelea Chongolo:
"...aliitaka serikali kufanya marekebisho katika maeneo yenye tija katika mkataa huo wa uwekezaji na kuhakikisha yanafanyiwa kazi haraka ili utekelezaji uanze haraka"
Ref Nipashe pg 1, pg 2(31/07/2023).
Hiki ndio watanzania walitaka kisikike kutoka CCM, kuwa;
- kwanza, kuna mkataba ulioingiwa kinyemela,
-pili, mkataba huo una makosa,
-tatu,mkataba huo urekebishwa
-na nne , uwekezaji uendlee kwa kutilia maanani maslahi ya Taifa

Kwa Chongolo kukubali kuwa kulikuwa na makosa, basi tusonge mbele, wenye akili watajua binafsi nani aliteleza.
Wenye chama hawajamfukuza bado kwa chongolo kugeuza gia angani?☹🤓
 
Baada ya kuonywa mara nyingi na wadau, sasa CCM imeanza kuelewa.
Na mimi kada nilionya huko nyuma, CCM ikiendelea kushupaza shingo, itavuna mabua 2025.

Suala la Bandari na DP World CCM ililichukua kirahisi rahisi ikifikiri watu ni wakuelekezwa kibla bila upinzani wowote.
Ambacho CCM imegundua ni kwamba hata ndani ya CCM na serikali yake , mambo si shwari.
Wazee kama Mama Tibaijuka, Waziri Mkuu Mstaafu Warioba(mwanasheria) na wasomi kama Prof Shivji (mwanasheria), wameonya juu ya mapungufu ya mkataba wa Bandari na DP World kwa kitaalamu kabisa.

Baada ya Mkataba huo kupitishwa Bungeni na kutetewa na viongozi wandamizi kama Spika Tulia, bado moto uliendelea kujichochea kwa malalamiko juu ya mkataba huu.
Mbaya zaidi ni wanaharakati kama Wakili Mwabukusi na "banyambala" wa huko Mbeya walioli challenge sual zima la mkataba kwa kulipeleka Mahakamani.

Sasa CCM imeamka usingizi wa pono!
Hawawatumi tena vibaka wa kisiasa, kina Kitenge, Zembwela na Hando kutetea Bandari saga.
Sasa Chongolo Katibu Mkuu mwenyewe ni kiguu na njia kulielezea suala la Bandari nchi nzima.

Huko Mwanza, Chongolo sasa anasema;
"Mkataba huu siyo msahafu wala biblia kusema kuwa hauna dosari, kwani umeandikwa na binadamu"

Anaendelea Chongolo:
"...aliitaka serikali kufanya marekebisho katika maeneo yenye tija katika mkataa huo wa uwekezaji na kuhakikisha yanafanyiwa kazi haraka ili utekelezaji uanze haraka"
Ref Nipashe pg 1, pg 2(31/07/2023).
Hiki ndio watanzania walitaka kisikike kutoka CCM, kuwa;
- kwanza, kuna mkataba ulioingiwa kinyemela,
-pili, mkataba huo una makosa,
-tatu,mkataba huo urekebishwa
-na nne , uwekezaji uendlee kwa kutilia maanani maslahi ya Taifa

Kwa Chongolo kukubali kuwa kulikuwa na makosa, basi tusonge mbele, wenye akili watajua binafsi nani aliteleza.
Kichaa peke atawaamini tena ccm kwa hii saga na kwajinsi walivyoshupaza shingo ni ngumu kuwaamini tena ,mambo ya kufanya marekibisho ya mkataba nikupoteza muda,kama wamekubali makosa wakaepembeni wajifunze uongozi.
 
Jamani Yule mwanaharakati mwenzeetu NSHALA mbona sijawahi kumsikia tangu aitwe na DCI.
NSHALA popote ulipo hebu sema usikike usitutie hofu.
 
Kichaa peke atawaamini tena ccm kwa hii saga na kwajinsi walivyoshupaza shingo ni ngumu kuwaamini tena ,mambo ya kufanya marekibisho ya mkataba nikupoteza muda,kama wamekubali makosa wakaepembeni wajifunze uongozi.
Hayo ni maoni yako mkuu.

Kwa CCM kukubali makosa ni ushindi mkubwa kwa wananchi.

Ushauri wa kitaalam wa Profesa
Mama Tibaijuka, Waziri Mkuu Mtaafu Joseph Warioba, Mzee Butiku, Profesa Shivji na makada kama mimi hapa mitaani, upinzani wetu haukuwa wa bure.
 
Hayo ni maoni yako mkuu.

Kwa CCM kukubali makosa ni ushindi mkubwa kwa wananchi.

