LGE2024 CCM: TAMISEMI itambue demokrasia yetu ni changa, ipuuze makosa madogomadogo katika hatua ya rufaa uchaguzi Serikali za mitaa

LGE2024 CCM: TAMISEMI itambue demokrasia yetu ni changa, ipuuze makosa madogomadogo katika hatua ya rufaa uchaguzi Serikali za mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798

"Wapo Wanaccm waliowekewa mapingamizi, wapo wa ACT, wapo wa CHADEMA, na majibu ya mapingamizi yalitoka, lakini kwa hatua za rufaa kwa maelekezo ya Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ambaye ni Rais wa Tanzania nilipofanya naye mazungumzo, ambacho tumekiona wapo wagombea wengi sana wa vyama mbalimbali ambao waliwekewa mapingamizi katika hatua za awali.

Katika maelekezo ya Mwenyekiti wa CCM, tumeelezana kuwa ni vizuri watu wapate nafasi, hivyo nitumie nafasi hii kutoa wito kwa waziri mwenye dhamana ya serikali za mitaa, tunatambua umefuata sheria lakini ni muhimu kukumbuka kwamba demokrasia yetu bado ni changa, ni muhimu tuzidi kukua.

Soma Pia:
Tunaziomba mamlaka hasa TAMISEMI, katika hatua ya mwisho za rufaa kuyapuuza makosa madogomadogo ili Watanzania wengi zaidi wapate nafasi ya kugombea. Yapo makosa makubwa, kwa mfano nafasi ni maalumu kwa wanawake lakini amejaza mwanaume"
 
"Wapo Wanaccm waliowekewa mapingamizi, wapo wa ACT, wapo wa CHADEMA, na majibu ya mapingamizi yalitoka, lakini kwa hatua za rufaa kwa maelekezo
Hii nayo ni ghilba na hadaa tu, Mchengerwa ushenzi aliofanya ni maagizo ya CCM baada ya kugundua kuwa kumbe Chadema haijafa kama walivyokuwa wanahadaa umma kuwa Chadema ni mfu bado kuzikwa tu.
 
..huu ni upumbavu na ulaghai.

..KIKATIBA Rais Samia ndiye Waziri wa Tamisemi.

..Wizara ya Tamisemi iko chini au ndani ya Ofisi ya Raisi.

..Mchengerwa anatambuliwa kama Waziri wa nchi ofisi ya Raisi Tamisemi. Sio Waziri kamili kama walivyo wakina Mwigulu, Kombo, na wengine.
 
..huu ni upumbavu na ulaghai.

..KIKATIBA Rais Samia ndiye Waziri wa Tamisemi.

..Wizara ya Tamisemi iko chini au ndani ya Ofisi ya Raisi.

..Mchengerwa anatambuliwa kama Waziri wa nchi ofisi ya Raisi Tamisemi. Sio Waziri kamili kama walivyo wakina Mwigulu, Kombo, na wengine.
Na ni mkaza mwana!
 
..huu ni upumbavu na ulaghai.

..KIKATIBA Rais Samia ndiye Waziri wa Tamisemi.

..Wizara ya Tamisemi iko chini au ndani ya Ofisi ya Raisi.

..Mchengerwa anatambuliwa kama Waziri wa nchi ofisi ya Raisi Tamisemi. Sio Waziri kamili kama walivyo wakina Mwigulu, Kombo, na wengine.
Na ni mkaza mwana!
 
Maagizo ya Mwenyekiti wa CCM tumeona yapo makosa ambayo mtu amekosea mwaka wake wa kuzaliwa na mengineyo na kwa mujibu wa kisheria makosa haya hayampi mtu nafasi ya kugombea lakini tunatambua Demokrasia yetu ni changa.

Tumetambua watendaji wamefuata sheria lakini inabidi tutambue demokrasia yetu ni changa na hivyo tunaomba mamlaka kupuuza makosa madogo madogo.
Hayo yamesemwa na katibu mkuu wa CCM Dkt Emmanuel Nchimbi mapema leo, alipokuwa akizungumza kwenye mkutano na wahariri wa vyombo vya habari ofisi ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam.

Hii hapa LGE2024 - CCM: TAMISEMI itambue demokrasia yetu ni changa, ipuuze makosa madogomadogo katika hatua ya rufaa uchaguzi Serikali za mitaa
Nilitaka kuwatag Mhariri na Moderator kuwa imekuja baadaye hivyo iungwe huku, ila nilitaka kujiridhisha roho zenu zikoje, japo hamtulipi ila sisi ndiyo tunawalipa 😁!.
 
20241112_165326.jpg
 

Chama cha Mapinduzi kimetoa wito kwa Ofisi ya Rais-TAMISEMI ambayo inaratibu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kutanguliza mbele haki ya Kidemokrasia na kupuuza Makosa madogo yaliyojitokeza kwa Wagombea wakati wa Ujazaji Fomu za Uteuzi
 
Nchimbi nakukubali sana. Hii ndio maturity ya uongozi. Tunajichimbia shimo ambalo tutatumbukia wenyewe kama tutaendelea kuendekeza ubabaishaji unaofanyika. Unaamuaje nani aongoze watu hata kama unayemtaka hana uwezo, sifa au weledi?
 
Maagizo ya Mwenyekiti wa CCM tumeona yapo makosa ambayo mtu amekosea mwaka wake wa kuzaliwa na mengineyo na kwa mujibu wa kisheria makosa haya hayampi mtu nafasi ya kugombea lakini tunatambua Demokrasia yetu ni changa.

Tumetambua watendaji wamefuata sheria lakini inabidi tutambue demokrasia yetu ni changa na hivyo tunaomba mamlaka kupuuza makosa madogo madogo.
Hayo yamesemwa na katibu mkuu wa CCM Dkt Emmanuel Nchimbi mapema leo.

Naona wamekubali kwamba demokrasia ni changa kwa miaka zaidi ya 60! wenzetu Kenya , Botswana, South Africa wamekuwa zaidi yetu au. Ubinafsi ndiyo tatizo letu. Tuwe wazalendo wa kweli na kuweka nchi mbele sio CCM ! na makada bali nchi
 
Maagizo ya Mwenyekiti wa CCM tumeona yapo makosa ambayo mtu amekosea mwaka wake wa kuzaliwa na mengineyo na kwa mujibu wa kisheria makosa haya hayampi mtu nafasi ya kugombea lakini tunatambua Demokrasia yetu ni changa.

Tumetambua watendaji wamefuata sheria lakini inabidi tutambue demokrasia yetu ni changa na hivyo tunaomba mamlaka kupuuza makosa madogo madogo.
Hayo yamesemwa na katibu mkuu wa CCM Dkt Emmanuel Nchimbi mapema leo.
Nice one.
 
Back
Top Bottom