CCM, Siku mtuwekee January Makamba apeperushe bendera ya Urais, ni kutudharau watanzania

Masisiem huwa mnawaza nini, ukweli kwenu ni kama tusi?

Makamba hafai hata kulumangia lakin bado mnambeba?
 
Big up mkuu ...100% ukweli mtupu.
Makamba January ni mmojawapo wa viongozi ambao wanachukiwa na Umma wa watanzania kwa kiwango kikubwa sana.

Na hii haijawa kwa bahati nbaya,bali kwa sababu ya matendo yake ya kutokuwa muadilifu katika masuala ya ubadhilifu wa mali za umma kila anapopewa nafasi katika utumishi wa umma popote pale anapowekwa.

Ni muumini wa siasa za makundi na mbinafsi mwenye kiburi na dharau,
Asiye na heshima wala mahusiano mema hata viongozi wenzake.

Kwake yeye humuheshimu yule aliemteua pekee!

Mjivuni mmoja kutoa Bumbuli-Lushoto.katika familia ya mjivuni na mpika majungu mkuu ...Yusuph Makamba sr.
 
Masisiem huwa mnawaza nini, ukweli kwenu ni kama tusi?

Makamba hafai hata kulumangia lakin bado mnambeba?
Wanajivuna kwa vile wameshatengeneza mfumo ambao kura za kwenye sanduku haziamui nani awe Rais. CCM hata wakiweka sokwe kuwa mgombea wa urais basi sokwe atatangazwa kuwa Raia na ataapishwa kuwa Rais.
 
Hii haizuii yeye kuwa Rais hapo baadae
 
Kashindwa Nishati nchi ataiweza wapi?

WATANZANIA walipiga kelele nyingi sana baada ya januari na maharage na bodi mpya kuteuliwa wakapuuzwa sasa matokeo yameprove wamefeli vibaya nchi iko gizani

Aibu kwa samia na mamlaka yake ya uteuzi waliteuwa kimihemko badala ya kuangalia weledi ona sasa kamrudisha Mhandisi kuwa Mkurugenzi

Na bodi kaiweka Mwenyekiti mpya

Rais apunguze kuziba masikio 😕
 
Kipindi cha Mkwere huyu jamaa nyota yake iliwaka sana, sijui huwenda yalikuwa ni mambo ya ndumba kumbe ni bure kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…