myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Watu wanapenda sifa...mambo ya uchaguzi muda huu ya nini....Hayo ni Mawazo yako binafsi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanapenda sifa...mambo ya uchaguzi muda huu ya nini....Hayo ni Mawazo yako binafsi
Ndio hivyo...Unakuta anayemtetea kalipwa na January Makamba
😂😂😂Kwenye mambo serious tuongee serious.
Sasa unataja houseboy awe rais tafadhali sana.
Mteue awe mgombea urais kwenu.
Pumbavu sana
Uko sahihi mkuuHuyu January wala simuoni kama presidential material Sisi kwanini watu wanamtajataja,namuona kama mhuni fulani tu hivi kama baba yake.
Mama mpaka 2030 !Watu wanapenda sifa...mambo ya uchaguzi muda huu ya nini....
Kasema anafuata mama yake mkristoNaunga mkono hoja ila ni zamu ya mkristo
USSR
Wanatudharau sana aiseeHata kumpa uwaziri tu tayari walionesha dharau kwamba hatuwez kuwafanya kitu
Ridhiwani kaanza kujulikana kama fisadi kabla ya kuwa mwanasiasa lakini leo hii ni naibu waziri,hii ni dharau
Mwigulu, Makamba, Rizwan na Nape.Unakuta alieanzisha thread kalipwa na Mwigulu
Kama lowassa atashindwa tu. Huwezi kununus urais kwa hela. Hiyo falsafa ya kwamba anaweza kununua urais ndio sababu anahangaika kupiga hela ya umma.😎Arudishe wapi?
Huyu jamaa anaamini pesa inaweza kununua uongozi, ni bule kabisa
Hajawahi kufanya vizuri kwenye eneo lolote kwa wizara yoyote ile!
Hajawahi kufanya ubunifu wowote kwenye sector yoyote ile
Amehusishwa na makandokando kibao, na iwapo kitengo husika kikaamua kufuatilia makandokando yake, lazima atoroke
Ni kiongozi dhaifu sana na mwenye kubebwa bebwa tuu
Ni eneo lipi tunaweza kusema, kazi zake na usimamizi wake unaweza kummbeba?
Ni kiongozi anayeamini kwamba, pesa ni kila kitu na kwamba, pesa inaweza kununua uongozi!
Huyu hafai hata kujaribisha!
Siku CCM mmetuwekea January Makamba kuwa mpeperusha bendera ya Urais kwenye chama, mtakuwa mmetudharau sana watanzania!
Kila lenye mwanzo lina mwisho wake !! Kulikuwepo na Roman Empire leo iko wapi ? ! Ottoman Empire iko wapi !! Etc etc !!Wanatudharau sana aisee
Na ni kudharau hata taasisi yenyewe ya urais na sio huyo tuu hata kutuwekea mwigulu nchemba pia ni kuidharaulisha sana sana taasisi ya urais nchini.Hajawahi kufanya vizuri kwenye eneo lolote kwa wizara yoyote ile!
Hajawahi kufanya ubunifu wowote kwenye sector yoyote ile
Amehusishwa na makandokando kibao, na iwapo kitengo husika kikaamua kufuatilia makandokando yake, lazima atoroke
Ni kiongozi dhaifu sana na mwenye kubebwa bebwa tuu
Ni eneo lipi tunaweza kusema, kazi zake na usimamizi wake unaweza kummbeba?
Ni kiongozi anayeamini kwamba, pesa ni kila kitu na kwamba, pesa inaweza kununua uongozi!
Huyu hafai hata kujaribisha!
Siku CCM mmetuwekea January Makamba kuwa mpeperusha bendera ya Urais kwenye chama, mtakuwa mmetudharau sana watanzania!