Ushauri wa kitaalam wa Profesa
Mama Tibaijuka, Waziri Mkuu Mtaafu Joseph Warioba, Mzee Butiku, Profesa Shivji na makada kama mimi hapa mitaani, upinzani wetu haukuwa wa bure.
Mkikubali mkikataa pote pamoto ukikaa nchale ukisimama nchale,tafuta kazi ya kufanya mapema
 
CCM wasikilize ushauri wa kitaalam kutoka TLS,Lissu,SLaa,Shivji,Mwabukusi etc na si kina MSANDO wachumia Tumbo ambaye amezoea kusaini mikataba ya kupiga show za giggy money na Mapromota mkataba wa page moja tu.
Kutokana na matamshi ya Katibu Mkuu CCM, naona hilo wamelielewa.
 
Ccm walijua mkataba huo una utata ila wanatumia hekima na busara ikiwezekana huo mkataba uanze upya. Ni wajanja kulinda chama chao kisiwe na mtafaruku wa kugawanyika
 
Wamechelewa, Bunge limesharidhia Subirini hasara ya kumlipa Mwarabu...

Mkataba uko hatua ya utekelezaji wa awali.....

Wameshupaza Shingo then Inavunjika. Pathetic CCM
Katika hili ,Bunge limedhalilika.
Bunge litakula matapishi yake,na wabunge wanaonekana kuwa vibaraka wa serikali.
Hata hivyo inawezekana muswada huo utarudishwa bungeni kwa marekebisho.
 
Kwani DP World wanatumiliki?
Hilo ndio lililoleta mtafarauku, DP World inabidi wafuate masharti ya nchi yetu kibiashara.
viongozi wetu wakihudhuria mamiktano yenye ktaka kuridhia maitifaki yyte, wanaona kwao ni fursa flani na wanapoonyeshwa sehemu za kusaini wanaona wanajijengea majina... baada ya hapo wanasahau halafu wana ridhia mamikatabayenye kututia hasara. wkt wananchi wanalipia matozo na mariba yatokanayo na mamikataba hayo, wenyewe wako makwao Ulaya wanakla mabata yao. CCM itatukomesha walahi
 
Baada ya kuonywa mara nyingi na wadau, sasa CCM imeanza kuelewa.
Na mimi kada nilionya huko nyuma, CCM ikiendelea kushupaza shingo, itavuna mabua 2025.

Suala la Bandari na DP World CCM ililichukua kirahisi rahisi ikifikiri watu ni wakuelekezwa kibla bila upinzani wowote.
Ambacho CCM imegundua ni kwamba hata ndani ya CCM na serikali yake , mambo si shwari.
Wazee kama Mama Tibaijuka, Waziri Mkuu Mstaafu Warioba(mwanasheria) na wasomi kama Prof Shivji (mwanasheria), wameonya juu ya mapungufu ya mkataba wa Bandari na DP World kwa kitaalamu kabisa.

Baada ya Mkataba huo kupitishwa Bungeni na kutetewa na viongozi wandamizi kama Spika Tulia, bado moto uliendelea kujichochea kwa malalamiko juu ya mkataba huu.
Mbaya zaidi ni wanaharakati kama Wakili Mwabukusi na "banyambala" wa huko Mbeya walioli challenge sual zima la mkataba kwa kulipeleka Mahakamani.

Sasa CCM imeamka usingizi wa pono!
Hawawatumi tena vibaka wa kisiasa, kina Kitenge, Zembwela na Hando kutetea Bandari saga.
Sasa Chongolo Katibu Mkuu mwenyewe ni kiguu na njia kulielezea suala la Bandari nchi nzima.

Huko Mwanza, Chongolo sasa anasema;
"Mkataba huu siyo msahafu wala biblia kusema kuwa hauna dosari, kwani umeandikwa na binadamu"

Anaendelea Chongolo:
"...aliitaka serikali kufanya marekebisho katika maeneo yenye tija katika mkataa huo wa uwekezaji na kuhakikisha yanafanyiwa kazi haraka ili utekelezaji uanze haraka"
Ref Nipashe pg 1, pg 2(31/07/2023).
Hiki ndio watanzania walitaka kisikike kutoka CCM, kuwa;
- kwanza, kuna mkataba ulioingiwa kinyemela,
-pili, mkataba huo una makosa,
-tatu,mkataba huo urekebishwa
-na nne , uwekezaji uendlee kwa kutilia maanani maslahi ya Taifa

Kwa Chongolo kukubali kuwa kulikuwa na makosa, basi tusonge mbele, wenye akili watajua binafsi nani aliteleza.
CCM ni adui wa tanganyika
 
Back
Top Bottom