CCM, Siku mtuwekee January Makamba apeperushe bendera ya Urais, ni kutudharau watanzania

CCM, Siku mtuwekee January Makamba apeperushe bendera ya Urais, ni kutudharau watanzania

Hajawahi kufanya vizuri kwenye eneo lolote kwa wizara yoyote ile!

Hajawahi kufanya ubunifu wowote kwenye sector yoyote ile

Amehusishwa na makandokando kibao, na iwapo kitengo husika kikaamua kufuatilia makandokando yake, lazima atoroke

Ni kiongozi dhaifu sana na mwenye kubebwa bebwa tuu

Ni eneo lipi tunaweza kusema, kazi zake na usimamizi wake unaweza kummbeba?

Ni kiongozi anayeamini kwamba, pesa ni kila kitu na kwamba, pesa inaweza kununua uongozi!

Huyu hafai hata kujaribisha!

Siku CCM mmetuwekea January Makamba kuwa mpeperusha bendera ya Urais kwenye chama, mtakuwa mmetudharau sana watanzania!
Ulishapata nakala ya kitabu I am the state,?
 
Hayo ni Mawazo yako binafsi
Siyo yake binafsi hata mimi naunga mkono. Ni kutudharau watanzania kufikiria makamba anafaa kuwa rais. Ni dharau kubwa sana kwetu. Najua kuna pesa tunakula kwake kipindi hiki kwa kumpamba na kumuandaa ila tuache njaa pembeni. Jamaa ni bogus
 
Arudishe wapi?

Huyu jamaa anaamini pesa inaweza kununua uongozi, ni bule kabisa
Kina misiba bado mpo mnaendelea kuchafua watu bila sababu wala ushahidi wowote ule. haya January Makamba anqbebwa ni wazir gani ambaye habebwi? Ni waziri gani mbunifu
Kachukue pesa yako utulie wewe wapiga kura hawapo jf alishindwa kambale utaweza wewe unayetumia I'd fake?
 
Njia ya kupambana January asiwe Rais sio kusema hafai au kutangaza hafai…njia sahihi ni kutuonesha anaefaa

hata Wapinzani hutumia nguvu kubwa kutuambia CCM hafai badala ya kutuambia wao kwanini wanafaa

kwa watoto wadogo 1995-2005 ilitumika nguvu kubwa sana kutuambia Jakaya hafai badala ya kutuonesha anaefaa

kusaidia Nchi yetu ni kututajia anaefaa nae apitishwe kwny chujio analopitishwa January
 
Kuna wakati wakuu wa taifa hili wanatakiwa kuwa serious, kuna watu kwa kuwa tu baba zao walishakuwa na ushawishi basi wanafikiri wanaweza kuongoza taifa.

Ifike mahali deep state waweke mtu anayejitambua siyo kila mtoto wa kiongozi mstaafu ni presidential materials
Tanzania haijawahi kuwa na deep state.

Rais mwnyewe ndio deep state.
 
Siyo yake binafsi hata mimi naunga mkono. Ni kutudharau watanzania kufikiria makamba anafaa kuwa rais. Ni dharau kubwa sana kwetu. Najua kuna pesa tunakula kwake kipindi hiki kwa kumpamba na kumuandaa ila tuache njaa pembeni. Jamaa ni bogus
Ni bogus kweli maana hata mtihani wa kidato cha sita aliiba. Akafutiwa matokeo .

Tuna bahati mbaya mno ya kupata viongozi vilaza.
 
Hajawahi kufanya vizuri kwenye eneo lolote kwa wizara yoyote ile!

Hajawahi kufanya ubunifu wowote kwenye sector yoyote ile

Amehusishwa na makandokando kibao, na iwapo kitengo husika kikaamua kufuatilia makandokando yake, lazima atoroke

Ni kiongozi dhaifu sana na mwenye kubebwa bebwa tuu

Ni eneo lipi tunaweza kusema, kazi zake na usimamizi wake unaweza kummbeba?

Ni kiongozi anayeamini kwamba, pesa ni kila kitu na kwamba, pesa inaweza kununua uongozi!

Huyu hafai hata kujaribisha!

Siku CCM mmetuwekea January Makamba kuwa mpeperusha bendera ya Urais kwenye chama, mtakuwa mmetudharau sana watanzania!
We nani
 
Hajawahi kufanya vizuri kwenye eneo lolote kwa wizara yoyote ile!

