Lookmalasin
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,723
- 2,358
Jonn mbatizaji hivi unaangalia maslahi ya Taifa Kwanza au maslahi ya yako na CCM mwanzo hadi mwisho.Hayo ni Mawazo yako binafsi
Toka January Angie madarakani umeme unakatika, Bwawa la umeme linasuasua,?
Inaathiri mamilioni ya maisha ya Watanzania kwenye kipato na familia.
Amefanya hata kitu kipi kimoja kuwasaidia Watanzania?