Uchaguzi 2020 CCM taa nyekundu na muda unawatupa mkono mtoseni Yoha baharini mpone tufani

Yona amegoma kwenda ninawi jiji la waovu kupeleka injili merikebu inazama
 
Na kweli ikawa yona akatoswa nchi ikatulia.
 
gani ya kumpoteza Ben
Soma hii kutoka kwa yoga
===
 
Kwahiyo mulimtosa, ama lile " Joka likatalo" liliwasaidia freemason kumkatilia mbali,
Maana hizo pesa wanazowapa wasanii wenu maarufu wafanikiwe haraka haraka si ni kodi zetu wanazoiba freemason waliopo serikalini , kamwe hawafuji mapesa ya miradi yao binafsi, sasa yeye alitaka awapige pin wasiibe tena eti awasaidie wananchi kuondoa umasikini wao watakubali vipi waache kula bata kwa kodi zetu, alipojichanganya kwa " Joka likatalo " , waka mfigure out kiulaini sana maana yule ni demu wao haswa, kwahiyo alipewa assignment toka hukohiko alikogoma kusafiri , makao makuu ya freemason, wakishirikiana na wanachama wao wa hapa , mnaowaheahimu kama viongozi wenu wakubwa eti,
Kila nchi ipo katika plan ya hao mashetani kiuchumi, kiutamaduni na kisiasa hivyo ukitaka kuinterfere projection zao katika eneo lolote sharti ujiamgalie sana, kiufupi yeye alifanikiwa kuwaintercept kwa kiwango kikubwa sana na matokeo yalishaanza kuonekana hatimaye kwa kazi zake, wasingekubali hilo lakini kujichanganya na lile Joka kumewarahisiahia sana,
 
Ulikuwa sahihi mno, hongera!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…