Hajawahi kufanya ubunifu wowote kwenye sector yoyote ile

Amehusishwa na makandokando kibao, na iwapo kitengo husika kikaamua kufuatilia makandokando yake, lazima atoroke

Ni kiongozi dhaifu sana na mwenye kubebwa bebwa tuu

Ni eneo lipi tunaweza kusema, kazi zake na usimamizi wake unaweza kummbeba?

Ni kiongozi anayeamini kwamba, pesa ni kila kitu na kwamba, pesa inaweza kununua uongozi!

Huyu hafai hata kujaribisha!

Siku CCM mmetuwekea January Makamba kuwa mpeperusha bendera ya Urais kwenye chama, mtakuwa mmetudharau sana watanzania!
Tanesco na LPG na ndio maana hakauki mdomoni mwako 🤣🤣
 
ingekuwa hivyo sasa hivi Polepole angekuwa Katibu Mkuu wa Ccm, Dr Bashiru Ally angekuwa bado KK, Samia angekuwa bado Makamu
Sijakuelewa.

Wote hao wametolewa na Rais, Sasa sijui unabisha kipi
 
CCM, tunawasaidia ili kuendelea kutawala hii nchi, na itabidi muanze kutulipa tunaosaidia na kuwapa mbinu za kuendelea kuaminiwa, bado mna watu makini.

Tukianza kuifanya nchi yetu kuwa ya majaribio, ni kutudharau Watanzania, sio kila mtu aweza kuwa kiongozi, Mungu ametupa vipawa tofauti, wengine wetu wapo wajuzi wa kuchora vikaragosi na wamejaliwa sana kwenye eneo hilo, ila si kwenye kuongoza.

Kuna watu ukiwaweka kwenye eneo la uongozi, nchi nzima inaingiwa baridi.

Mtu kujaribu uwezo wake, ni bora uishie tu kwenye mambo madogo-madogo, na hata kwenye eneo la kuongoza wizara ni hatua kubwa sana kujaribu uwezo wa mtu, kuna watu ambao hata hauhitaji akili kubwa kufahamu hawana uwezo wowote zaidi ya wao kubebwa huku wakiongozwa na roho mbaya na ufanisi wao ni sifuri!

Mmoja wapo ni huyu Mtanzania mwenzetu January Makamba, na sio kwamba hatumpendi, ila kwa sababu ya umhimu mkubwa wa nchi yetu na ikizingatiwa kwamba, Dunia imetutangulia mbele mno, kujaribu kuifukuzia tukiwa na viongozi dhaifu, ni kupoteza muda njiani, huyu hatufai, na sio kwamba hatufai wananchi peke yake, bali hata yeye anajifahamu kuwa hana uwezo, ila kwa kubebwa!

CCM, bado inawatu makini na wenye uthubutu wa kufanya mambo makubwa, hamjawahi tu kuwapa nafasi.

Huyu ndugu yetu hajawahi kufanya vizuri kwenye eneo lolote kwa wizara yoyote ile!

Hajawahi kufanya ubunifu wowote kwenye sekta yoyote ile.

Amehusishwa na makandokando kibao, na iwapo kitengo husika kikaamua kufuatilia makandokando yake, lazima atoroke.

Ni kiongozi dhaifu sana, bahati ni kwamba kuzaliwa kwenye familia inayoamini ina kijana shupavu na mwenye uwezo mkubwa, ila wakasahau kwamba nchi hii ni kubwa kuliko wao, na kwamba sio kweli panapotokea mmoja wa wanafamilia kuwa sehemu ya watu waliowahi kuongoza, waamini kwamba hata kizazi chao, ni kizazi cha viongozi, siyo kweli

Ni eneo lipi tunaweza kusema, kazi zake na usimamizi wake unaweza kummbeba?

Ni kiongozi anayeamini kwamba, pesa ni kila kitu na kwamba, pesa inaweza kununua uongozi!

Huyu hafai hata kujaribisha!

Siku CCM mmetuwekea January Makamba kuwa mpeperusha bendera ya Urais kwenye chama, mtakuwa mmetudharau sana Watanzania!
Mmoja wapo ni huyu Mtanzania mwenzetu January Makamba, na sio kwamba hatumpendi, ila kwa sababu ya umhimu mkubwa wa nchi yetu na ikizingatiwa kwamba, Dunia imetutangulia mbele mno, kujaribu kuifukuzia tukiwa na viongozi dhaifu, ni kupoteza muda njiani, huyu hatufai, na sio kwamba hatufai wananchi peke yake, bali hata yeye anajifahamu kuwa hana uwezo, ila kwa kubebwa!
 
Back
Top Bottom