Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khaaaaa!!! Ccm matapeli kweli, yaani Chama kinamuagiza TAMISEMIMaagizo ya Mwenyekiti wa CCM tumeona yapo makosa ambayo mtu amekosea mwaka wake wa kuzaliwa na mengineyo na kwa mujibu wa kisheria makosa haya hayampi mtu nafasi ya kugombea lakini tunatambua Demokrasia yetu ni changa.
Tumetambua watendaji wamefuata sheria lakini inabidi tutambue demokrasia yetu ni changa na hivyo tunaomba mamlaka kupuuza makosa madogo madogo.
Hayo yamesemwa na katibu mkuu wa CCM Dkt Emmanuel Nchimbi mapema leo.
Hii ni habari mbaya kwa wafuasi wa jiwe na baadhi ya wagalatia,Maagizo ya Mwenyekiti wa CCM tumeona yapo makosa ambayo mtu amekosea mwaka wake wa kuzaliwa na mengineyo na kwa mujibu wa kisheria makosa haya hayampi mtu nafasi ya kugombea lakini tunatambua Demokrasia yetu ni changa.
Tumetambua watendaji wamefuata sheria lakini inabidi tutambue demokrasia yetu ni changa na hivyo tunaomba mamlaka kupuuza makosa madogo madogo.
Hayo yamesemwa na katibu mkuu wa CCM Dkt Emmanuel Nchimbi mapema leo.
Baada ya hapo mjanja ni nani?Samia anawabeba sana, 2019 hakuna hata aliejaribu kuinua domos
Kimyaaaaaaa, chezea mjomba wewe
Hana mfano wowote hapo kuna mabeberu wamemfinyaHii ni habari mbaya kwa wafuasi wa jiwe na baadhi ya wagalatia,
Samia ni Rais wa mfano
View attachment 3150391
Chama cha Mapinduzi kimetoa wito kwa Ofisi ya Rais-TAMISEMI ambayo inaratibu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kutanguliza mbele haki ya Kidemokrasia na kupuuza Makosa madogo yaliyojitokeza kwa Wagombea wakati wa Ujazaji Fomu za Uteuzi
Usiseme kwa sauti kubwa.Kwa mantiki hii CCM ndio wanaosimamia uchaguzi...
Nyie pingapinga tushawazoeaHana mfano wowote hapo kuna mabeberu wamemfinya
Na baadhi ya hizo nchi tumezisaidia kupata Uhuru ila soon tutaenda kujifunza kwao.Naona wamekubali kwamba demokrasia ni changa kwa miaka zaidi ya 60! wenzetu Kenya , Botswana, South Africa wamekuwa zaidi yetu au. Ubinafsi ndiyo tatizo letu. Tuwe wazalendo wa kweli na kuweka nchi mbele sio CCM ! na makada bali nchi
Tunakutengenezea kosa alafu tunakutatulia. Siku zote utatuona wema alafu tunakupiga kwenye sandukuMaagizo ya Mwenyekiti wa CCM tumeona yapo makosa ambayo mtu amekosea mwaka wake wa kuzaliwa na mengineyo na kwa mujibu wa kisheria makosa haya hayampi mtu nafasi ya kugombea lakini tunatambua Demokrasia yetu ni changa.
Tumetambua watendaji wamefuata sheria lakini inabidi tutambue demokrasia yetu ni changa na hivyo tunaomba mamlaka kupuuza makosa madogo madogo.
Hayo yamesemwa na katibu mkuu wa CCM Dkt Emmanuel Nchimbi mapema leo, alipokuwa akizungumza kwenye mkutano na wahariri wa vyombo vya habari ofisi ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam.
Karibu sana Jamii Forums nduguHii ni habari mbaya kwa wafuasi wa jiwe na baadhi ya wagalatia,
Samia ni Rais wa mfano
Hii inaitwa SiasaTengeneza Tatizo, Tatua Tatizo.
View attachment 3150399
"Wapo Wanaccm waliowekewa mapingamizi, wapo wa ACT, wapo wa CHADEMA, na majibu ya mapingamizi yalitoka, lakini kwa hatua za rufaa kwa maelekezo...
NOTED!.Tunakutengenezea kosa alafu tunakutatulia. Siku zote utatuona wema alafu tunakupiga kwenye sanduku
Sisiem ni kila kitu kwenye nchi hiiKwa mantiki hii CCM ndio wanaosimamia uchaguzi...