MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,928
- 8,976
Wewe ni msukuma?hujanielewa kweli …ila wapo walionielewa …
kazi iendelee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni msukuma?hujanielewa kweli …ila wapo walionielewa …
kazi iendelee
Inahusuana nini katika hoja hiyo mkuu! Mbona unataka tuamini kuwa wewe ni mjinga?Wewe ni msukuma?
Kinehe?Inahusuana nini katika hoja hiyo mkuu! Mbona unataka tuamini kuwa wewe ni mjinga?
Kwa sababu swali lako lina element za kikabilaKinehe?
Mbona unavamia swali kuhusu mwingine
Kwa lipi!January is great [emoji106]
Na Rais angekuwa nani?ingekuwa hivyo sasa hivi Polepole angekuwa Katibu Mkuu wa Ccm, Dr Bashiru Ally angekuwa bado KK, Samia angekuwa bado Makamu
Tulia chawa weweTatizo 'wenye hadhi' hamjiamini na wasio na hadhi wanajiamini
Labda mnaowaita watoto wa mjini na wenye Chama chao wanataka kupanga safu yao ya First Eleven ili wawe wanaachiana Usukani! Akitoka mtoto wa fulani atamwachia mtoto wa fulani ! Hapo mambo yatakuwa bambam !! Etc, Etc !!Siyo yake binafsi hata mimi naunga mkono. Ni kutudharau watanzania kufikiria makamba anafaa kuwa rais. Ni dharau kubwa sana kwetu. Najua kuna pesa tunakula kwake kipindi hiki kwa kumpamba na kumuandaa ila tuache njaa pembeni. Jamaa ni bogus
Hilo halitokaa litokee Abadan.Labda mnaowaita watoto wa mjini na wenye Chama chao wanataka kupanga safu yao ya First Eleven ili wawe wanaachiana Usukani! Akitoka mtoto wa fulani atamwachia mtoto wa fulani ! Hapo mambo yatakuwa bambam !! Etc, Etc !!
Hapana huwa iko hivi wale wenye hadhi huwa hawataki kubow kwa walioshika mpini ndio maana huwa wanadhibitiwa mapema kabisa kwa kutumia mbinu nyingi pamoja na mbinu ya kuwachafua !!Hapa umegonga penyewe mkuu
Time Will tell !Hilo halitokaa litokee Abadan.
Kuna mtu huyo ndio tatizo hapa nchini anaruhusu uhuni wote huu uendelee kwakua ananufaika.
Ila yote haya Yana mwisho wake.
Hata Baba yake nae Hana loloteMakamba hana ufanisi wowote zaidi ya kubebwa na jina la baba yake. Bora nchi isiwe na raisi itakwenda tu kuliko makamba sijui mwigulu wote hawa ni shallow
Kumbe uko mmoja#sasa MKI umeitoa wapiNi mtu kama wewe
Deep state wanachafuliwa ili waonekane si mali kitu ili wasioitakia mema Nchi wafanye mambo yao !!ingekuwa hivyo sasa hivi Polepole angekuwa Katibu Mkuu wa Ccm, Dr Bashiru Ally angekuwa bado KK, Samia angekuwa bado Makamu
Zaidi ya kubebwa hawanaH
Hata Baba yake nae Hana lolote
Au ndiyo Madilu mwenyeweUnakuta alieanzisha thread kalipwa na Mwigulu
Kwani hakuna ukweli ndani yake mkuu!Au ndiyo Madilu mwenyewe