Kama hayo yanatoka kweli moyoni mwenu Mungu awabariki,na Iwapo ni namna tu ya kutuliza joto la kisissa basi pia Mungu awapatie iliyostahiki yenu.View attachment 3150399
"Wapo Wanaccm waliowekewa mapingamizi, wapo wa ACT, wapo wa CHADEMA, na majibu ya mapingamizi yalitoka, lakini kwa hatua za rufaa kwa maelekezo ya Mwenyekiti ...
Ngoja tuone kama TAMISEMI watakubali!.Kwa mantiki hii CCM ndio wanaosimamia uchaguzi...
Watakuja na matukio na sababu nyingine kwanini wasipewe maboksi ya kura!Kwa mfano huo mdogo utagundua Nani alienda Shule kukariri na Nani alienda kuelimika
Hata kwenye Majina yetu Ndio sababu kuna vifupisho mfano ukiandika JK Kikwete Kila Mtu anajua ni mh Jakaya
Mh Mchengerwa tupa mapingamizi yote Tukutane na Hawa Ufipa FC Uwanja wa FISI tuwamalize
Baadae Mlale unono 😀
Watendaji wenyewe hawa waliosoma St. Kayumba ni bure kabisa.Kwa mfano huo mdogo utagundua Nani alienda Shule kukariri na Nani alienda kuelimika
Hata kwenye Majina yetu Ndio sababu kuna vifupisho mfano ukiandika JK Kikwete Kila Mtu anajua ni mh Jakaya
Mh Mchengerwa tupa mapingamizi yote Tukutane na Hawa Ufipa FC Uwanja wa FISI tuwamalize
Baadae Mlale unono 😀
Demokrasia yetu sio changa asitake kupotosha. Ila demokrasia yetu inabakwa kuiga uhayani uliofanyika wakati wa Magufuli. Hapo ccm imejitokeza kujisafisha baada ya kuona mwitikio wa jamii kuhusu huo uhuni wa kitoto umebuma.
"Wapo Wanaccm waliowekewa mapingamizi, wapo wa ACT, wapo wa CHADEMA, na majibu ya mapingamizi yalitoka, lakini kwa hatua za rufaa kwa maelekezo ya Mwenyekiti...
Ulikuwa unashabikia ujinga oneni sasa mabosi wenu wamewaona machawa mliopitiliza.Kiasi cha kutaka kuliharibu taifa letu kwa kujalimaslshi yenu pekee.Kwa mfano huo mdogo utagundua Nani alienda Shule kukariri na Nani alienda kuelimika
Hata kwenye Majina yetu Ndio sababu kuna vifupisho mfano ukiandika JK Kikwete Kila Mtu anajua ni mh Jakaya
Mh Mchengerwa tupa mapingamizi yote Tukutane na Hawa Ufipa FC Uwanja wa FISI tuwamalize
Baadae Mlale unono 😀
CHADEMA haijafa ila Mbowe anaidogosha Kwa ahadi ya fedha na cheo. Mjinga sanaHii nayo ni ghilba na hadaa tu, Mchengerwa ushenzi aliofanya ni maagizo ya CCM baada ya kugundua kuwa kumbe Chadema haijafa kama walivyokuwa wanahadaa umma kuwa Chadema ni mfu bado kuzikwa tu.
Limeshaoza huko lilipo, pumbavu.Samia anawabeba sana, 2019 hakuna hata aliejaribu kuinua domos
Kimyaaaaaaa, chezea mjomba wewe
Chadema nyie ni Lege Lege mno tofauti na wale CUF Ngangari wa Enzi za maalimUlikuwa unashabikia ujinga oneni sasa mabosi wenu wamewaona machawa mliopitiliza.Kiasi cha kutaka kuliharibu taifa letu kwa kujalimaslshi yenu pekee.
Mimi nimekutana nao sana hawa Watendaji wa Vijiji (VEOs)na Watendaji wa Kata (WEOs), ni elimu ya makaratasi lakini kichwani hawajaelimika.Kwa mfano huo mdogo utagundua Nani alienda Shule kukariri na Nani alienda kuelimika
Hata kwenye Majina yetu Ndio sababu kuna vifupisho mfano ukiandika JK Kikwete Kila Mtu anajua ni mh Jakaya
Mh Mchengerwa tupa mapingamizi yote Tukutane na Hawa Ufipa FC Uwanja wa FISI tuwamalize
Baadae Mlale unono 😀
Mnaendekeza siasa za kipuuzi hadi mnatia kinyaa. Huyo Nchimbi anakija na maelezo ya hadaa.Watakuja na matukio na sababu nyingine kwanini wasipewe maboksi ya kura!
Sifa kujua kusoma na kuandija na hata wasiokujua kusona na kuandikaMimi nimekutana nao sana hawa Watendaji wa Vijiji (VEOs)na Watendaji wa Kata (WEOs), ni elimu ya makaratasi lakini kichwani hawajaelimika.
Huko kwa DEDs napo ndio balaa zaidi.
Hii inchi haiwezi kutoka kwenye mkwamo kwa kuwa na watumishi wa umma na wa serikali wasio na uwezo.
Pamoja na kwamba wewe ni mgeni humu JF, lakini sidhani kwamba wewe ni mgeni pia kwa siasa za Tanzania.Safi sana CCM baba wa siasa